Inashangaza sana! Rasilimali za taifa zimetoroshwa, ruby ya bil 276 imetoroshewa Dubai Mkuu wa nchi yupo kimya kama vile ni jambo dogo

Inashangaza sana! Rasilimali za taifa zimetoroshwa, ruby ya bil 276 imetoroshewa Dubai Mkuu wa nchi yupo kimya kama vile ni jambo dogo

Kwa namna hali ilivyo nilitegemea mkuu wa nchi awe amekemea na kumpa Dotto Biteko Ultimatum.

Yupo busy tu na kuwapongeza waliochangia Royal tour kimchongo.

Utoroshwaji wa rasilimali za umma unarudisha maendeleo ya taifa letu.

Kama mkuu wa nchi hakemei suala kama hili basi tumepotea njia.
REPORT ya CAG Yenye UFISADI wa KUTISHA Kila Mtu yupo KIMYAAA hii ndio TANZANIA MPYA
 
Hizo ni zile zilizojulikana, hatujui ni mali kiasi gani zinatoroshwa.
Tangu atutoke JPM, kuna wizi wa kila aina unaendelea.
RIP, JPM.
 
Upumbavu ni mzigo. Umezaliwa mpumbavu hakuna namna ya kukukwamua.
Wa kukwamuliwa ni wewe unayeshindwa kuelewa kuw amuda umepita na JPM harudi tena. Unajikuta katika upumbavu wako ukijaribu kumponda SSH na ni kama kupaka rangi upepo, ni upotezaji wa muda.
 
Kwa namna hali ilivyo nilitegemea mkuu wa nchi awe amekemea na kumpa Dotto Biteko Ultimatum.

Yupo busy tu na kuwapongeza waliochangia Royal tour kimchongo.

Utoroshwaji wa rasilimali za umma unarudisha maendeleo ya taifa letu.

Kama mkuu wa nchi hakemei suala kama hili basi tumepotea njia.
Watu Wachache Wanamtungia Maneno
Anaupigwa Mwingi
Mei Mosi Kivingine




Mungu Tuepushie Hiki Kikombe....
 
Wa kukwamuliwa ni wewe unayeshindwa kuelewa kuw amuda umepita na JPM harudi tena. Unajikuta katika upumbavu wako ukijaribu kumponda SSH na ni kama kupaka rangi upepo, ni upotezaji wa muda.
Huwezi kuelewa sababu huna akili. Nani anaponda? Huu ni ukweli na lazima watu tuseme. Kama rais anaboronga tusiseme sababu JPM alishakufa. We mpumbavu mkubwa usiejielewa. Na ungekuwa na akili ungekuwa unakaa kimya kuliko kudandia mada Shwain mkubwa.
 
Chuki za kishamba zinawasumbua sana baadhi ya watanzania. Unao uhakika na ushahidi kwamba huo mzigo wa Dubai ni mali ya Tanzania kwa asilimia 100?. Unao ushahidi kwamba mzigo uliondoka nchini awamu ya Samia?.

Kwa taarifa za waziri mzigo uliondoka miaka 11 iliyopita, enzi za JK. Tupunguze nongwa za kipumbavu kama tunataka kuleta mchango chanya kwa taifa letu.
Ndiyo ni Mali ya tz ,lakini haikutoka
Winza, kingine hilo jiwe halina value hiyo
Kutoka inawezekana ilitoka kitambo
Sana

Ova
 
Huwezi kuelewa sababu huna akili. Nani anaponda? Huu ni ukweli na lazima watu tuseme. Kama rais anaboronga tusiseme sababu JPM alishakufa. We mpumbavu mkubwa usiejielewa. Na ungekuwa na akili ungekuwa unakaa kimya kuliko kudandia mada Shwain mkubwa.
Swain na mpumbavu ni wewe usiyeelewa unaandika nini. Ruby iliuzwa nje ya nchi kabla ya 2011 lawama mnakuja kuzileta kwa rais wa 2022 akili zenu za kuvukia barabara haziwasaidii kwa namna yoyote ile.

Kaka Paskali alishaandika kwa kirefu kuhusiana na hiyo ruby kabla hujakurupuka na kuandika upuuzi huu soma kwanza huo uzi upate uelewa.
 
Sasa kama anapaka rangi upepo mbona unahangaika kujibu na kupost kama umekalia uume?
Uume aliukalia vibaya Mama yako mzazi ndio akazaa hayawani kama wewe. Kaandika katika jukwaa la wote hivyo yoyote anaweza kumjibu.

