Inashangaza: Watu wanamuomba ruhusa Rais Magufuli, badala ya kupewa wanatumbuliwa

Inashangaza: Watu wanamuomba ruhusa Rais Magufuli, badala ya kupewa wanatumbuliwa

Afu ujue kabudi anapigiwa kampeni wazi wazi tena kwao kilosa, Baba wa kabudi alikaa Kilosa kama Mwinjilisti ndio jamaa kazaliwa kule lakini ni mgogo leo hii anaitwa mtu wa Kilosa na jimbo anapewa na hana hata kibanda pale anafikia hotel
 
Maendeleo Hayana Chama
Ombeni Ruhusa Nitawapa
Ruhusa maana yake, ukirudi unarudi kwenye nafasi yako. Hapa naona wanatumbuliwa na wakishindwa kura za maoni maana yake imekula kwao.
 
Afu ujue kabudi anapigiwa kampeni wazi wazi tena kwao kilosa, Baba wa kabudi alikaa kilosa kama mwinjilisti ndio jamaa kazaliwa kule lakini ni mgogo leo hii anaitwa mtu wa kilosa na jimbo anapewa na hana hata kibanda pale anafikia hotel
Imagine. Pale Kilosa mbunge ni nani ?
 
Ulikuwa supporter wake sana hukujua kuwa Nduhu munhu ho.
Sijawahi kuwa supporter wake tokea 2015, sema kuna wakati kwenye vipengele vingine unaona bora yeye kuliko mpinzani wake. Ila sometimes naona anawakandamiza sana wengine. Anawaambia waridhike why yeye hakuridhika na ualimu? Why yeye hakuridhika na Uwaziri?
 
Watu ajira wengi hawana halafu mwingine anataka vyote Serikalini anataka na ubunge anataka si aachie wengine huo Ni uroho ukiopita kiasi Ni sahihi serikali kumwachisha ili nafasi yake ijazwe na mwingine.

Huko nyuma wasomi walikuwa wachache hivyo mti Alikuwa akiaga kuwa naenda nitarudi.

Sasa hivi wasomi kibao ukiondoka ondoka kimoja pisha wengine.
 
Afu ujue kabudi anapigiwa kampeni wazi wazi tena kwao kilosa, Baba wa kabudi alikaa kilosa kama mwinjilisti ndio jamaa kazaliwa kule lakini ni mgogo leo hii anaitwa mtu wa kilosa na jimbo anapewa na hana hata kibanda pale anafikia hotel
Halima Mdee ni Mbunge wa Kawe kwa Wazaramo cha ajabu nini?
 
Wewe unaonaje ?Watu wanaomba Ruksa ila matokeo yake,wanatumbuliwa. 2015 tulishuhudia Dr Mwele aliomba ruksa kwenda kuomba Urais,aliposhindwa kupita kwenye mchujo,akarudi kwenye nafasi yake ya ukurugenzi.
Labda kuna sababu nyingine nyuma.Huwezi jua.
 
Sijawahi kuwa supporter wake tokea 2015, sema kuna wakati kwenye vipengele vingine unaona bora yeye kuliko mpinzani wake. Ila sometimes naona anawakandamiza sana wengine. Anawaambia waridhike why yeye hakuridhika na ualimu? Why yeye hakuridhika na Uwaziri?
Kwa maana hiyo sasa hivi Magu ndiyo katiba ya nchi yeye ndiye anayeamua uhuru wa wengine kufanya mambo yao.

This is not right
 
Kwa maana hiyo sasa hivi Magu ndiyo katiba ya nchi yeye ndiye anayeamua uhuru wa wengine kufanya mambo yao.

This is not right
Sure,this is not right. I second you on this 💯.
 
Labda kuna sababu nyingine nyuma.Huwezi jua.
Ni vile anawashauri waridhike, yeye angeridhika na ualimu angeukamata ubunge ? Angeridhika na ubunge je leo angekuwa Rais. Anawashauri watu kitu ambacho yeye hakuwahi kukifanya.

Na katika maisha ili ufanikiwe hutakiwi kuridhika na sehemu uliyopo lazima ufanye juhudi za kwenda juu zaidi labda uugue au ufe ndo huo utakuwa mwisho.
 
Hivyo ndivyo ilivyo hapa Tanzania. Ukiomba kugombea cheo chochote cha kisiasa basi utumishi wako unakoma hapohapo. Ukishindwa kuchaguliwa imekula kwako. Sheria mbaya sana ise!

Imesharekebishwa
Sasa unagombea bila kuacha kazi
 
Ni vile anawashauri waridhike,yeye angeridhika na ualimu angeukamata ubunge ?angeridhika na ubunge je leo angekuwa Rais. Anawashauri watu kitu ambacho yeye hakuwahi kukifanya. Na katika maisha ili ufanikiwe hutakiwi kuridhika na sehemu uliyopo lazima ufanye juhudi za kwenda juu zaidi labda uugue au ufe ndo huo utakuwa mwisho.
Kwa ufupi mzee huyu ana roho mbaya! Nawashangaa watu sijui kwa nini wanataka apewe tena 5 year? Mimi hajanishawishi kabisa!
 
Back
Top Bottom