Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Na hapa ni mwanzo tu. Yajayo ^yana-see-key-tea-sha!^Kwangu mimi namuona Samia ni mtu ambae hana uwezo wa kuchangua mambo! Ye yupoyupo kila kitu anataka aletewe mezan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hapa ni mwanzo tu. Yajayo ^yana-see-key-tea-sha!^Kwangu mimi namuona Samia ni mtu ambae hana uwezo wa kuchangua mambo! Ye yupoyupo kila kitu anataka aletewe mezan
Tukiambiwa upinzani hatuna hoja tunakaidi. Sasa mpiga kura wa nakapanya huko mkienda kumwambia Rais alisema tuna akiba ya Dola Bilioni 4700 badala ya 4.7 atawaelewa kiasi awape kura kweli?
Siyo suala la propaganda wala nini. Ukweli mchungu ni kwamba serikali ya sasa haina umakini katika mambo mengi, tena muhimu. Tumepigwa kukubwa kwa kitu kizito chenye ncha kali!Haupo sahihi kwa sababu hata akiletewa hutoba mezani anapaswa aipitie kwanza na ajiridhishe na figures ndipo apande hewani.
Kwa mtu wa kawaida ambae siyo hata Rais ukiona figure inasema kuwa akiba ya fedha za kigeni ni dola billioni 4765 lazima ushtuke,sembuse Rais?
Ukweli ni kwamba kuna kitu hakipo sawa nchini na huenda tunaongozwa na Serikali ya kipropaganda.
Kudai kuwa Rais anakosea kwa sababu anaandaliwa hotuba ni non-sense kwa sababu Rais anapaswa apitie hotuba yake na ajiridhishe nayo kabla hajapanda hewani.
Mwandishi hana uelewa, sawa. Mwandikiwa yeye tumweke kwenye kundi gani?Huyo mwandishi wake Anaonekana hana uelewa......!!
Ya mara hii hakuwa amejiandaa kuongea na Taifa. Lissu alilazimisha wamuandalie hotuba.Haupo sahihi kwa sababu hata akiletewa hutoba mezani anapaswa aipitie kwanza na ajiridhishe na figures ndipo apande hewani.
Kwa mtu wa kawaida ambae siyo hata Rais ukiona figure inasema kuwa akiba ya fedha za kigeni ni dola billioni 4765 lazima ushtuke,sembuse Rais?
Ukweli ni kwamba kuna kitu hakipo sawa nchini na huenda tunaongozwa na Serikali ya kipropaganda.
Kudai kuwa Rais anakosea kwa sababu anaandaliwa hotuba ni non-sense kwa sababu Rais anapaswa apitie hotuba yake na ajiridhishe nayo kabla hajapanda hewani.
Kwa sababu hakuna aliyegundua kuwa taarifa ilikosewa. Na wahusika nao, kwa bahati mbaya, hawakuona makosa hayo.Maana yangu ni kwamba kipindi hiki si wametoa taarifa kuwa wamekosea,mbona mwezi juni 2021 kama walikosea hawakutoa taarifa kuwa wamekosea?
Mkuu raisi namba zinampiga sana chengaHaupo sahihi kwa sababu hata akiletewa hutoba mezani anapaswa aipitie kwanza na ajiridhishe na figures ndipo apande hewani.
Kwa mtu wa kawaida ambae siyo hata Rais ukiona figure inasema kuwa akiba ya fedha za kigeni ni dola billioni 4765 lazima ushtuke,sembuse Rais?
Ukweli ni kwamba kuna kitu hakipo sawa nchini na huenda tunaongozwa na Serikali ya kipropaganda.
Kudai kuwa Rais anakosea kwa sababu anaandaliwa hotuba ni non-sense kwa sababu Rais anapaswa apitie hotuba yake na ajiridhishe nayo kabla hajapanda hewani.
Point ipoPoint yako nini kwani?
Binafsi naamini kosa hilo siyo makusudi, bali kosa la kitaaluma (gross professional mistake) kwa pande zote mbili--mwandishi na mwandikiwa. Simply, kuwa tatizo kubwa la elimu kwenye taasisi ya Urais, na uongozi kijumla.Ok, hapa nimekupata; simply hizi taarifa zinatolewa kisiasa kuonesha hali yetu kiuchumi sio mbaya, kwasababu mwezi Juni watu hawakuhoji wakaona na mwezi Dec watudanganye tena ila ndio wakashtukiwa.
