Inashangaza: Watu wanamuomba ruhusa Rais Magufuli, badala ya kupewa wanatumbuliwa

Inashangaza: Watu wanamuomba ruhusa Rais Magufuli, badala ya kupewa wanatumbuliwa

Sijawahi kuwa supporter wake tokea 2015,sema kuna wakati kwenye vipengele vingine unaona bora yeye kuliko mpinzani wake. Ila sometimes naona anawakandamiza sana wengine. Anawaambia waridhike why yeye hakuridhika na ualimu ?why yeye hakuridhika na uwaziri ?
Inanishangaza maana wakati mwingine naona kama vile Watanzania tunataka tuongozwe na malaika.
Mzee Baba ktk awamu yake hii inayoisha kafanya mengi na hawezi yeyote akafananisha awamu hii na awamu zilizopia.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu
 
Sijawahi kuwa supporter wake tokea 2015,sema kuna wakati kwenye vipengele vingine unaona bora yeye kuliko mpinzani wake. Ila sometimes naona anawakandamiza sana wengine. Anawaambia waridhike why yeye hakuridhika na ualimu ?why yeye hakuridhika na uwaziri ?
Magufuli aligombea mara mbili ubunge nakushindwa.Lakini hakukata tamaa hadi mara ya tatu walipomega jimbo akashinda.
Magufuli hataki wengine watumie njia aliopitia yeye.

Sababu sijui,lakini akishakukatilia ukaenda kinyume, subiri muziki wa ala, hata Ubunge hawapiti.
 
Nimejiuliza, Rais wetu mpendwa alipokuwa Mwalimu pale Sengerema Secondary School, alipoomba Ruhusa ya kwenda kugombea Ubunge kule Biharamulo. Je, aliachishwa kazi? Watu wanaomba ruhusa ili wakajaribu bahati zao, badala ya kupewa ruhusa wanatumbuliwa. Hii mnaionaje raia?

Binafsi naona sio sawa jamani au kwa vile ni nafasi za kuteuliwa? Najiuliza wale wa kwenye sector zisizo za kuteuliwa i.e watumishi wengine mfano walimu n.k wakiomba ruhusa nao wataachishwa kazi badala ya kupewa ruhusa. It means ukishindwa imekula kwako.

Hii ndo Tanzania ya Magufuli.
Magufuli ana ushenzi sana.

Ni kama kapata yeye anataka kumzibia kila mtu mwingine asipate.
 
Magufuli ana ushenzi sana.

Ni kama kapata yeye anataka kumzibia kila mtu mwingine asipate.
Kabisa anawaambia wenzake waridhike,why yeye hakuridhika na akabaki kufundisha Sengerema boys sec?Akaenda gombea Ubunge,still hakuridhika na akachukua form za urais. Ila wengine waridhike.Upo sawa kabisa Magufuli ana ushenzi sana.
 
Magufuli aligombea mara mbili ubunge nakushindwa.Lakini hakukata tamaa hadi mara ya tatu walipomega jimbo akashinda.
Magufuli hataki wengine watumie njia aliopitia yeye.Sababu sijui,lakini akishakukatilia ukaenda kinyume ,subiri muziki wa ala,hata ubunge hawapiti.
This is not fair. Kamishina wa Elimu angemnyima ruhusa enzi zile,mpaka sasa si angekuwa anakamata chalk ?
 
Cha muhimu ni kumpiga chini Oktoba , msifanye makosa alafu mje kulia lia tena humu.

Madikteta ni watu hatari sana, mwisho wa siku wakipita hawakawii kuomba kuongezewa muda mara katiba ibadirishwe, si umeona Urusi.
 
Fikiria ungekuwa wewe ndiyo kiongozi mtu anaomba ruhusa unamyima? halafu ile kazi aliyokuwa anaifanya imsubiri mpaka arudi? Halafu kuwaruhusu siyo kuwatumbua.
 
