Nilidhani unakuja na hoja ya kubisha uhusiano wa ule msemo na viongozi waislamu...kumbe umekuja kutetea namna bwana abdul anavyo linajisi taifa kibisumirai bisumirai😁😁😁😁We jamaa utaumia sana ,kumbuka hakuwa na mpango ila yule jamaa alikufa ...Dunia kila kitu ni mpango wa Mungu.
Huu ni ukweli mchungu. Ila naamini ipo siku wenye akili watasimama na kulikomboa hili Taifa toka mikononi ya hawa vilaza na wajinga.Wakati mwingine najihisi vibaya kusema watanzania wengi ni vilaza, ila huo ndyo ukweli na utabaki kuwa ukweli siku zote.
Wewe una uhakika gani? Watu wana biashara zao kabla ,kama CCM inawalipa vizuri kabla ya kuwa na vyeo vya juu.Nilidhani unakuja na hoja ya kubisha uhusiano wa ule msemo na viongozi waislamu
Jipige kifua alafu sema kwa sauti "Mimi ni Mjinga"Wewe una uhakika gani? Watu wana biashara zao kabla ,kama CCM inawalipa vizuri kabla ya kuwa na vyeo vya juu.
Wana vyanzo kibao vya mapato,pesa zipo sio nyie ombaomba ...Wenzetu wametoka mbali nyie nchi mmekuja kuijua juzi baada ya kuja mjini kutoka porini .🤣
Mjinga wewe muoga ,unajuficha na bado ziara zitaendelea mpaka wakubwa wa Taasisi wanaunga juhudi mpaka tajiri wako namba moja... Wasanii wakubwa wote ,umebaki wewe tu🤣Jipige kifua alafu sema kwa sauti "Mimi ni Mjinga"
Umaskini tatizo sana ,mtu uwe na biashara zako unaingia pesa uanze kupiga kelele watu walioenda kwa akili zao kweny mkutano🤣.MASIKINI WENGI WANACHUKI NA HASIRA. WAKIONA MAISHA YAO MAGUMU WANAHISI ZILE PESA ZA KOFIA WANGEPEWA WAO. ZILE NI PESA ZINAZOTOKA KWENYE KODI. HAKUNA RAISI ANAYECHUKUA KODI KUTOKA KWA MATAJIRI KUWAPA MASIKINI. KILA MTU AFANYE KAZI ALE. KAMA KULIKUWA NA RAISI ANAYEFANYA HIVYO BASI TUMSAMEHE MAKOSA YAKE TUFANYE KAZI.Y9⁸⁵
Nakuapia wakristo awatafanya makosa tena baada ya huu ushenzi wa mmakunduchi wa Masjid anaye ingia na mabasha hadi kwenye alkahaba ya mtume na kuinajisi huku waislamu mkiitikia twaib twaibWewe una uhakika gani? Watu wana biashara zao kabla ,kama CCM inawalipa vizuri kabla ya kuwa na vyeo vya juu.
Wana vyanzo kibao vya mapato,pesa zipo sio nyie ombaomba ...Wenzetu wametoka mbali nyie nchi mmekuja kuijua juzi baada ya kuja mjini kutoka porini .🤣
Wewe kichwa cha bata hata ukidondokewa na karanga umekwishaUzi ni mzito kwako ....kichwa Cha kuku hakibebi mzigo ...
Hatumtaki kiongozi wa kurithi sisi watanzaniaKwa hiyo watu wasimsikilizw kiongozi wa nchi , demokrasia si mlitaka wenyewe...Kaeni mpaka muda wenu ukifika.
