Inasikitisha na kuumiza kweli: Hapa ndo tulipofika Tanzania, Taifa na Wajinga na Ujinga

We jamaa utaumia sana ,kumbuka hakuwa na mpango ila yule jamaa alikufa ...Dunia kila kitu ni mpango wa Mungu.
Nilidhani unakuja na hoja ya kubisha uhusiano wa ule msemo na viongozi waislamu...kumbe umekuja kutetea namna bwana abdul anavyo linajisi taifa kibisumirai bisumirai😁😁😁😁
 
Wakati mwingine najihisi vibaya kusema watanzania wengi ni vilaza, ila huo ndyo ukweli na utabaki kuwa ukweli siku zote.
Huu ni ukweli mchungu. Ila naamini ipo siku wenye akili watasimama na kulikomboa hili Taifa toka mikononi ya hawa vilaza na wajinga.
 
Nilidhani unakuja na hoja ya kubisha uhusiano wa ule msemo na viongozi waislamu
Wewe una uhakika gani? Watu wana biashara zao kabla ,kama CCM inawalipa vizuri kabla ya kuwa na vyeo vya juu.


Wana vyanzo kibao vya mapato,pesa zipo sio nyie ombaomba ...Wenzetu wametoka mbali nyie nchi mmekuja kuijua juzi baada ya kuja mjini kutoka porini .🤣
 
Jipige kifua alafu sema kwa sauti "Mimi ni Mjinga"
 
MASIKINI WENGI WANACHUKI NA HASIRA. WAKIONA MAISHA YAO MAGUMU WANAHISI ZILE PESA ZA KOFIA WANGEPEWA WAO. ZILE NI PESA ZINAZOTOKA KWENYE KODI. HAKUNA RAISI ANAYECHUKUA KODI KUTOKA KWA MATAJIRI KUWAPA MASIKINI. KILA MTU AFANYE KAZI ALE. KAMA KULIKUWA NA RAISI ANAYEFANYA HIVYO BASI TUMSAMEHE MAKOSA YAKE TUFANYE KAZI.Y9⁸⁵
 
Jipige kifua alafu sema kwa sauti "Mimi ni Mjinga"
Mjinga wewe muoga ,unajuficha na bado ziara zitaendelea mpaka wakubwa wa Taasisi wanaunga juhudi mpaka tajiri wako namba moja... Wasanii wakubwa wote ,umebaki wewe tu🤣
 
Umaskini tatizo sana ,mtu uwe na biashara zako unaingia pesa uanze kupiga kelele watu walioenda kwa akili zao kweny mkutano🤣.

Vijana hawnaa shughuli za kufanya ; wanaangukia kwenye nyeto na kukasirika kwa mambo hayawahusu.
 
Nakuapia wakristo awatafanya makosa tena baada ya huu ushenzi wa mmakunduchi wa Masjid anaye ingia na mabasha hadi kwenye alkahaba ya mtume na kuinajisi huku waislamu mkiitikia twaib twaib
 
MASIKINI WENGI WANACHUKI NA HASIRA. WAKIONA MAISHA YAO MAGUMU WANAHISI ZILE PESA ZA KOFIA WANGEPEWA WAO. ZILE NI PESA ZINAZOTOKA KWENYE KODI. HAKUNA RAISI ANAYECHUKUA KODI KUTOKA KWA MATAJIRI KUWAPA MASIKINI. KILA MTU AFANYE KAZI ALE. KAMA KULIKUWA NA RAISI ANAYEFANYA HIVYO BASI TUMSAMEHE MAKOSA YAKE TUFANYE KAZI.Y9⁸
Wakati mwingine najihisi vibaya kusema watanzania wengi ni vilaza, ila huo ndyo ukweli na utabaki kuwa ukweli siku zote.
WEWE UNALALAMIKA WENZAKO WANAPIGA PESA. CHANGAMKA NDUGU LAWAMA NA KUITA WATU VILAZA, NDIO UJINGA WENYEWE. UTAISHI MAISHA YA KIMASIKINI KWA UJINGA WA KUTAKA KULETA HAO VIONGOZI WANAOKUDANGANYA KWAMBA UWACHAGUE WAKULETEE MAENDELEO. UTAWACHUGUA, HAWATO KUNUFAISHA UTAANZA KUWATUKANA NA KUANZA KULALAMIKA. MWANZO ILIKUWA MNAMSIFU MAMA NYIE NA WAPINZANI WENZENU MKAJA ONA MAMA HAWALETEI PESA MKAANZA KUMTUKANA. HAKUNA RAISI ATAKAYEKUONKOA KAMA WEWE UMEBWETEKA.
 
