INASIKITISHA: Makaburi Kinondoni yanavunjwa makusudi ili ipatikane nafasi ya kuzikia

INASIKITISHA: Makaburi Kinondoni yanavunjwa makusudi ili ipatikane nafasi ya kuzikia

Hapo kinachofanyika ni uhuni wa daraja la juu. Tulinunua eneo la kuzikia sh millioni 2, tukaambiwa tulipe laki 3 ya wachimbaji. Aisee kwenye kaburi la ndugu yangu ilifukuliwa mifupa ya mtu aliyezikwa zamani. Tukiwa tunazika, wachimbaji wakaomba waifukie mifupa ya yule marehemu wa Kwanza mle kaburini
Eneo la kuzika 2 m???
Kuchimba kaburi 300k??
Kwa sisi wengine hiyo hela inatosha kila kitu mpaka usafiri na hela kidogo ya kunywa bia pale Mombo.
 
Tangazo! Tangazo! Tangazo!
Nikikufa hata kesho nichoomeeni mbali huko majivu yangu yawe mbolea mwagieni mashambani niwe mbolea mazao yakue,mpate chakula cha kuendelea kusurvive duniani mbaka siku zenu za kuishi ziishe itapendeza sana

Dead man no tell tales!
 
Kujengea makaburi mi naona si vizuri imagine mababu zetu wangekuwa wanajengaga makaburi Leo tusingepata sehemu aisee
Tz ni kubwa mno,sehemu ingekuwepo tu,last week nimetembelea makaburi fulani ya ndugu zangu ,wengi wamezikwa mwanzoni mwa miaka ya 1900 na wengine miaka ya 1800
 
Hapo kinachofanyika ni uhuni wa daraja la juu. Tulinunua eneo la kuzikia sh millioni 2, tukaambiwa tulipe laki 3 ya wachimbaji. Aisee kwenye kaburi la ndugu yangu ilifukuliwa mifupa ya mtu aliyezikwa zamani. Tukiwa tunazika, wachimbaji wakaomba waifukie mifupa ya yule marehemu wa Kwanza mle kaburini
Nimeelewa. Kumbe ardhi yote imshajaa kwahiyo siku hizi watu wanachimba kaburi juu ya kabuki. Maana "Makaburi ya Kinondoni" ni ya muda mrefu sana.
 
Back
Top Bottom