Inawezekana kuna mapungufu kwa wengi wao, lakini inatokana na mambo mengi, asili ya mtu, , kujua kwake kwa mambo mengine zaidi ya asili yake NK hivyo kumtoa huko ni kumuelimisha na sio kumuona kama ni duni au asiyeelewa.Uoni waislamu wa matumbi wanavyo mtukuza muarabu wa gaza ..Palestina na kutokuongelea chochote kuhusu wabantu wenzao wanao chinjagwa africa yote hata Sudan nk upishawa kumsikia muarabu akimuulimia mtu mweusi kwa vita au akimtakia amani hata kwenye mauaji ya kimbari ya rwanda uliwai kusikia washenzi wa kiarabu wakisema kitu chochote au kutoa msahada wowote wa maana
Nimekuelewa sanaUjinga ni mtaji!! Jitajidi sanaa kufuta ujinga kwa vizazi vyako maana watakuwa mtaji kwa watu werevu. Ujinga hauna umri. Tuombe sanaa Mungu atusaidie Taifa letu lisiangamie! Tunaanza kuona makucha ya Wazungu kupitia Trump....
Mbona lilishakufa siku nyingiKama tumefikia kuwa na akili za namna hii basi tukubaliane tu Taifa letu limeshajifia. Lizikwe tu!
Unajua nguvu aliyo nayo rais weru hapa nchini huyo akisema hiwe hivi ndio inakuwa hiyo..anamamlaka makubwa sana.Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.
Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.
Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.
Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.
Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.
Tumekuwa Taifa la Wajinga na Ujinga
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Wamenona inamaana huwaoniWatu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.
Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.
Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.
Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.
Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.
Tumekuwa Taifa la Wajinga na Ujinga
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Nani wakati ni taasisi iliyo huru tangu Tanganyika ilipopatauhuru!!?Hao wa kulaumiwa nao si wanawekwa na huyo huyo?
Matumizi ya kodi yangu inakuwaje hayanihusu?Kilaza wewe maana mambo hayukuhusu ,mlitaka demokrasia pambaneni.
Kama ingekuwa ni taasisi huru kusingekuwa na sarakasi zinazoendelea nchini.Nani wakati ni taasisi iliyo huru tangu Tanganyika ilipopatauhuru!!?
Ccm imewameza sana wangeandaa mbadala wa CCM Ili kupokezana madaraka na kutiana adabu kama America!!
Naunga mkono hoja hiiMuislamu hatakiwi kupewa uongozi kwenye hii nchi ndiyo wanao ikwamisha nchi yetu kwenye umaskini wakimsingizia nyerere ....
Watabaguliwa tu kama wamepata nyadhifa wao wanadisply incompetenceTusimbague mtu kutokana na Dini Jinsia Kabila nk.
Vilaza wako kote kote.Watabaguliwa tu kama wamepata nyadhifa wao wanadisply incompetence
Wacha watu wamfurahie mama akiupiga mwingi.....Watu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.
Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kula.
Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine kiuchumi na kila kitu.
Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.
Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.
Tumekuwa Taifa la Wajinga na Ujinga
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Kesho nenda na bango lenye maneno hayo pale ubungo na uitishe kufutwa kwao uraia wa Tanzania.....Muislamu hatakiwi kupewa uongozi kwenye hii nchi ndiyo wanao ikwamisha nchi yetu kwenye umaskini wakimsingizia nyerere ....
Zwazwa huyo yeye ni nani atupangie wa kumpenda ?!!Ni haki ya watanzania kupenda viongozi wao, na taifa lao, Katiba ina uhuru wa maoni, huna haki kuingilia haki yao ya maoni. Sawa na wewe ulivyo na mahaba na chechemela
....ila tumsikilize yeye ?!!Kwa hiyo watu wasimsikilizw kiongozi wa nchi , demokrasia si mlitaka wenyewe...Kaeni mpaka muda wenu ukifika.
Waislam hawaongozwi na wanawake!! Nchi zilizoongozwa na wanawake mara nyingi huchechemea kwasababu Islam hairuhusu! Zanzibar bibi Kizimkazi asingepata uongozi wa visiwani.Muislamu hatakiwi kupewa uongozi kwenye hii nchi ndiyo wanao ikwamisha nchi yetu kwenye umaskini wakimsingizia nyerere ....
Mungu yupoMkuu wewe save hizi picha ni swala la muda tuu, chuma huliwa na kitu, mtu huzali na kufa vile vile.
Ndo mana nasema tumeshakuwa Taifa la Wajinga na ujingaUnajua nguvu aliyo nayo rais weru hapa nchini huyo akisema hiwe hivi ndio inakuwa hiyo..anamamlaka makubwa sana.
Mm nawaelewa sana wanomhusudu watu wanataka mambo yao yaende mbele..