SSH ndio rais wetu Mungu akipenda ni mpaka 2030 hizi fitina za kishamba hazina msaada wowote.
 
wauze tuu, ata kama lingebaki kuwa mali ya tz bado pesa zingepigwa na watu wachache, bongo nyoso
 
Kwa namna hali ilivyo nilitegemea mkuu wa nchi awe amekemea na kumpa Dotto Biteko Ultimatum.

Yupo busy tu na kuwapongeza waliochangia Royal tour kimchongo.

Utoroshwaji wa rasilimali za umma unarudisha maendeleo ya taifa letu.

Kama mkuu wa nchi hakemei suala kama hili basi tumepotea njia.
Zilitoroshwa lini hasa,??....
 
Kwa namna hali ilivyo nilitegemea mkuu wa nchi awe amekemea na kumpa Dotto Biteko Ultimatum.

Yupo busy tu na kuwapongeza waliochangia Royal tour kimchongo.

Utoroshwaji wa rasilimali za umma unarudisha maendeleo ya taifa letu.

Kama mkuu wa nchi hakemei suala kama hili basi tumepotea njia.
Unashangaa nini katiba imemrudikia mamlaka yeye tu, tukisema tunataka katiba mnatupinga
 
Kwa namna hali ilivyo nilitegemea mkuu wa nchi awe amekemea na kumpa Dotto Biteko Ultimatum.

Yupo busy tu na kuwapongeza waliochangia Royal tour kimchongo.

Utoroshwaji wa rasilimali za umma unarudisha maendeleo ya taifa letu.

Kama mkuu wa nchi hakemei suala kama hili basi tumepotea njia.
Mkaka 10 iliopita wizara itaratibu tuone kama tunaweza lipwa kodi
 
Nimekusoma mkuu. Sijamlaumu Dotto bali mama kama kiongozi makini alipaswa kumkazania Dotto kumaliza hili suala. Mama hayupo serious kulinda mali za taifa . Hajasema lolote.
Yeye mzanxi ari ya tanganyika hayamhusu
 
Kwa namna hali ilivyo nilitegemea mkuu wa nchi awe amekemea na kumpa Dotto Biteko Ultimatum.

Yupo busy tu na kuwapongeza waliochangia Royal tour kimchongo.

Utoroshwaji wa rasilimali za umma unarudisha maendeleo ya taifa letu.

Kama mkuu wa nchi hakemei suala kama hili basi tumepotea njia.
GENTAMYCINE
 
Hahaha laiti ungenijua usingenidharau kiasi hicho. Ni kutonye tu kidogo Ninatumika na Washington, London Brussels na kyiv kama middle man kuingiza silaha Ukraine.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nchi ngumu hii
 
We kahaba mbona unahangaika sana. Kalia uume vizuri uingie.
Hakuna fitina hapo.

Ufisadi upo wazi kabisa
Uweke wazi sio kuongea hisia tu halafu ukazilazimisha kuwa ndio ufisadi wenyewe. Awamu ya tano inaumbuliwa kila kukicha, soma gazeti la RAIA MWEMA kila toleo lina habari chafu mpya.
 
Nikitafakari ile shehena ya pembe za ndovu niliyoiona kwenye filamu imekaa tu inaoza ghalani, itoshe kusema nchi hii haijui matumizi ya hizo mnaita rasilimali.
Unaijua mikataba ya kimataifa ya wanyama pori na ujangiri?

#YNWA
 
Ripoti ya CAG haijapatiwa majibu bado unadai ni ufisadi? Acha ujinga ndio maana nakuambia huna akili kahaba wewe
Wewe ndio huna akili kushindwa kuelewa kuwa kutopatiwa majibu hakuondoi jinai ya report hiyo. Mmekuwa wajinga sana awamu hii, hamkutegemea kuwa JPM angeweza kufariki dunia, mkaishi na viburi mkimtegemea binadamu mwenzenu.
 
Kwa namna hali ilivyo nilitegemea mkuu wa nchi awe amekemea na kumpa Dotto Biteko Ultimatum.

Yupo busy tu na kuwapongeza waliochangia Royal tour kimchongo.

Utoroshwaji wa rasilimali za umma unarudisha maendeleo ya taifa letu.

Kama mkuu wa nchi hakemei suala kama hili basi tumepotea njia.
Hakuna ruby za kiasi hicho cha fedha kwa aina hiyo.
Kuna wakati kampuni ilikuwa inayakata hayo mawe na kuweka kwenye bulb holders zenye frame za chuma badala ya kuweka kioo ili ikiwashwa rangi zake zipendezeshe chumba.
 
Back
Top Bottom