Inasikitisha sana kwa vita zinazoendelea baadhi ya Nchi kufanya ndiyo sehemu ya majaribio ya silaha

Inasikitisha sana kwa vita zinazoendelea baadhi ya Nchi kufanya ndiyo sehemu ya majaribio ya silaha

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Kila siku silaha mpya zinaingizwa vitani , baadhi zinaonesha ufanisi nyingine zinafeli .

Nchi kubwa watengenezaji wa silaha inapotokea migogoro na vita ndio sehemu ya kuuza na majaribio ya silaha .

Inasikitisha lakini ndiyo ulimwengu uliko akili mkichwa .
 
Kila siku silaha mpya zinaingizwa vitani , baadhi zinaonesha ufanisi nyingine zinafeli .

Nchi kubwa watengenezaji wa silaha inapotokea migogoro na vita ndio sehemu ya kuuza na majaribio ya silaha .

Inasikitisha lakini ndiyo ulimwengu uliko akili mkichwa .
Nilikuwa naangalia documentary inaitwa "Shadow World : Inside The Global Arms Trade". Ni balaa tupu.

 
Kila siku silaha mpya zinaingizwa vitani , baadhi zinaonesha ufanisi nyingine zinafeli .

Nchi kubwa watengenezaji wa silaha inapotokea migogoro na vita ndio sehemu ya kuuza na majaribio ya silaha .

Inasikitisha lakini ndiyo ulimwengu uliko akili mkichwa .
Silaha ni biashara kubwa duniani .bila vita biashara inadoda na kuna nchi uchumi wao unategemea mauzo ya silaha
Hivyo kila inapotoka new model inabidi itestiwe na hivyo kutafuta wa kuwagombabisha ili wapigane silana ziuzike
 
Back
Top Bottom