Inashangaza: Rais Samia mwezi Juni 2021 alisema akiba ya fedha za kigeni ni Dola bilioni 4,765

Inashangaza: Rais Samia mwezi Juni 2021 alisema akiba ya fedha za kigeni ni Dola bilioni 4,765

Ndugu zangu haya mambo yanashangaza sana.Katika kipande cha video hapo chini Rais Samia Suluhu Hasan akiwa Mwanza mwezi juni 2021 alidai kuwa akiba yetu ya fedha za kigeni ni dola za kimarekani bilioni 4765.

Ndugu zangu Mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya fedha za kigeni dola bilioni 4765. Mwezi Disemba ikapanda na tukaambiwa akiba yetu imefika Dola za kimarekani bilioni 6253. Mwezi Juni 2021 mbona taarifa ya ufafanuzi kuwa Serikali imekosea haikutoka?

Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa haya mambo yanapangwa kimkakati na kwa makusudi kwani siyo rahisi Rais akosee mara mbili.

Huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.Ni vyema tukajua ukweli uko wapi kwani hii nchi ni yetu sote.

Kwa mtu mwenye akili zake ukiunganisha doti ya hizi hotuba mbili ni lazima upate harufu ya kitu ambacho siyo kizuri.

Kitendo cha Rais kukosea mara mbili kinaibua tena maswali kadha ambayo ndani yake yanatupa taarifa kuwa huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.

1.Inawezekana Rais amekosea mara mbili?

2.Mbona mwezi juni 2021 hatukupata ufafanuzi kuwa Serikali imekosea?

3.Kama Rais anakosea kirahisi hivi,ni mangapi anakosea?
View attachment 2066406
Aione snitch ZZK
 
Huyu maza ni failure, hata secondary huko alifeli…!!
Vyuo alivyopita ni vya kuunga unga tu kimchongo.,,
 
Kwa ufupi nchi inaongozwa na mtu asiyekuwa na weredi Wala ujuzi wa kuongoza NGO,achilia mbali nchi kama hii.na hii inajionyesha kwenye teuzi zake,amejaza watu wasio na akili kabisa,hotuba ya Raisi inawezekana vipi ikawa na makosa!!Kuna jopo huwa linaandika hii hotuba!,washauri wake wa uchumi Tena maprofesa kwanini hawakuona haya madudu!!!
Hii ni dalili kuwa nchi sasa hv inajiendea tu,ipo kwenye auto pilot.
 
Yes, Rais amekosea then what? Kuna kifungu chochote cha Katiba kilichovunjwa kwa Rais kukosea? Rais JPM alikosea na kusema Saddam Hussein Rais wa Kuwait, ilimfanya kukiuka Katiba? Let's deal with tangible issues, at least zile zenye makosa ya kikatiba au kisheria wajamen.
Hoja yako imeeleweka. Anachotaka kufanya ni kuonyesha kuwa Rais Samia anao upungufu fulani wa kiuongozi. Umekuja na hoja ya Saddam Hussein kuongoza Kuwait ambayo kila mtu aliidharau na kuangalia matokeo mapana zaidi ya kazi yake.
 
Kwa ufupi nchi inaongozwa na mtu asiyekuwa na weredi Wala ujuzi wa kuongoza NGO,achilia mbali nchi kama hii.na hii inajionyesha kwenye teuzi zake,amejaza watu wasio na akili kabisa,hotuba ya Raisi inawezekana vipi ikawa na makosa!!Kuna jopo huwa linaandika hii hotuba!,washauri wake wa uchumi Tena maprofesa kwanini hawakuona haya madudu!!!
Hii ni dalili kuwa nchi sasa hv inajiendea tu,ipo kwenye auto pilot.
Hayati Magufuli alikuwa na makosa mengi tu na yote hamkuyapa kipaumbele kama awamu ya sita. Hizi nongwa zitakuumizeni nafsi zenu.
 
Waandishi ndiyo wakulaumu hapa. Ni makoosa makubwa sana kuandika $4765 million badala ya kuandika $4.765 B au kwa ufupi $4.8B waandishi wa Tanzania wana complicates sana !
Unalaumu vipi Waandishi wakati ni Rais alitamka kwa kinywa chake?
 
Ndugu zangu haya mambo yanashangaza sana.Katika kipande cha video hapo chini Rais Samia Suluhu Hasan akiwa Mwanza mwezi juni 2021 alidai kuwa akiba yetu ya fedha za kigeni ni dola za kimarekani bilioni 4765.

Ndugu zangu Mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya fedha za kigeni dola bilioni 4765. Mwezi Disemba ikapanda na tukaambiwa akiba yetu imefika Dola za kimarekani bilioni 6253. Mwezi Juni 2021 mbona taarifa ya ufafanuzi kuwa Serikali imekosea haikutoka?

Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa haya mambo yanapangwa kimkakati na kwa makusudi kwani siyo rahisi Rais akosee mara mbili.

Huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.Ni vyema tukajua ukweli uko wapi kwani hii nchi ni yetu sote.

Kwa mtu mwenye akili zake ukiunganisha doti ya hizi hotuba mbili ni lazima upate harufu ya kitu ambacho siyo kizuri.

Kitendo cha Rais kukosea mara mbili kinaibua tena maswali kadha ambayo ndani yake yanatupa taarifa kuwa huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.

1.Inawezekana Rais amekosea mara mbili?

2.Mbona mwezi juni 2021 hatukupata ufafanuzi kuwa Serikali imekosea?

3.Kama Rais anakosea kirahisi hivi,ni mangapi anakosea?
View attachment 2066406
Huu Utopolo ni wa kiwango cha juu sana sana
 
Ndugu zangu haya mambo yanashangaza sana.Katika kipande cha video hapo chini Rais Samia Suluhu Hasan akiwa Mwanza mwezi juni 2021 alidai kuwa akiba yetu ya fedha za kigeni ni dola za kimarekani bilioni 4765.

Ndugu zangu Mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya fedha za kigeni dola bilioni 4765. Mwezi Disemba ikapanda na tukaambiwa akiba yetu imefika Dola za kimarekani bilioni 6253. Mwezi Juni 2021 mbona taarifa ya ufafanuzi kuwa Serikali imekosea haikutoka?

Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa haya mambo yanapangwa kimkakati na kwa makusudi kwani siyo rahisi Rais akosee mara mbili.

Huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.Ni vyema tukajua ukweli uko wapi kwani hii nchi ni yetu sote.

Kwa mtu mwenye akili zake ukiunganisha doti ya hizi hotuba mbili ni lazima upate harufu ya kitu ambacho siyo kizuri.

Kitendo cha Rais kukosea mara mbili kinaibua tena maswali kadha ambayo ndani yake yanatupa taarifa kuwa huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.

1.Inawezekana Rais amekosea mara mbili?

2.Mbona mwezi juni 2021 hatukupata ufafanuzi kuwa Serikali imekosea?

3.Kama Rais anakosea kirahisi hivi,ni mangapi anakosea?
View attachment 2066406
Nchi inaongozwa na VIBWENGO VYA MZEE WA MSOGA
 
Wenye shida ni nyie ila samia hana shida kabisa anawachora tu mnavyohangaika mitandaoni mabwege nyie
Nikweli house girl mungu ampe nini tena ? Labda gunia la chawa kuwa raisi bila ya kupigiwa kula wala kuchaguliwa na wananchi
 
Back
Top Bottom