Inasikitisha na kustua sana. Marehemu Kambayao wa TRA alikuwa pia Mwanachuo CBE Dodoma

Inasikitisha na kustua sana. Marehemu Kambayao wa TRA alikuwa pia Mwanachuo CBE Dodoma

Maswali yanazidi kuchanganya umma
Unajiongezea maswali tu wewe mwenyewe; kwani hawezi kuwa yupo 'field training' huku akiwa mwana funzi?
Tuseme tu kuwa inawezekana hawakufuata taratibu za mafunzo na kazi zao inavyo takiwa kuwa.. Hali ilivyo nchini ndio mchango mkubwa wa haya yote. Hapakuwa na sababu yoyote kwa wananchi kuchukua hatua hiyo kama hali ya utulivu ingekuwepo nchini.
 
CHADEMA tulieni. Hii nchi ni ya kila mmoja. Acheni kuichafua TRA
Acha upuuzi wa kuingiza mambo ya vyama katika kila jambo na si kila mtu yuko affiliated na huo upuuzi wa vyama vya siasa.
Back to the topic:
Kifo ni kifo tu, amekufa kihalali kabisa kwa ujinga wake wa kukubali kutumika katika utekaji na uuaji pamoja na maelezo yote yanayokuja kujaribu kuisafisha serikali. It's very obvious kuna kitengo ndani ya 'kitengo' kimepewa jukumu la kuisafisha serikali but unfortunately it's too late for that, nobody is buying this kind of shit anymore. Haya maelezo mapya ndiyo yanazidi kufumbua macho hata wale waliokuwa wameamishwa kwamba huyo dogo alikuwa kwenye operation za TRA za kukimbiza raia kama wanakimbiza jambazi waliyemkurupusha katika tukio la ujambazi. Easily wangehabarishwa traffic offers at any time gari lingekutwa kituo cha polisi kirahisi kabisa na hata mmiliki wa gari angekutwa hapo au kama utaratibu wa TRA ilivyo kwa operation 'maalum' wangeongozana na polisi waliovaa sare rasmi za jeshi lao.
 
Kwani hawezi kuwa Field?
Kama mwanachuo na yuko kazini alikiwa either field au alikuwa anafanya kazi huku anasoma labda masters
Ila nimeona hapo wameandika bachelor so what do i know
Hiyo ya field umeisema wewe, hizi twists and turns zimekuwa nyingi na panicking ya kuisafisha serikali imekuwa kubwa sana mpaka wanajichanya wenyewe. Obviously order ya kuisafisha serikali na vyombo vyake vya usalama imetoka juu kabisa at the top hence huu mkanganyiko tunaouona, kikawaida spinning hufanywa mara moja whether you believe it or not and you wait for the heat to cool down lakini hizi comedies zinazoendelea ni vichekesho mwanzo mwisho.
Ni vizuri raia wamekuwa vigilant na wanalindana wenyewe kwa wenyewe na hili tukio litazidisha hamasa ya raia wema kulindana ili wasitekwe na kuuawa kijingajinga, mtu yeyote atakapohisi anatekwa lazima ataanza kupiga kelele kuomba msaada and that's the best defensive mechanism.
 
Kwa vyovyotw vile hili tangazo la CBE ni calculated move!
It won't work, ndiyo wanazidi kujichanganya. Miluzi imekuwa mingi from different angles mpaka watu hawajui washike lipi waache lipi, waamini maelezo yapi na waache yapi. Spins zimekuwa nyingi mpaka wamerudi where they exactly belong kwamba liwalo na liwe raia wameshatustukia bora tuzidi kuvuruga tu🤣. Inaonekana kiranja mkuu(headmistress) ka-panic na katoa maelekezo makali ndiyo maana kila ofisi inadai yule ni kijana wao ili waonekane wanatoa ushirikiano kumsafisha.
 
Back
Top Bottom