Hizi Teuzi zitatuuwa
 
Mkuu, ulimaliza darasa la tatu?
 
Jiulize huu ujinga ulianzishwa na nani. Na huyo alieanzisha ndo kila siku anaimbwa kuwa alikuwa mzalendo wa kweli.

Pia jua kuwa tulikotoka ni kuzuri zaidi kuliko tunakoenda. Hiki ni kizazi cha kusagana na kulawitiana ndo maana utaona mwaume mzima anavaa t- shirt yenye picha ya mwanamke kifuani wakati hata kwenye simu yake hana picha ya mama yake mzazi. Huko nyuma tulizoea vijana wakivaa t- shirt zenye picha ya akina 2Pack, Bob Marley, nk.

Wajinga watakuambia eti ni UZALENDO. Hivi wanajua maana ya UZALENDO kweli. Huko JKT mnakoenda kupata UZALENDO huwa mnaambiwa kuvaa kofia za ccccccm ndo UZALENDO, au kuvaa t-shirt yenye picha ya kiongozi ndo UZALENDO.

Taifa lolote lenye watu wasio na elimu bora, na wenye ufukara uliokithiri ni rahisi sana kuliongoza kuliko kuoa na kumuongoza mwanamke mwenye PhD wakati wewe ni darasa la saba.
 
SIJAONA TAJIRI ANAYESHABIKIA CHAMA CHA UKAWA. CHADEMA YENYEWE HAINA HATA GARI CHAMA KIMECHOKA WAKATI VIONGOZI WAO WANASTAREHE CANADA NA BELGIUM. NYINYI MASIKINI NDIO MNAKUJA PIGA KELELE MTU KUENDA MSIKILIZA RAIS WA NCHI YAKE INAKUUMA . SI USIENDE BASI. KWANZA HATA KURA USIKUTE HUJAMPIGIA LAKINI UNATAKA HELA ZA ZIARA AJE AKUPE WEWE NA FAMILIA YAKO 😀 UMASIKINI KAZI
Umaskini tatizo sana ,mtu uwe na biashara zako unaingia pesa uanze kupiga kelele watu walioenda kwa akili zao kweny mkutano🤣.

Vijana hawnaa shughuli za kufanya ; wanaangukia kwenye nyeto na kukasirika kwa mambo hayawahusu.
 
Nakuapia wakristo awatafanya makosa tena baada ya huu ushenzi wa mmakunguchi wa Masjid anaye ingia na mabasha hadi kwenye alkahaba ya mtume na kuinajisi huku waislamu mkiitikia twain twaib
Sisi tuna nguvu maana tukianzia madai mpaka force kubwa inatumika ...Tuna historia ndefu labda tumemua tu kunyamaza🤣🤣
 
Wahenga wanasema njaa huleta akili. Itakapokuja njaa kali siku moja kutokana na haya yanaendelea akili za watu zitaamka.
 
It is damaged beyond repair. Hii haiwezi kurekebishika kwa wakati huu uliopo
 
Vyama hawajui hata kuchagua sare :CHADEMA wamechagua mavazi yale ya wadudu wa Arusha kama mgambo ,na ACT wazalendo kama Mbeya city ..Rangi ya nguo mpaka inaumiza macho halafu rangi yao sio nzuri kuvaa wanaume ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…