Inasikitisha sana mji mzuri kama huu wa Walebanoni kufanywa magofu Kama Gaza kwa kuunga mkono magaidi wa Hizbola

Inasikitisha sana mji mzuri kama huu wa Walebanoni kufanywa magofu Kama Gaza kwa kuunga mkono magaidi wa Hizbola

Magaidi wa Hamas ni Branch ya Magaidi wa Islamic Brotherhood ambao huwa wanaua Wakristo huko Misri.

Magaidi wa Islamic Brotherhood 👇
20131225__20131226_A21_ND26EGYPTp2.jpg

Hapa Magaidi hayo yanasisitiza kuwa ni Quruani tu ndio itakayofuatwa na sio Biblia au Vitabu vingine.
 
Hujasikiliza hotuba ya Naim Qassim Katibu mkuu wa Hezbollah Leo katika hotuba yake? Amesema hawawezi kukaa pembeni kuangalia wapalestina zaidi ya elfu 40 wakiuliwa kwenye mahema ,sokoni na kwenye majumba Yao. Hii ndio sababu kuu , hata Iran na Yemen sababu inayowafanya kupigana ni hii kuokoa nafsi za wapalestina.

Inawezekana wewe unaona ni sawa tu kinachofanyika Gaza na Palestine lakini kiuhalisia it's not right
Wanaokoa nafsi za wapalestina wakati huohuo zaidi ya wapalestina elfu 40 wameuawa sijui ni nafsi za wapalestina gani zinazo okolewa kama siyo kuongeza petrol kwenye moto wapalestina wazidi kuuawa.
 
Israel anaonyesha dunia yeye ni mbabe wa kuvunja majumba na kuwauwa watoto, wanawake na vizee. Silaha za bure lazima avunje majumba, sababu hawezi kupigana na wanaume haswa wanamgambo wa Hezbullah na Hamasi.
Wakati mwingine kujifurahisha ni kuzuri,viongozi wote wa Hezbollah na Hama's pamoja na maafande wa Iran waliouawa ubalozi wa Iran nchini Syria ni wanawake siyo wanaume.
 
Ni mpuuzi asie jitambua na mjinga pekee atawaponda hizbullah na Hamas wenye akili timamu tupo pamoja nao licha ya magumu wanayopitia bila israhell na marekani mashariki ya kati na duniani kwaujumla pangekua mahala salama Sanaaaaaaa
Jisemee wewe!
Halafu unaowaita wapumbavu na wapuuzi wenye mlengo kinyume na wewe, unatumia vigezo vipi ambavyo vinakufanya wewe usiwe mpumbavu na mpuuzi uliyechagua kuwa upande wa unaopenda wewe na wao kupenda wanakokupenda wao?
 
Wanaokoa nafsi za wapalestina wakati huohuo zaidi ya wapalestina elfu 40 wameuawa sijui ni nafsi za wapalestina gani zinazo okolewa kama siyo kuongeza petrol kwenye moto wapalestina wazidi kuuawa.
Kwahiyo hao wanaokufa huko Israel ni maboksi?
 
Ifike mahali wakataliwe na Kila jamii na Dini zote wanasababisha miji mizuri Kama kuharibiwa

Labda MTU mwenye Sababu zenye akili za Hizbola kushambulia Israel azieleze hapa

Pia mwenye sababu za msingi za Iran kuichukia Israel na kutaka kuifuta kwenye ramani ya dunia na kumuundia vikundi vya kigaidi
Aleezea hapa

Tafauti na hapo tukubaliane na majibu ya Israel na WASHIRIKA wake ya Sasa na baadae View attachment 3139368
View attachment 3139368
Umoja wa mataifa ulipitisha azimio la kuvitambua vikundi vya Kigaidi ikiwa ni pamoja na wafadhili wao na kuyataka mataifa kutoyaruhusu au kuyakubali makundi hayo kuwepo ndani ya nchi zao. Miongoni mwa makundi hayo, HAMAS na Hezbollah wameorodheshwa.
Israel amejitoa mhanga kupambana na makundi hayo ambayo yapo ndani ya nchi huru e.g. Palestina lipo kundi la HAMAS na Lebanoni lipo kundi la Hezbollah. Makundi hayo yameweza kuziminya (Overpower) serikali za nchi walipo na kujiona wao ndo Serikali yenyewe. Matokeo yake wanaishambulia Israel kwa maroketi na makombora wanayopewa na mfadhili wao ambaye ni Iran. Kwa kuwa makundi hayo yamejimilikisha Utawala wa Nchi husika (De Facto Govts), Israel hana namna ingine isipokuwa kuwashughulikia kimapambano ndani ya hizo nchi- Palestina na Lebanon. Kimsingi Israel hana ugomvi na Taifa au nchi ya Palestina au Lebanon. Israel anashughulika na kupambana dhidi ya HAMAS na Hezboillah ambayo ni makundi ya kigaidi. Ni kwa bahati mbaya sana Makundi hayo yamekita mizizi yao ktk nchi hizo na kujinasibisha kwa kiwango cha kama wao ndo Serikali inayoendesha nchi hizo. Makundi hayo yanatumia mbinu ya Umoja wa kiUdini (Shia Islam group) ili kupata uungwaji mkono na baadhi ya raia.
Uovu wao ni pale inapotolewa Amri ya kuondoka mahali/eneo ili Israel asambaratishe maslahi ya Kundi husika (HAMAS au Hezbollah) katika eneo hilo; lakini makundi hayo yanawanyima Raia waliopo hapo haki ya kutii na kuondoka-Kuhama. Matokeo yake ni Raia katika eneo husika wanajikuta wamenaswa na wapo ndani ya mapigano. Raia hao maskini ndo unasikia kwenye kale kamwimbo kao HAMAS na Hezbollah siku zote wakisema eti Israeli anaua wanawake na watoto. Kumbe ni HAMAS na Hezbollah wamewashurutisha kwa nguvu wasiondoke na wanatumika kama ngao i.e. Human shield kujikinga dhidi ya kipigo kutoka kwa Israel.
 
