Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💰💱💵💶💶💷
mimi nashangaa manispaa ya kinondoni kwanini hawakatazi watu kuendelea kuzikana pale maana kumejaa sna na mateja wapo pale ndio wanaofanya huu ujinga wanatafuta makabuli ya mda kidgo wanayaharibu makusudi hii si sawa ni lazima tuwaheshimu ndugu zetu walitangulia mbele ya haki kama kumbukumbu kwetu na ndugu zao..serikali mnasubili nini kuzuia huu ushenzi unaofanyika hapo kinondoni?Kaburi likiwa limevunjwa na linaendelea kusambaratishwa. View attachment 1937397
Kwani kuna shida likivunjwa na huyo mtu zake ndo zishafika mwishoMakaburi Kinondoni yamekuwa yakihujumiwa makusudi ili iweze kupatikana nafasi ya kuzika tena.
Leo nilitembelea makaburi hayo asubuhi kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya ndugu yangu aliyelazwa kwenye makaburi hayo.
Wengine wanatembelea makabuli kwa ajili ya ibada kulingana na imani zao zinaruhusu wengine wanatembelea makaburi kama sehemu ya kumbukumbu ya ndugu zao walitangulia mbele ya haki.. Swali kwako wewe mwenzetu mkisha zika huwa amgeuki nyuma au huwa hata hamziki mnatupa tu maiti..Unatembelea kaburi ili upate nini
Nlipata taarifa kuna msiba hapo mtoto mmja wa kino walikuwa wanamzika mida hii
Niangalizie na langu kama liko sawa brooMakaburi Kinondoni yamekuwa yakihujumiwa makusudi ili iweze kupatikana nafasi ya kuzika tena.
Leo nilitembelea makaburi hayo asubuhi kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya ndugu yangu aliyelazwa kwenye makaburi hayo.
Kujengea makaburi mi naona si vizuri imagine mababu zetu wangekuwa wanajengaga makaburi Leo tusingepata sehemu aiseeHivi kwanini watu huwa wanajengea makaburi ?
Umetoa wosia hapa. Tupe namba ya ndugu zako tuwape taarifaMimi ninaomba nizikwe kwetu Mtae
Sasa huu ni ujinga ulio pea.Ili watambike na wasiwapoteze ndugu zao
Watu sema hawasomi Historia hii tabia ya kujengea makaburi imekuja kupelekea watu wanayaabudia makaburi.Kujengea makaburi mi naona si vizuri imagine mababu zetu wangekuwa wanajengaga makaburi Leo tusingepata sehemu aisee
Sioni logic ya kuzikwa kwenye makaburi ya umma. Kwetu Unyanyembe, makaburi yanaheshimiwa sana tofauti kabisa na huko kwenu Dar es Salaam ambalo makaburi ni gesti wakati wa usiku na wakati wa mchana ni makazi ya mateja na wavuta bangi kulipuloza dude laoKaburi lako litatunzwa na kuheshimiwa milele
[emoji24][emoji24]Hapo kinachofanyika ni uhuni wa daraja la juu. Tulinunua eneo la kuzikia sh millioni 2, tukaambiwa tulipe laki 3 ya wachimbaji. Aisee kwenye kaburi la ndugu yangu ilifukuliwa mifupa ya mtu aliyezikwa zamani. Tukiwa tunazika, wachimbaji wakaomba waifukie mifupa ya yule marehemu wa Kwanza mle kaburini
Anayehusudu tambiko ni Kissendi Nyanda Ntalima Mpandagoya.Sasa huu ni ujinga ulio pea.
Kumbukumbu si lazima ujengee,ukiweka alama inatosha.
Nimekupat.
TrueIla sisi binadamu tuna uchuro sana. Kwanini ujengee kaburi? Tena ikiwa ni makaburi ya public?
Kama ni makaburi ya familia sawa jengeeni ila kama unazikwa kwenye cemetery za jumuiya msiwe mnajengea. Kwasababu kiuhalisia ni kuwa ingekuwa makaburi hayafukuliwi na kuzikwa wengine hapo Kinondoni pangeshajaa miaka ya zamani sana.
Wanaojengea makaburi ni wabinafsi tu. Mtu akishakufa amaekufa mzikeni sawa ila msijengee kaburi ili na wengine wakifa wapate pakusitiriwa.
Ifikie mahali pia tuwe na tamadani za kufanya cremation (kuchoma miili baada ya taratibu za msiba). Hii itapunguza uhitaji wa ardhi ya kuzikia watu.
Sisi wamasai zamani mtu alikuwa akifa tunampaka mafuta ya kondoo na anapelekwa vichakani huko analiwa na fisi habari yakw inakuwa imeisha.