Bruno Toto
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 477
- 546
Sasa wakati wewe umeomba ruhusa huku nyuma kazi zako afanye nani? Serikali hii umeshaambiwa kauli mbiu yake ni HAPA KAZI TU, sasa unadhani wananchi kero Zao zitatatuliwa na nani wakati wewe haupo?
Usifananishe sijui na mwaka 1985 au sijui serikali zilizopita, kila Rais ana mikakati yake ya kuendesha serikali, ukiomba ruhusa tunakupa mkono wa kwaheri, wengine waje waendeleze gurudumu, sasa we unataka kipindi uko kwenye kampeni nani afanye kazi zako?
Usifananishe sijui na mwaka 1985 au sijui serikali zilizopita, kila Rais ana mikakati yake ya kuendesha serikali, ukiomba ruhusa tunakupa mkono wa kwaheri, wengine waje waendeleze gurudumu, sasa we unataka kipindi uko kwenye kampeni nani afanye kazi zako?