City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Umeambiwa ni TRA officer, soma vizuri na uelewe.Okay tuseme ni mwanafunzi wa CBE Dodoma ambaye alienda kufanya field katika ofisi za TRA huko Dar lakin je muda wa field haukuwa umeisha ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeambiwa ni TRA officer, soma vizuri na uelewe.Okay tuseme ni mwanafunzi wa CBE Dodoma ambaye alienda kufanya field katika ofisi za TRA huko Dar lakin je muda wa field haukuwa umeisha ?
Wananchi Tegeta kwa Ndevu wameiumbua serikdli.Pamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?
Maswali yanazidi kuchanganya umma
Poleni wafiwa
Mwanafunzi wa field ndo tanzia yake itangazwe na bodi ya wakurugenzi ya taasisi, tena kwa kutajwa mtumishi?Labda alikuwa field anafanya mafunzo kwa vitendo !
Chadema kimehusikaje mzee au ndio umeshavurugwa?😂😂😂😂😂 unajiropokea tuCHADEMA tulieni. Hii nchi ni ya kila mmoja. Acheni kuichafua TRA
Actually inaelekea hata hao jamaa wa BMW X6 ni majasusi waliokuwa wakifuatiliwa.Huyo ni wale jamaa zetu, huko chuoni ni sleeper agent
Pamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?
Maswali yanazidi kuchanganya umma
Poleni wafiwa Kwa ni kusoma part time hairuhusiwi?
Kwa hiyo ilikuwaje?Umeambiwa ni TRA officer, soma vizuri na uelewe.
Field gani Mkuu na semister ndio kwanza yamoto hata mid tests bado. Ila kwa wingi wa taarifa huyu mi mtumishi kamili wa hiyo mamlaka.Kwani hawezi kuwa Field?
Kama mwanachuo na yuko kazini alikiwa either field au alikuwa anafanya kazi huku anasoma labda masters
Ila nimeona hapo wameandika bachelor so what do i know