Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Mkuu ni kipi ambacho hujaelewa hapo, mbona taarifa ipo wazi Sana.Najaribu kukusoma mahala sikuelewi, unasema mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya dola 4765, then mwezi Dec 2021 tukaambiwa tena tuna akiba ya dola 6253, unapouliza mbona taarifa ya mwezi Juni 2021 hatukupewa unakuwa na maana gani?
Tatizo lipo kwenye hicho kiasi ni kikubwa mnooHivi mtoa Thread sijamuelewa, kwani tatizo hapo liko wapi? Ni namba ndio zinamchanganya au ni nini?
Najaribu kuichambua hotuba/taarifa ya mama kama ifuatavyo:
Sasa kosa liko wapi kwa sababu akiba imeongezeka toka dola bilioni 4765 mpaka dola bilioni 6253 au ongezeko/tofauti ni dola bilioni 1488. Tupo pamoja jamani! Nisahihisheni nilipokosea.
- Mwezi wa sita 2021, taarifa ya mama inasema akiba ya pesa za kigeni ni dola bilioni 4765
- Mwezi disemba (yaani baada ya miezi sita hivi) akiba ya pesa za kigeni ni dola bilioni 6253
Dogo, Magufuli amekufaaa na ameshazikwa na kuoza. Rais ni Samia. Weka hili kwenye akili yako. Anaweza kulala na kuamka kusema naigawa Kinondoni iwe mikoa mitatu, hakuna atakayempinga. Amelala na kuamka kusema Kalemani nje na Makamba Waziri, ndo imetoka hiyo. Ukizingatia haya utapata utulivu wa moyo.Itakuwa hujui kusoma. Pole sana.
Umeambiwa weka nukta baina ya 4 na 7 kwenye hiyo namba. Au weka M badala ya B mwisho hapo. Bado una tatizo au?Tatizo lipo kwenye hicho kiasi ni kikubwa mnoo
Dolla 4765 B ni sawa na Trillion elfu kumi miatisa themanini na nane.
Ilishasomwa hiyo mkuu, kwenye hesabu ukibadili alama moja tu, umebadili maanaUmeambiwa weka nukta baina ya 4 na 7 kwenye hiyo namba. Au weka M badala ya B mwisho hapo. Bado una tatizo au?
Ndio wamesema wamekosea, si ndo mchezo umeisha na show inayobamba now ni ya bwana yustino.Ilishasomwa hiyo mkuu, kwenye hesabu ukibadili alama moja tu, umebadili maana
Ndugu yangu si unakumbuka mikataba ya contractor feki' wa kutengeneza meli zile za Mwanza, na yaliyotokea........ kaaazi kwelikweli.Ikiwa mambo madogo Kama haya ya kusoma tu anakosea, vipi kuhusu mikataba?
sasa hapo umedhihirisha/rekebisha nini?....umerudia yaleyale japo kwa maandishi mengi zaidiHaupo sahihi kwa sababu hata akiletewa hutoba mezani anapaswa aipitie kwanza na ajiridhishe na figures ndipo apande hewani.
Kwa mtu wa kawaida ambae siyo hata Rais ukiona figure inasema kuwa akiba ya fedha za kigeni ni dola billioni 4765 lazima ushtuke,sembuse Rais?
Ukweli ni kwamba kuna kitu hakipo sawa nchini na huenda tunaongozwa na Serikali ya kipropaganda.
Kudai kuwa Rais anakosea kwa sababu anaandaliwa hotuba ni non-sense kwa sababu Rais anapaswa apitie hotuba yake na ajiridhishe nayo kabla hajapanda hewani.