Makandila9090
Senior Member
- Aug 16, 2016
- 161
- 190
Ukiwapa kuanzia milioni unapata pa kuzika. Ukienda mikono tupu unaambiwa nendeni ununioHapo ukienda mikono nyuma unaambiwa kumejaa..ukitia laki name hadi milioni unapata nafasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwapa kuanzia milioni unapata pa kuzika. Ukienda mikono tupu unaambiwa nendeni ununioHapo ukienda mikono nyuma unaambiwa kumejaa..ukitia laki name hadi milioni unapata nafasi
Utajua siku ukimpoteza mpendwa wako yeyote. Mungu akusaidie inaonekana hujafiwa na mpendwa wako.Unatembelea kaburi ili upate nini
Haa haaaah unaweza soma barua kwenye kioo wewe. Zamani shule za msingi ilikuwepo to pick ya kusoma maneno pindu. Ndiyo maneno 'PINDU'.Mwenye kaburi anaitwa Gaydon S Mpangala
Buji makaburi ya hapo hayamalizi miaka kumi hasa yale ambayo ndugu zao hawayatembelei mara kwa mara... Linapandiwa dau watu wanaenda kujenga heshima bara
Na hio ndio asili yetu waafrika,ila kwasababu hatujitambui tumebaki tunaita mababu zetu mapepoIna sababisha watu wawe wanaenda kufanya matambiko
Labda tuanze kuchoma wafu ili maeneo yasiisha.mtindo wa kuzikana mashimoni unachukua nafasi kubwa.Makaburi Kinondoni yamekuwa yakihujumiwa makusudi ili iweze kupatikana nafasi ya kuzika tena.
Leo nilitembelea makaburi hayo asubuhi kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya ndugu yangu aliyelazwa kwenye makaburi hayo.
Huku sifa za mjini kuzikwa Kinondoni kiwanja cha kaburi milion kumi
Kudadadeki. Serikali inasemaje?Kuna siku nilienda msibani, sa wakati wa kuzika tukiwa makaburini sheikh akatoa speech
Akiwataka wanaozika ndugu zao kwenye makaburi ya eneo hilo waache mara moja tabia ya kujenga makaburi kwa cement, concrete au tiles
Maana eneo hilo limekwisha jaa hivyo kufanya hivyo unakua unazuia wengine washindwe kuzika ndugu zao, utaratibu uliopendekezwa ni kuzika bila kujenga ili siku za mbeleni mwingine apate nafasi ya kuzika juu yako
Hela za kukusafirisha nipe kabisaMimi ninaomba nizikwe kwetu Mtae
Mtae ni wapiMimi ninaomba nizikwe kwetu Mtae
Kama mnapesa hivyo kwanini hamkusafirisha kijijini kwenu?Hapo kinachofanyika ni uhuni wa daraja la juu. Tulinunua eneo la kuzikia sh millioni 2, tukaambiwa tulipe laki 3 ya wachimbaji. Aisee kwenye kaburi la ndugu yangu ilifukuliwa mifupa ya mtu aliyezikwa zamani. Tukiwa tunazika, wachimbaji wakaomba waifukie mifupa ya yule marehemu wa Kwanza mle kaburini
Watu sema hawasomi Historia hii tabia ya kujengea makaburi imekuja kupelekea watu wanayaabudia makaburi.
Kiasili ni kuweka alama na ikipita miaka mingi sehemu hiyo waje wazikwe na wengine.
Huku kwetu kujengea makaburi ni HARAMU na kufanya hivyo unapata madhambi.
Aisee. Unaweza kukuta wewe Ni Dada yangu.Mimi ninaomba nizikwe kwetu Mtae