Inasikitisha sana mji mzuri kama huu wa Walebanoni kufanywa magofu Kama Gaza kwa kuunga mkono magaidi wa Hizbola

Kuna mali za viongozi wa Hezzbollha, mahandaki ya silaha na vitu vingine. Analenga baadhi ya maeneo sio kila mahali.
Hapana msijifanye vipofu dhidi ya israel na hamfaidiki na chochote israel anapiga residential building pale lebanon kitu ambacho hata urusi hafanyi hvo, wamepiga mpaka bank na financial institutions pale lebanon in short unachokiona sasa hivi anakifanya netanyaho ndo alichokifanya hittler ni against humanity at all ila mwisho wa siku na yey hayupo
 
Huyu mwamba uliyemtaja.. siku hizi Yuko wapi mpaka asisahaulike??
 
Hezbollah walitakiwa waenda huko Gaza wakaungane na hamas kuwa furusha hao waisrael kama kweli walikuwa serious. Hezbollah inachokoza Israel wakati Haina nguvu ya kuwalinda walebanon achilia mbali kujilinda wenyewe TU.
ile nguvu ya makombora laki Moja waliyonayo Iko wapi? afadhali hata hamas ilijitutumua kuliwa Hawa malofa
 
Oct 7 Hamas walifanya genocide ya watu zaidi ya 1200 ndani ya Israel, then Oct 8 2023 Hezbollah wanaanza kurusha makombora kuwaunga mkono Hamas, ulitegemea Israel wapige magoti mbele ya magaidi,?!
October 7 Israel ilifanya Genocide karibia watu 1000 raia wake wenyewe na kusingizia Hamas,

Wenyewe Israel polisi na Vyombo vyao vya habari vinakiri kua ni wao kwa kutumia Helicopter ya Apache ndio waliunguza watu ila wabongo na mahaba Niue wengine bado mna endelea kusambaza propaganda.
 
Mbona nimekudokeza mahali pa kujisomea ww mwenyewe orodha rasmi ya makundi ya kigaidi duniani ambapo HAMAS na Hezbollah wameorodheshwa?
Ni kweli mtu kuitwa gaidi inategemea ni kwa mtizamo gani. Mandela aliitwa ni gaidi kwa mtizamo wa Watawala wa wakati huo lakini hatimaye baada ya muda aliitwa mheshimiwa raisi wa Afrika Kusini. Wewe una ndoto hizo kwa HAMAS na Hezbollah? Hao hawatoboi kamwe.
 
Waziri wa fedha wa israel akihutubia huku akilia anasema wanajeshi wa israel wengi sana wanakufa tunazika mpaka tunachoka sisi tunawauwa warabu kwa kuvunja nyumba zao tukitegemea ushindi lakini imekuwa kinyume sisi ndio tunakufa sana
Your browser is not able to display this video.
 
Hizi ni propaganda za aljazeera.
 
Ni mpuuzi asie jitambua na mjinga pekee atawaponda hizbullah na Hamas wenye akili timamu tupo pamoja nao licha ya magumu wanayopitia bila israhell na marekani mashariki ya kati na duniani kwaujumla pangekua mahala salama Sanaaaaaaa
Hakuna akili timamu anavaa suruali fupi na kusifia muoaji wa mtoto wa miaka 6
 
Vikundi vya kigaidi vya Allah uzuri Israel inavishughulikia kwa ukamilifu. Hisbollah na Hamas wamebaki wakiwa viongozi wao wote wamelambishwa udongo
 
Hahahahaahah πŸ˜ƒ πŸ˜ƒ πŸ˜ƒ πŸ˜ƒ Israel hawezi vita??
Sinwar na Nasrallah walirogwa au??
Husband na Hamas zimebaki majun
 

Nini maana ya neno GAIDI..?
Taja sifa 3 za GAIDI.
 
Ni mpuuzi asie jitambua na mjinga pekee atawaponda hizbullah na Hamas wenye akili timamu tupo pamoja nao licha ya magumu wanayopitia bila israhell na marekani mashariki ya kati na duniani kwaujumla pangekua mahala salama Sanaaaaaaa
Wewe nadhani ujitafakari mvaaa kobazi na ushungi
 
Ni mpuuzi asie jitambua na mjinga pekee atawaponda hizbullah na Hamas wenye akili timamu tupo pamoja nao licha ya magumu wanayopitia bila israhell na marekani mashariki ya kati na duniani kwaujumla pangekua mahala salama Sanaaaaaaa
 
Endelea kujifariji
 
Narudia tena kama hutaelewa nakuacha hakuna sehemu UN inazitambua hamas na hizbullah kama magaidi bali kama ilivyotokea kwa mandela hamas na hizbullah watakuwa zaidi ya mandela ni suala la muda tuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…