WAnadeal na matokeo siyo chanzo... hii haiwaondolei hofu wananchi kwa sasa kuogopa watu wanaokuja kama polisi au tra kwa sababu toka mwanzo watu wanatekwa na hakuna aliyekamatwa kwa utekaji. Haya ndiyo matokeo yake sasa.
Pamoja na kauli zote tunazozizungumza. Tufahamu kuwa wanaoumia sana ni wanafamilia wa marehemu. Ushahidi huu hapa 👇👇
View attachment 3171628
Lakini sakata hili limeendelea kutuchanganya sana Watanzania. Tunajiuliza Kambayao alifuata nini Tegeta wakati alipaswa kuwa chuoni Dodoma CBE?
Maswali yanazidi kuchanganya umma
Maswali magumu
- Kwenye taarifa kutoka Bodi ya TRA haikusema kama alikuwa anasoma pia. Ni bahati mbaya au makusudi?
- Bachelor Degree kwa chuo kama CBE ni full time darasani, je mwanafunzi alikuwa anafanya nini Tegeta kwa Ndevu usiku ule?
- TRA walikosa picha ya marehemu kuiattach kwenye tangazo la msiba, ina maana CBE wana rekodi sahihi ya marehemu kuliko TRA. Je, marehemu hakuwahi kuajiriwa TRA?
- Serikali imepanic ama imechanganyikiwa?
- Kwenye taarifa ya CBE hawajasema kama marehemu alikuwa pia mwajiriwa wa TRA. Ni bahati mbaya, kujisahau au ndo ukweli?
Poleni wafiwa
CHADEMA tulieni. Hii nchi ni ya kila mmoja. Acheni kuichafua TRA
Muda wa chuo ye alikua anafanya nn uko Tegeta.
WAnadeal na matokeo siyo chanzo... hii haiwaondolei hofu wananchi kwa sasa kuogopa watu wanaokuja kama polisi au tra kwa sababu toka mwanzo watu wanatekwa na hakuna aliyekamatwa kwa utekaji. Haya ndiyo matokeo yake sasa.
Solution ni kutafuta mzizi wa chanzo kwanini iwe zama hizi na si zama nyingine yoyote?
Hakuna bachelor degree ya part-time.RIP Amani Simbayao.
Our thoughts are with his family and friends at this difficult time.
Sasa hii si ni INTERNAL MEMO?
CBE watoe taarifa rasmi iloshiba inayomhusu mwanafunzi/mwajiriwa wa TRA na kwamba wafafanue alikuwa akisoma full-time au part-time.
CBE wawe wazi wasitoe taarifa nusunusu au za kutegemea INTERNAL MEMO.
CBE watoe OFFICIAL PRESS RELEASE.
Wa kulaumiwa kwenye haya mauaji ni serikali ya ccm.
Damu yake haitaenda bure itaenda na watu jela
Labda kwa cbe lakini OU wanayo.Hakuna bachelor degree ya part-time.
Wenyewe wanasema kifo ni kifo !
Yeah hapa kuna kauzembe fulani kanaonekana kufanyika ka kutofuata utaratibuOkay tuseme ni mwanafunzi wa CBE Dodoma ambaye alienda kufanya field katika ofisi za TRA huko Dar lakin je muda wa field haukuwa umeisha ?
Okay tuseme ni mwanafunzi wa CBE Dodoma ambaye alienda kufanya field katika ofisi za TRA huko Dar lakin je muda wa field haukuwa umeisha ?
Short cut ya maisha ni mbaya sana
Vyuo vya usiku?
distance learning
Kwani hawezi kuwa Field?
Kama mwanachuo na yuko kazini alikiwa either field au alikuwa anafanya kazi huku anasoma labda masters
Ila nimeona hapo wameandika bachelor so what do i know
Unatofautisha vipi wasiojulikana na vyombo vya usalama? Maana mara zote unasikia wanasema alichukuliwa na waliodai ni polisi walikuja na landcruiser.Wakija wasiojulikana wenyewe mitanganyika inajificha. Hovyo sana