Inashangaza: Rais Samia mwezi Juni 2021 alisema akiba ya fedha za kigeni ni Dola bilioni 4,765

Inashangaza: Rais Samia mwezi Juni 2021 alisema akiba ya fedha za kigeni ni Dola bilioni 4,765

Tukiambiwa upinzani hatuna hoja tunakaidi. Sasa mpiga kura wa nakapanya huko mkienda kumwambia Rais alisema tuna akiba ya Dola Bilioni 4700 badala ya 4.7 atawaelewa kiasi awape kura kweli?

Hatuhitaji kura za wajinga, hizo tumewaachia nyie, sisi hizi hizi za waelewa zinatutosha na ndio hizi mnaua watu na kuwaacha na vilema vya maisha. Hatujawahi kujivunia wajinga hata siku moja maana tunachukia ujinga.
 
Haupo sahihi kwa sababu hata akiletewa hutoba mezani anapaswa aipitie kwanza na ajiridhishe na figures ndipo apande hewani.

Kwa mtu wa kawaida ambae siyo hata Rais ukiona figure inasema kuwa akiba ya fedha za kigeni ni dola billioni 4765 lazima ushtuke,sembuse Rais?

Ukweli ni kwamba kuna kitu hakipo sawa nchini na huenda tunaongozwa na Serikali ya kipropaganda.

Kudai kuwa Rais anakosea kwa sababu anaandaliwa hotuba ni non-sense kwa sababu Rais anapaswa apitie hotuba yake na ajiridhishe nayo kabla hajapanda hewani.
Siyo suala la propaganda wala nini. Ukweli mchungu ni kwamba serikali ya sasa haina umakini katika mambo mengi, tena muhimu. Tumepigwa kukubwa kwa kitu kizito chenye ncha kali!

#Mtanikumbuka!
 
Haupo sahihi kwa sababu hata akiletewa hutoba mezani anapaswa aipitie kwanza na ajiridhishe na figures ndipo apande hewani.

Kwa mtu wa kawaida ambae siyo hata Rais ukiona figure inasema kuwa akiba ya fedha za kigeni ni dola billioni 4765 lazima ushtuke,sembuse Rais?

Ukweli ni kwamba kuna kitu hakipo sawa nchini na huenda tunaongozwa na Serikali ya kipropaganda.

Kudai kuwa Rais anakosea kwa sababu anaandaliwa hotuba ni non-sense kwa sababu Rais anapaswa apitie hotuba yake na ajiridhishe nayo kabla hajapanda hewani.
Ya mara hii hakuwa amejiandaa kuongea na Taifa. Lissu alilazimisha wamuandalie hotuba.
 
Maana yangu ni kwamba kipindi hiki si wametoa taarifa kuwa wamekosea,mbona mwezi juni 2021 kama walikosea hawakutoa taarifa kuwa wamekosea?
Kwa sababu hakuna aliyegundua kuwa taarifa ilikosewa. Na wahusika nao, kwa bahati mbaya, hawakuona makosa hayo.
 
Ndio maana Magufuli mara nyingi alikuwa haandikiwi hotuba na alikuwa anakesha na mafaili mwenyewe
 
Haupo sahihi kwa sababu hata akiletewa hutoba mezani anapaswa aipitie kwanza na ajiridhishe na figures ndipo apande hewani.

Kwa mtu wa kawaida ambae siyo hata Rais ukiona figure inasema kuwa akiba ya fedha za kigeni ni dola billioni 4765 lazima ushtuke,sembuse Rais?

Ukweli ni kwamba kuna kitu hakipo sawa nchini na huenda tunaongozwa na Serikali ya kipropaganda.

Kudai kuwa Rais anakosea kwa sababu anaandaliwa hotuba ni non-sense kwa sababu Rais anapaswa apitie hotuba yake na ajiridhishe nayo kabla hajapanda hewani.
Mkuu raisi namba zinampiga sana chenga
 
Ok, hapa nimekupata; simply hizi taarifa zinatolewa kisiasa kuonesha hali yetu kiuchumi sio mbaya, kwasababu mwezi Juni watu hawakuhoji wakaona na mwezi Dec watudanganye tena ila ndio wakashtukiwa.
Binafsi naamini kosa hilo siyo makusudi, bali kosa la kitaaluma (gross professional mistake) kwa pande zote mbili--mwandishi na mwandikiwa. Simply, kuwa tatizo kubwa la elimu kwenye taasisi ya Urais, na uongozi kijumla.

