Inashangaza sana! Rasilimali za taifa zimetoroshwa, ruby ya bil 276 imetoroshewa Dubai Mkuu wa nchi yupo kimya kama vile ni jambo dogo

Inashangaza sana! Rasilimali za taifa zimetoroshwa, ruby ya bil 276 imetoroshewa Dubai Mkuu wa nchi yupo kimya kama vile ni jambo dogo

Kwa namna hali ilivyo nilitegemea mkuu wa nchi awe amekemea na kumpa Dotto Biteko Ultimatum.

Yupo busy tu na kuwapongeza waliochangia Royal tour kimchongo.

Utoroshwaji wa rasilimali za umma unarudisha maendeleo ya taifa letu.

Kama mkuu wa nchi hakemei suala kama hili basi tumepotea njia.
Wakati inatoroshwa mwaka 2020 JPM alikuwa wapi? Anzia hapo kwanza!
 
Back
Top Bottom