Jaribu kuheshimu wananchi, wewe! Usidhani ulipoishia chekechea, basi watu wote wana elimu kiduchu kama yako.Tukiambiwa upinzani hatuna hoja tunakaidi. Sasa mpiga kura wa nakapanya huko mkienda kumwambia Rais alisema tuna akiba ya Dola Bilioni 4700 badala ya 4.7 atawaelewa kiasi awape kura kweli?
Ikiwa mambo madogo Kama haya ya kusoma tu anakosea, vipi kuhusu mikataba?Yes, Rais amekosea then what? Kuna kifungu chochote cha Katiba kilichovunjwa kwa Rais kukosea? Rais JPM alikosea na kusema Saddam Hussein Rais wa Kuwait, ilimfanya kukiuka Katiba? Let's deal with tangible issues, at least zile zenye makosa ya kikatiba au kisheria wajamen.
The President is not part of GNT, presidency maybe.Ikiwa mambo madogo Kama haya ya kusoma tu anakosea, vipi kuhusu mikataba?
PAJaribu kuheshimu wananchi, wewe! Usidhani ulipoishia chekechea, basi watu wote wana elimu kiduchu kama yako.
Samia alirudisha mpaka mshauri wake binafsi wa uchumi lakini hajui ata inchi yake ina akiba kiasi gani uko chunguni japo anauwezo wakwenda ata kuangalia.Binafsi naamini kosa hilo siyo makusudi, bali kosa la kitaaluma (gross professional mistake) kwa pande zote mbili--mwandishi na mwandikiwa. Simply, kuwa tatizo kubwa la elimu kwenye taasisi ya Urais, na uongozi kijumla.
Pili, kama ni makusudi, basi mwandishi wa hotuba atakuwa amefahamu fika engo ya udhaifu wa mwandikiwa, hivyo anamharibia makusudi. Maana yake ni kwamba mwandikiwa hatoshi kwenye nafasi yake, vinginevyo angeweza kupambanua makosa na kuyarekebisha mara moja.
Achana hata na hilo. Anashindwa vipi kushtukia na kutambua nchi ina hazina kiasi gani, exactly? Maana sisi raia tumemwajiri Rais ili a-delive matokeo yenye viwango visivyoweza kutiliwa mashaka. Hivi angekuwa CEO au mkurugenzi mahali fulani, asingetumbuliwa jana yake, kabla hata hajafanya kosa?Point ipo
Raisi anashindwa vipi kutofautisha million na billion?
Ndugu zangu haya mambo yanashangaza sana.Katika kipande cha video hapo chini Rais Samia Suluhu Hasan akiwa Mwanza mwezi juni 2021 alidai kuwa akiba yetu ya fedha za kigeni ni dola za kimarekani bilioni 4765.
Ndugu zangu Mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya fedha za kigeni dola bilioni 4765. Mwezi Disemba ikapanda na tukaambiwa akiba yetu imefika Dola za kimarekani bilioni 6253. Mwezi Juni 2021 mbona taarifa ya ufafanuzi kuwa Serikali imekosea haikutoka?
Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa haya mambo yanapangwa kimkakati na kwa makusudi kwani siyo rahisi Rais akosee mara mbili.
Huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.Ni vyema tukajua ukweli uko wapi kwani hii nchi ni yetu sote.
Kwa mtu mwenye akili zake ukiunganisha doti ya hizi hotuba mbili ni lazima upate harufu ya kitu ambacho siyo kizuri.
Kitendo cha Rais kukosea mara mbili kinaibua tena maswali kadha ambayo ndani yake yanatupa taarifa kuwa huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.
1.Inawezekana Rais amekosea mara mbili?
2.Mbona mwezi juni 2021 hatukupata ufafanuzi kuwa Serikali imekosea?
3.Kama Rais anakosea kirahisi hivi,ni mangapi anakosea?
View attachment 2066406
Kati ya kutojua na kukosea wewe unaamini kipi ni sahihi?Point ipo
Raisi anashindwa vipi kutofautisha million na billion?
No way! Hivi wewe umemwajiri fisi akulindie mbuzi, then fisi alaumiwe kwa kufanya yake? Mhusika wa kulaumiwa ni yule aliyemwajiri mtu asiyetosha kwenye nafasi yake.Tatizo lipo Kwa wanaomletea taarifa...