WEWE UNALALAMIKA WENZAKO WANAPIGA PESA. CHANGAMKA NDUGU LAWAMA NA KUITA WATU VILAZA, NDIO UJINGA WENYEWE. UTAISHI MAISHA YA KIMASIKINI KWA UJINGA WA KUTAKA KULETA HAO VIONGOZI WANAOKUDANGANYA KWAMBA UWACHAGUE WAKULETEE MAENDELEO. UTAWACHUGUA, HAWATO KUNUFAISHA UTAANZA KUWATUKANA NA KUANZA KULALAMIKA. MWANZO ILIKUWA MNAMSIFU MAMA NYIE NA WAPINZANI WENZENU MKAJA ONA MAMA HAWALETEI PESA MKAANZA KUMTUKANA. HAKUNA RAISI ATAKAYEKUONKOA KAMA WEWE UMEBWETEKA.Wakati mwingine najihisi vibaya kusema watanzania wengi ni vilaza, ila huo ndyo ukweli na utabaki kuwa ukweli siku zote.
Hizi Teuzi zitatuuwaWatu wanawaza kuwalamba miguu Viongozi na kuwa machawa wao ili waendelee kula. Hawawazi maslahi mapana na Tanzania na kesho njema ya Taifa letu.
Viongozi badala ya kuelekeza fedha zikawahudumie Wananchi ikiwemo kununua madawa, kuweka miondombinu bora ya elimu kwa watoto wetu inayohudumiwa na kutunzwa vizuri muda wote, wao wanazielekeza kwenye ku print kofia, t shirt na kanga za kumuabudu Kiongozi ili aendelee kuwateua na waendelee kura.
Hakuna anayeumiza kichwa kuwaza Dunia ilipo na changamoto zake Tanzania tuweje na tufanye nini ili tuwe nchi imara inayojitegemea na kutegemewa na wengine.
Kwa sasa ni kama wote hatuwazi, hatufikirii, tumepigwa upofu na wala hatuiangalii Tanzania ya kesho na Watoto wake inapaswa kuwaje.
Naionea huruma Tanzania. Naumia kuishi nyakati ambazo Tanzania inakufa huku naiona.
View attachment 3254495View attachment 3254496View attachment 3254497View attachment 3254498View attachment 3254499View attachment 3254500View attachment 3254501View attachment 3254502View attachment 3254503View attachment 3254504View attachment 3254505
Mkuu, ulimaliza darasa la tatu?Unafananisha picha za ukutani ambazo zinabandikwa kwa mujibu wa Sheria na Tishirt na Kofia zinazokuwa printed ili kumuabudu mtu na kuwa chawa wake? Tena kwa kutumia pesa za walipakodi zinazopaswa kwenda kutoa huduma bora kwa wananchi?
We kweli kilaza.
Umaskini tatizo sana ,mtu uwe na biashara zako unaingia pesa uanze kupiga kelele watu walioenda kwa akili zao kweny mkutano🤣.
Vijana hawnaa shughuli za kufanya ; wanaangukia kwenye nyeto na kukasirika kwa mambo hayawahusu.
Sisi tuna nguvu maana tukianzia madai mpaka force kubwa inatumika ...Tuna historia ndefu labda tumemua tu kunyamaza🤣🤣Nakuapia wakristo awatafanya makosa tena baada ya huu ushenzi wa mmakunguchi wa Masjid anaye ingia na mabasha hadi kwenye alkahaba ya mtume na kuinajisi huku waislamu mkiitikia twain twaib
Wewe na nan?Hatumtaki kiongozi wa kurithi sisi watanzania
Vyama hawajui hata kuchagua sare :CHADEMA wamechagua mavazi yale ya wadudu wa Arusha kama mgambo ,na ACT wazalendo kama Mbeya city ..Rangi ya nguo mpaka inaumiza macho halafu rangi yao sio nzuri kuvaa wanaume ..SIJAONA TAJIRI ANAYESHABIKIA CHAMA CHA UKAWA. CHADEMA YENYEWE HAINA HATA GARI CHAMA KIMECHOKA WAKATI VIONGOZI WAO WANASTAREHE CANADA NA BELGIUM. NYINYI MASIKINI NDIO MNAKUJA PIGA KELELE MTU KUENDA MSIKILIZA RAIS WA NCHI YAKE INAKUUMA . SI USIENDE BASI. KWANZA HATA KURA USIKUTE HUJAMPIGIA LAKINI UNATAKA HELA ZA ZIARA AJE AKUPE WEWE NA FAMILIA YAKO 😀 UMASIKINI KAZI