Ni mpuuzi asie jitambua na mjinga pekee atawaponda hizbullah na Hamas wenye akili timamu tupo pamoja nao licha ya magumu wanayopitia bila israhell na marekani mashariki ya kati na duniani kwaujumla pangekua mahala salama Sanaaaaaaa
Afghanistan chini ya Waislamu wa Taliban wenye misimamo mikali na mahala salama ya kuishi?
 
Ifike mahali wakataliwe na Kila jamii na Dini zote wanasababisha miji mizuri Kama kuharibiwa

Labda MTU mwenye Sababu zenye akili za Hizbola kushambulia Israel azieleze hapa

Pia mwenye sababu za msingi za Iran kuichukia Israel na kutaka kuifuta kwenye ramani ya dunia na kumuundia vikundi vya kigaidi
Aleezea hapa

Tafauti na hapo tukubaliane na majibu ya Israel na WASHIRIKA wake ya Sasa na baadae View attachment 3139368
View attachment 3139368
Lete tafsiri ya neno gaidi kwanza., huenda unasumbuliwa na kasumba za magharibi katika akili yako
 
Hivi,huo uongo mnakaririshana na kuusambaza ili iweje?Ina maana risasi na mabomu ya Israeli yanabagua na kuwaua wanawake na watoto tu?Kwangu mimi,nikiua wapendwa wa adui ndiyo naamini namuumiza vizuri sana ili ajae upepo na yeye apigike vizuri zaidi.
Huwa nashangaa sana eti siku zote wimbo wao ni huo wa wazee,watoto na wanawake. Kwamba wanaume na vijana hawauwawi?
 
Huwa nashangaa sana eti siku zote wimbo wao ni huo wa wazee,watoto na wanawake. Kwamba wanaume na vijana hawauwawi?
Ni ili waonewe huruma wakati ni wachokozi halafu washari ilhali kupambana hawawezi.Wanajibebesha maiti za watoto na kupanua midomo hadi inagusana na masikio huku wanajiliza hadharani.😂
 
Ifike mahali wakataliwe na Kila jamii na Dini zote wanasababisha miji mizuri Kama kuharibiwa

Labda MTU mwenye Sababu zenye akili za Hizbola kushambulia Israel azieleze hapa

Pia mwenye sababu za msingi za Iran kuichukia Israel na kutaka kuifuta kwenye ramani ya dunia na kumuundia vikundi vya kigaidi
Aleezea hapa

Tafauti na hapo tukubaliane na majibu ya Israel na WASHIRIKA wake ya Sasa na baadae View attachment 3139368
View attachment 3139368
Je kama hawana akili
 
Ni mpuuzi asie jitambua na mjinga pekee atawaponda hizbullah na Hamas wenye akili timamu tupo pamoja nao licha ya magumu wanayopitia bila israhell na marekani mashariki ya kati na duniani kwaujumla pangekua mahala salama Sanaaaaaaa
Mko pamoja nao kivipi
 
Ifike mahali wakataliwe na Kila jamii na Dini zote wanasababisha miji mizuri Kama kuharibiwa

Labda MTU mwenye Sababu zenye akili za Hizbola kushambulia Israel azieleze hapa

Pia mwenye sababu za msingi za Iran kuichukia Israel na kutaka kuifuta kwenye ramani ya dunia na kumuundia vikundi vya kigaidi
Aleezea hapa

Tafauti na hapo tukubaliane na majibu ya Israel na WASHIRIKA wake ya Sasa na baadae View attachment 3139368
View attachment 3139368
Yampasa kila mmoja kuchagua upande wa haki hata kama haki hiyo itakuwa ni yenye kukubana na kukusababishia maumivu na unyonge.
Ni Mtu aliyekosa utu pekee na asiyefikiri sawasawa au aliyepata kudumaa utotoni ndio anaweza asione dhulma zinazofanywa na Tel Aviv.
Hezbollah anakuwa Gaidi kwa kuwasaidia Gaza ambao zaidi ya Watoto na wanawake 20k wameuawa kwa dhulma, katika Ardhi yao.
Unajua Hata kama ayanyaye haya ni Kafiri mwenzio bado isiondoe utu kwa watu
 
Back
Top Bottom