Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
- Thread starter
- #21
Point yangu ni kwamba mwenye makosa na anaepaswa kulaumiwa ni Rais na wala siyo wasaidizi wake wanaemwandalia hotuba.Point yako nini kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point yangu ni kwamba mwenye makosa na anaepaswa kulaumiwa ni Rais na wala siyo wasaidizi wake wanaemwandalia hotuba.Point yako nini kwani?
Non-sense!Kwani yeye hapitii taarifa hizo na kujiridhisha nazo kabla hajapanda hewani?Tatizo lipo Kwa wanaomletea taarifa...
Anayetakiwa kuzipitia ni mpambe wake yule anayekaa nyuma yake na kushauri penye makosa...Non-sense!Kwani yeye hapitii taarifa hizo na kujiridhisha nazo kabla hajapanda hewani?
Kayafanyieni kazi, Yale mloyaleta[emoji23][emoji23][emoji23]Kwangu mimi namuona Samia ni mtu ambae hana uwezo wa kuchangua mambo! Ye yupoyupo kila kitu anataka aletewe mezan
Yes, Rais amekosea then what? Kuna kifungu chochote cha Katiba kilichovunjwa kwa Rais kukosea? Rais JPM alikosea na kusema Saddam Hussein Rais wa Kuwait, ilimfanya kukiuka Katiba? Let's deal with tangible issues, at least zile zenye makosa ya kikatiba au kisheria wajamen.Point yangu ni kwamba mwenye makosa na anaepaswa kulaumiwa ni Rais na wala siyo wasaidizi wake wanaemwandalia hotuba.
Rais anapaswa apitie hutoba yake ili ajiridhishe kama ipo sawa.Huo ndiyo utaratibu dunia nzima.Nchi kama Marekani Rais huandika hotuba yake yeye mwenyewe akishirikiana na wasaidizi wake.Anayetakiwa kuzipitia ni mpambe wake yule anayekaa nyuma yake na kushauri penye makosa...
Usichukulie mambo kirahisi hivyo mkuu.Yes, Rais amekosea then what? Kuna kifungu chochote cha Katiba kilichovunjwa kwa Rais kukosea? Rais JPM alikosea na kusema Saddam Hussein Rais wa Kuwait, ilimfanya kukiuka Katiba? Let's deal with tangible issues, at least zile zenye makosa ya kikatiba au kisheria wajamen.
No!no!no Usihame mada.Mada yetu haikuwa kwamba Rais akikosea kuna kifungu cha katiba amevunja au hakipo kifungu cha katiba alichovunja bali mada yetu ilikuwa ni nani wa kulaumiwa katika hili kati ya Rais na wasaidizi wake.Yes, Rais amekosea then what? Kuna kifungu chochote cha Katiba kilichovunjwa kwa Rais kukosea? Rais JPM alikosea na kusema Saddam Hussein Rais wa Kuwait, ilimfanya kukiuka Katiba? Let's deal with tangible issues, at least zile zenye makosa ya kikatiba au kisheria wajamen.
Kwa hyo hapo tuna rais au tuna sanamu.binadamu kama binadamu unatakiwa ujitambue ujue wajibu wako ni nn na kilichompeleka pale ni nn.utawafanyiaje vitu watz kwa kuandikiwa kila kitu bila kupitia kusoma chochote.huo ni uwenda wazimuAnayetakiwa kuzipitia ni mpambe wake yule anayekaa nyuma yake na kushauri penye makosa...
Tell me the impacts and repercussions from constitution point of view! Hizi statements na allegations za makosa ya marais zimekuwepo maeneo mengi duniani ikiwemo Marekani lakini nothing tangible could be achieved, especially in the poor countries like ours. Absolutely, nothing.Usichukulie mambo kirahisi hivyo mkuu.
Bwege ni MTU anayeletewa matango poli na yeye anayatumia bila kujua ni matango poliWenye shida ni nyie ila samia hana shida kabisa anawachora tu mnavyohangaika mitandaoni mabwege nyie
Haiko hivyo mkuu naomba niishie hapo tu.Tell me the impacts and repercussions from constitution point of view! Hizi statements na allegations za makosa ya marais zimekuwepo maeneo mengi duniani ikiwemo Marekani lakini nothing tangible could be achieved, especially in the poor countries like ours. Absolutely, nothing.
Ndugu zangu haya mambo yanashangaza sana.Katika kipande cha video hapo chini Rais Samia Suluhu Hasan akiwa Mwanza mwezi juni 2021 alidai kuwa akiba yetu ya fedha za kigeni ni dola za kimarekani bilioni 4765.
Ndugu zangu Mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya fedha za kigeni dola bilioni 4765. Mwezi Disemba ikapanda na tukaambiwa akiba yetu imefika Dola za kimarekani bilioni 6253. Mwezi Juni 2021 mbona taarifa ya ufafanuzi kuwa Serikali imekosea haikutoka?
Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa haya mambo yanapangwa kimkakati na kwa makusudi kwani siyo rahisi Rais akosee mara mbili.
Huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.Ni vyema tukajua ukweli uko wapi kwani hii nchi ni yetu sote.
Kwa mtu mwenye akili zake ukiunganisha doti ya hizi hotuba mbili ni lazima upate harufu ya kitu ambacho siyo kizuri.
Kitendo cha Rais kukosea mara mbili kinaibua tena maswali kadha ambayo ndani yake yanatupa taarifa kuwa huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.
1.Inawezekana Rais amekosea mara mbili?
2.Mbona mwezi juni 2021 hatukupata ufafanuzi kuwa Serikali imekosea?
3.Kama Rais anakosea kirahisi hivi,ni mangapi anakosea?
View attachment 2066406
Either of the two could be a blaming part, but the question is then what next? We have been blaming these issues for more than a decade now; from JK to JPM and now SSH. Personally, I couldn't invest so much energy capitalizing on whatever the legitimacy for a thing that will just end up ignored. BTW, have you ever prepared any speech or talking notes for Mr. President?No!no!no Usihame mada.Mada yetu haikuwa kwamba Rais akikosea kuna kifungu cha katiba amevunja au hakipo kifungu cha katiba alichovunja bali mada yetu ilikuwa ni nani wa kulaumiwa katika hili kati ya Rais na wasaidizi wake.