Nimejiuliza, Rais wetu mpendwa alipokuwa Mwalimu pale Sengerema Secondary School, alipoomba Ruhusa ya kwenda kugombea Ubunge kule Biharamulo. Je, aliachishwa kazi? Watu wanaomba ruhusa ili wakajaribu bahati zao, badala ya kupewa ruhusa wanatumbuliwa. Hii mnaionaje raia?

Binafsi naona sio sawa jamani au kwa vile ni nafasi za kuteuliwa? Najiuliza wale wa kwenye sector zisizo za kuteuliwa i.e watumishi wengine mfano walimu n.k wakiomba ruhusa nao wataachishwa kazi badala ya kupewa ruhusa. It means ukishindwa imekula kwako.

Hii ndo Tanzania ya Magufuli.
UNAYEMPENDA SANA
 
Magufuli Alichaguliwa na Mkapa kugombea ubunge 1995, Baada ya Mkapa kupita Chato na kuona pako very Primitive, ndiyo akauliza ninani anaweza kuwa mbunge ambaye anatoka pale kjijini, ndiyo wazee wakampendekeza Magufuli kipindi hicho Ni Mwalimu iringa.

Note: Tofautisha Kuomba Ruhusa na Kuchaguliwa.
Hujui lolote. Kwanza Magufuli hakuwa anafundisha Iringa,pili Magufuli kishawahi kushindwa kura za maoni kule Biharamulo mara mbili,hadi lilipogawanywa ndo akaja akapita kura za maoni. Naona unaleta story za vijiweni kwenye Gahawa.
 
Nimejiuliza, Rais wetu mpendwa alipokuwa Mwalimu pale Sengerema Secondary School, alipoomba Ruhusa ya kwenda kugombea Ubunge kule Biharamulo. Je, aliachishwa kazi? Watu wanaomba ruhusa ili wakajaribu bahati zao, badala ya kupewa ruhusa wanatumbuliwa. Hii mnaionaje raia?

Binafsi naona sio sawa jamani au kwa vile ni nafasi za kuteuliwa? Najiuliza wale wa kwenye sector zisizo za kuteuliwa i.e watumishi wengine mfano walimu n.k wakiomba ruhusa nao wataachishwa kazi badala ya kupewa ruhusa. It means ukishindwa imekula kwako.

Hii ndo Tanzania ya Magufuli.
Dish halina chaneli kabisa, kifamilia yupo mmoja ni chizi fresh
 
Hujui lolote. Kwanza Magufuli hakuwa anafundisha Iringa,pili Magufuli kishawahi kushindwa kura za maoni kule Biharamulo mara mbili,hadi lilipogawanywa ndo akaja akapita kura za maoni .Naona unaleta story za vijiweni kwenye Gahawa.
Sio kwny kura za maoni,alishindwa kwny uchaguzi mkuu na Kabuye.
 
Miaka ya 2000 mwanzoni ilitoka sera sijui sheria, ukiwa mwajiriwa ukaamua kuonesha nia kazi unaondolewa.

Namkumbuka dada roz pale mbeya aliingia kugombea kupitia cuf kazi ikaishia na ubunge kakosa.

Labda wamepunguza makali
walioondolewa kazini walikuwa ni wale walioomba kwa tiketi ya upinzani tena sio mfano Mbunge wa sasa wa serengeti ndugu mwita aliondolewa ualimu kwa kuwa aligombea kwa chadema kabla hajaunga mkono juhudi.

Ajabu aliyegombea kwa tiketi ya CCM busega (titus kaman mlengeya) na kushiindwa mwaka 2005 aliruhusiwa kuendela na kazi (TANAPA) kabla hajawa mbunge 2010.
 
Mupe huyu muruke huyu hiyo ni choyo sana.

Magufuri sio JK kikwete wetu, tusilazimishe subili miaka 5 ipite tena
 
Back
Top Bottom