Pili, kama ni makusudi, basi mwandishi wa hotuba atakuwa amefahamu fika engo ya udhaifu wa mwandikiwa, hivyo anamharibia makusudi. Maana yake ni kwamba mwandikiwa hatoshi kwenye nafasi yake, vinginevyo angeweza kupambanua makosa na kuyarekebisha mara moja.
 
Yes, Rais amekosea then what? Kuna kifungu chochote cha Katiba kilichovunjwa kwa Rais kukosea? Rais JPM alikosea na kusema Saddam Hussein Rais wa Kuwait, ilimfanya kukiuka Katiba? Let's deal with tangible issues, at least zile zenye makosa ya kikatiba au kisheria wajamen.
Ikiwa mambo madogo Kama haya ya kusoma tu anakosea, vipi kuhusu mikataba?
 
Binafsi naamini kosa hilo siyo makusudi, bali kosa la kitaaluma (gross professional mistake) kwa pande zote mbili--mwandishi na mwandikiwa. Simply, kuwa tatizo kubwa la elimu kwenye taasisi ya Urais, na uongozi kijumla.

Pili, kama ni makusudi, basi mwandishi wa hotuba atakuwa amefahamu fika engo ya udhaifu wa mwandikiwa, hivyo anamharibia makusudi. Maana yake ni kwamba mwandikiwa hatoshi kwenye nafasi yake, vinginevyo angeweza kupambanua makosa na kuyarekebisha mara moja.
Samia alirudisha mpaka mshauri wake binafsi wa uchumi lakini hajui ata inchi yake ina akiba kiasi gani uko chunguni japo anauwezo wakwenda ata kuangalia.
 
Point ipo
Raisi anashindwa vipi kutofautisha million na billion?
Achana hata na hilo. Anashindwa vipi kushtukia na kutambua nchi ina hazina kiasi gani, exactly? Maana sisi raia tumemwajiri Rais ili a-delive matokeo yenye viwango visivyoweza kutiliwa mashaka. Hivi angekuwa CEO au mkurugenzi mahali fulani, asingetumbuliwa jana yake, kabla hata hajafanya kosa?
 
Ndugu zangu haya mambo yanashangaza sana.Katika kipande cha video hapo chini Rais Samia Suluhu Hasan akiwa Mwanza mwezi juni 2021 alidai kuwa akiba yetu ya fedha za kigeni ni dola za kimarekani bilioni 4765.

Ndugu zangu Mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya fedha za kigeni dola bilioni 4765. Mwezi Disemba ikapanda na tukaambiwa akiba yetu imefika Dola za kimarekani bilioni 6253. Mwezi Juni 2021 mbona taarifa ya ufafanuzi kuwa Serikali imekosea haikutoka?

Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa haya mambo yanapangwa kimkakati na kwa makusudi kwani siyo rahisi Rais akosee mara mbili.

Huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.Ni vyema tukajua ukweli uko wapi kwani hii nchi ni yetu sote.

Kwa mtu mwenye akili zake ukiunganisha doti ya hizi hotuba mbili ni lazima upate harufu ya kitu ambacho siyo kizuri.

Kitendo cha Rais kukosea mara mbili kinaibua tena maswali kadha ambayo ndani yake yanatupa taarifa kuwa huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.

1.Inawezekana Rais amekosea mara mbili?

2.Mbona mwezi juni 2021 hatukupata ufafanuzi kuwa Serikali imekosea?

3.Kama Rais anakosea kirahisi hivi,ni mangapi anakosea?
View attachment 2066406


Waandishi ndiyo wakulaumu hapa. Ni makoosa makubwa sana kuandika $4765 million badala ya kuandika $4.765 B au kwa ufupi $4.8B waandishi wa Tanzania wana complicates sana !
 
Back
Top Bottom