Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini useme 'labda masters' wakati wameshakwmbia alikuwa anasoma bachelor degree? Kwanini useme 'kwani hawezi kuwa field' wakati TRA wamekwambia ni mtumishi wao?Kwani hawezi kuwa Field?
Kama mwanachuo na yuko kazini alikiwa either field au alikuwa anafanya kazi huku anasoma labda masters
Ila nimeona hapo wameandika bachelor so what do i know
Yaani anatengeneza labda ambazo hazipoKwanini useme labda masters wakati wameshakwmbia alikuwa anasoma bachelor degree? Kwanini useme 'kwani hawezi kuwa field' wakati TRA wamekwambia ni mtumishi wao?
Pamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?
Maswali yanazidi kuchanganya umma
Poleni wafiwa
Nchi inaongozwa na wahuni wananchi wanapaswa kupambana na serikali ya kihuni kama inavyo endeshwa.Pamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?
Maswali yanazidi kuchanganya umma
Poleni wafiwa
Soma vizuri tangazo la uongozi wa Chuo.Kwani hawezi kuwa Field?
Kama mwanachuo na yuko kazini alikiwa either field au alikuwa anafanya kazi huku anasoma labda masters
Ila nimeona hapo wameandika bachelor so what do i know
Kumbe home boy. Apumzike kwa amniPamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?
Maswali yanazidi kuchanganya umma
Poleni wafiwa
Alikuwa usalaamaInaonekana jamaa yuko Kitengo kikali sana maana si kwa utetezi ule wa vyombo
Kuna uzi humu wamesema alikuwa dereva na alumni wa SUA/ Mzumbe,Okay tuseme ni mwanafunzi wa CBE Dodoma ambaye alienda kufanya field katika ofisi za TRA huko Dar lakin je muda wa field haukuwa umeisha ?
Dodona ipo nchi gani?sikuiti mkuu dodona ni wapi?Pamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?
Maswali yanazidi kuchanganya umma
Poleni wafiwa
Hata damu ya mzee kibao haijaenda bure.si hapo hapo tegeta ndipo aliposhushwa?na ndipo HAPO hapo wameshambuliwa watu wao.Damu yake haitaenda bure itaenda na watu jela
Jamaa alikuwa dereva . Yuko TRA muda mwingi tu.Wabongo wana akili nzito sana
Eti anafanya field
Badala ya kujiuliza alipataje kazi bila kuwa shahada au ndio hawa wanapata kazi kinyemela
Ni mtumishi wa TRA as a driver, na CBE ni mwanafunzi, so kila ofisi ime response kwa namna wanavyorelate naye.Sasa mbona TRA hawakutoa maelezo yaliyo jitosheleza kuwa huyo jamaa ni mwanafunzi??
Hapa kuna mkakati unasukwa
Hilo ni jambazi la ccm na samia ....kill them allPamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?
Maswali yanazidi kuchanganya umma
Poleni wafiwa