chivala
JF-Expert Member
- Apr 13, 2021
- 772
- 2,332
Hili wameanza kupiga nyundo katikati, wanandugu wasipo litembelea, linamaliziwa na biashara inaendelea...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili wameanza kupiga nyundo katikati, wanandugu wasipo litembelea, linamaliziwa na biashara inaendelea...
Hakuna mtu anaeabudu kaburi, sema kuna watu wanao yatukuza makaburi!Watu sema hawasomi Historia hii tabia ya kujengea makaburi imekuja kupelekea watu wanayaabudia makaburi.
Kiasili ni kuweka alama na ikipita miaka mingi sehemu hiyo waje wazikwe na wengine.
Huku kwetu kujengea makaburi ni HARAMU na kufanya hivyo unapata madhambi.
Mwenye kaburi anaitwa Gaydon S MpangalaHili wameanza kupiga nyundo katikati, wanandugu wasipo litembelea, linamaliziwa na biashara inaendelea...
Je ni kweli yametukuka?Hakuna mtu anaeabudu kaburi, sema kuna watu wanao yatukuza makaburi!
Very sadHili wameanza kupiga nyundo katikati, wanandugu wasipo litembelea, linamaliziwa na biashara inaendelea...
Huko kwenu wapi, kujengea makaburi ni HARAMU' Afghanistan?Watu sema hawasomi Historia hii tabia ya kujengea makaburi imekuja kupelekea watu wanayaabudia makaburi.
Kiasili ni kuweka alama na ikipita miaka mingi sehemu hiyo waje wazikwe na wengine.
Huku kwetu kujengea makaburi ni HARAMU na kufanya hivyo unapata madhambi.
serikali ipige marufuku watu kujengea makaburi na kupiga plasta na tiles kwenye makaburi ya uma,mtu akitaka hayo akazike kwake,watu wanakufa kila wakati lakini maeneo ya makaburi hayaongezeki.Hivi kwanini watu huwa wanajengea makaburi ?
Huku sifa za mjini kuzikwa Kinondoni kiwanja cha kaburi milion kumiSioni logic ya kuzikwa kwenye makaburi ya umma. Kwetu Unyanyembe, makaburi yanaheshimiwa sana tofauti kabisa na huko kwenu Dar es Salaam ambalo makaburi ni gesti wakati wa usiku na wakati wa mchana ni makazi ya mateja na wavuta bangi kulipuloza dude lao
Ujinga mwingi sana.Anayehusudu tambiko ni Kissendi Nyanda Ntalima Mpandagoya.
Yaani eti kweli Teja akifa anaweza kukupa utajiri ukimuomba?
Maana Teja naye hugeuka mzimu
Jambo kama huna elimu nalo bora ukae kimya.Hakuna mtu anaeabudu kaburi, sema kuna watu wanao yatukuza makaburi!
Ni kweli mkuu ni uharibifu wa mazingira na kuwababisha matambikoWatu sema hawasomi Historia hii tabia ya kujengea makaburi imekuja kupelekea watu wanayaabudia makaburi.
Kiasili ni kuweka alama na ikipita miaka mingi sehemu hiyo waje wazikwe na wengine.
Huku kwetu kujengea makaburi ni HARAMU na kufanya hivyo unapata madhambi.
Kwetu huku nilipo. Bali katika Historia yalivunjwa makaburi yaliyo jengewa.Huko kwenu wapi, kujengea makaburi ni HARAMU' Afghanistan?
Sijaelewa hapa "kuwababisha".Ni kweli mkuu ni uharibifu wa mazingira na kuwababisha matambiko
Popote tu ni uharibifu wa pesa na madhara yake ni makubwa mno.serikali ipige marufuku watu kujengea makaburi na kupiga plasta na tiles kwenye makaburi ya uma,mtu akitaka hayo akazike kwake,watu wanakufa kila wakati lakini maeneo ya makaburi hayaongezeki.
Ina sababisha watu wawe wanaenda kufanya matambikoSijaelewa hapa "kuwababisha".
Watu wajinga sana.
Ahsante nimekuelewa bibie.Ina sababisha watu wawe wanaenda kufanya matambiko
Mkuu huyo ndugu yako anaendeleaje?Ndio