Inasikitisha na kustua sana. Marehemu Kambayao wa TRA alikuwa pia Mwanachuo CBE Dodoma

Inasikitisha na kustua sana. Marehemu Kambayao wa TRA alikuwa pia Mwanachuo CBE Dodoma

WAnadeal na matokeo siyo chanzo... hii haiwaondolei hofu wananchi kwa sasa kuogopa watu wanaokuja kama polisi au tra kwa sababu toka mwanzo watu wanatekwa na hakuna aliyekamatwa kwa utekaji. Haya ndiyo matokeo yake sasa.
Solution ni kutafuta mzizi wa chanzo kwanini iwe zama hizi na si zama nyingine yoyote?
 
Pamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?

Maswali yanazidi kuchanganya umma

Maswali magumu

  1. Kwenye taarifa kutoka Bodi ya TRA haikusema kama alikuwa anasoma pia. Ni bahati mbaya au makusudi?
  2. Bachelor Degree kwa chuo kama CBE ni full time darasani, je mwanafunzi alikuwa anafanya nini Tegeta kwa Ndevu usiku ule?
  3. TRA walikosa picha ya marehemu kuiattach kwenye tangazo la msiba, ina maana CBE wana rekodi sahihi ya marehemu kuliko TRA. Je, marehemu hakuwahi kuajiriwa TRA?
  4. Serikali imepanic ama imechanganyikiwa?
  5. Kwenye taarifa ya CBE hawajasema kama marehemu alikuwa pia mwajiriwa wa TRA. Ni bahati mbaya, kujisahau au ndo ukweli?

Poleni wafiwa


Tulisha waambia msipuuze tekateka sasa mnaona wenyewe. Hapa mbona bado hakuna aliye salama hata wewe hauko salama
 
WAnadeal na matokeo siyo chanzo... hii haiwaondolei hofu wananchi kwa sasa kuogopa watu wanaokuja kama polisi au tra kwa sababu toka mwanzo watu wanatekwa na hakuna aliyekamatwa kwa utekaji. Haya ndiyo matokeo yake sasa.
Solution ni kutafuta mzizi wa chanzo kwanini iwe zama hizi na si zama nyingine yoyote?

Wakija wasiojulikana wenyewe mitanganyika inajificha. Hovyo sana
 
RIP Amani Simbayao.

Our thoughts are with his family and friends at this difficult time.

Sasa hii si ni INTERNAL MEMO?

CBE watoe taarifa rasmi iloshiba inayomhusu mwanafunzi/mwajiriwa wa TRA na kwamba wafafanue alikuwa akisoma full-time au part-time.

CBE wawe wazi wasitoe taarifa nusunusu au za kutegemea INTERNAL MEMO.

CBE watoe OFFICIAL PRESS RELEASE.
Hakuna bachelor degree ya part-time.
 
Wakija wasiojulikana wenyewe mitanganyika inajificha. Hovyo sana
Unatofautisha vipi wasiojulikana na vyombo vya usalama? Maana mara zote unasikia wanasema alichukuliwa na waliodai ni polisi walikuja na landcruiser.
Sasa hiyo hali ya kutoweza kuwatofautisha ndiyo inawafanya watu wawe na mashaka na kila anayejiita TRA, polisi. yani sasa hivi ukisikia mtu kafuatwa na polisi unadhani kaenda kufa tofauti na zamani
 
Back
Top Bottom