Inatarajiwa Ijumaa Samia atakutana na Makamu wa Rais wa Marekani. Kwanini isiwe Rais mwenziye?

Inatarajiwa Ijumaa Samia atakutana na Makamu wa Rais wa Marekani. Kwanini isiwe Rais mwenziye?

MAPAKA NI KUANZIA BABAYAKO NA LILE SHOGA LA UBERIGIJI NA MWISHO LILE GAIDI LILILO TOKA JELA JUZI HAYO NDIYO MAPAKA
Mapaka ni Marais wanaohamasisha ufisadi katika Taifa๐Ÿ‘‡๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’

Halafu mashoga wanatokea CCM๐Ÿ‘‡๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
202204141221.jpg
 
Mwendazake ana mawakala,wewe ukiwa mmojawapo
Ndio maana nasema unakariri!


We jifikirie tu, unaanzaje kusema rais wetu aende USA then ajachague yeye nani azungumze nae!

Jifunze kufikiri hata kidogo, utapunguza kuongea kwa kukariri
 
Wew kweli ni mpumbavu( ashakโ€™um sio tusi) .makamu wa Rais wa Marekani ni hadhi kubwa sana tena tushukuru Rais wetu ameheshimishwa kukutana na VP wa The US. Kusema Rais wa Marekani ana hadhi sawa na Rais wa Tz au nchi yoyote duniani ni kuwa mpumbavu au mtu uliyetawaliwa na chuki! Mathalani leo hii Biden na Ramaphosa( Rais wa nchi kubwa Afrika) wakienda China

Watu Wakubali ukweli Tu...Marekani ,China na Urusi hao Ndio wako Level Moja... sisi wengine tuko daraja la Economy....
 
Duru zinatabanaisha huenda Samia atakutana na Haris makamu wa Rais wa Marekani.

Maoni yangu;

Hii siyo dharau kwa Rais Samia kusakiziwa kukutana na mtu asiye sawia ki wadhifa wake?

Na kwanini asikutane na Biden ambaye siku hiyo atakuwa palepale White house?

Huenda Samia amepuuzwa na mamlaka za USA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ?!
Ni kwa sababu Huyu bibie ndo anatarajiwa kuwa Rais wa kwanza wa USA mwanamke baada ya Bidden kufia madarakani.So sioni tatizo kwani wote ni wamama na wote ni OPresidents in waiting ingawa mwenzi bado anasubiri
 
Tokea lini Rais wa Marekani akakutana na Mapaka yasiyojitambua?

Kuhamasisha ufisadi[emoji116][emoji205][emoji205][emoji205]
View attachment 2186906
Kuhamasisha kila kitu kipande bei[emoji116][emoji205][emoji205][emoji205]
View attachment 2186907

Rais wa kenya unamjua vizuri. Wewe marekani hanaga matashi mema na wanyonge kama hana maslahi. Ndo mana hutaskia wanawasumbua Paul wa Cameroon na Museveni.
 
Dikteta maguofuli hakuwai kusafiri sababu ya lugha ilikuwa haipandi

Ahhh. Katika comment ya kipumbavu nahisi hii inaongoza kwa mwaka huu. Rais wa China. Viongozi wakubwa wa nchi nyingi hawatumii kingereza. Na wanaongea. Na Biden atapiga simu nk. So hauna mantiki.

Lakini hayati alisoma ulaya pia. Na lugha ya kuongea Ni kuelewana. Huwezi soma toka form one tena Enzi zake mpaka mfano Masters bila kuwa na basic knowledge ya lugha in terms of being able to communicate. Sisi tunaoishi nje tunajua na tunaishi haya.

Uwezo Wake wa kujua lugha nyingi za makabila ya ndani Ni alama tu ya nje kama angekuwa na nia ya kusoma lugha kama combination angepass.
 
Huko lazima wajadili "haki za kibinadamu", na Kamala alivyo wa moto Samia ajiandae.
Litakuwa jambo jema sana. Kuna mtu aliifanya JMT ionekane ni nchi ya ngiri na simba. Simba akiamua anawala ngiri atakavyo.

Turudi, tuwe ni Taifa la watu wastaarabu japo kwa 40%.
 
Huyu siyo Rais wa jamhuri.Uliona wapi Rais wa jamhuri anahamasisha ufisadi katika Taifa?!Unakosea sana bwana mdogo
View attachment 2187306
Usiitweze ubinadamu wa mtu yeyote.

Mwanadamu mwenzako huwezi kumwita majina ya ajabu. Kila mmoja alijua Magufuli alikuwa dikteta, mtekaji, mpotezaji na muuaji wa wqtu aliotofautiana, alikuwa na upeo duni wa masuala ya uchumi, biashara na mahusiano ya kimataifa. Hata hivyo, bado kutokana na ubinadaku wake, hakuma aliyemwita kwa majina hayo uliyoyatumia dhidi ya Samia.

Sijawahi kuwa shabiki wa mtu, na sitakuwa, lakini hata katika kutofautiana, tusiutweze ubinadamu. Tunajua Magufuli alipora uchaguzi. Na ni uchaguzi huo huo ndio unaomfanya Samia awe Rais leo, lakini je, tumkatae kwa sababu ni zao la uchaguzi batili? Ukifanya hivyo, utarekebisha vipi makosa na ujbazi wote uliofanyika kwa miaka karibia 6?

Tukubali kuwa Samia ndiye Rais, tushirikiane naye kuleta mabadiliko. Asipotoa ushirikiano kwa wananchi, tumshinikize, lakini siyo kumkataa kwa namna yoyote ile. Kuna nchi, marais huingia kwa mapinduzi. Nani anakuwa amemchagua? Lakini si anajulikana kuwa ni Rais? Na anakuwa na nguvu zote?

Rais Samia, bila ya kujali ameingiaje, cha muhimu asimamie mageuzi makubwa yanayotakiwa kwa nchi yetu.
 
Duru zinatabanaisha huenda Samia atakutana na Haris makamu wa Rais wa Marekani.

Maoni yangu;

Hii siyo dharau kwa Rais Samia kusakiziwa kukutana na mtu asiye sawia ki wadhifa wake?

Na kwanini asikutane na Biden ambaye siku hiyo atakuwa palepale White house?

Huenda Samia amepuuzwa na mamlaka za USA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ?!
Rais mwenziwe? Hata hapo kwa makamu wa rais ashukuru mno angeishia kwa makamu meya wa Washington.
 
Cha msingi awadanganye vyovyote anavyoweza ila akirudi aje na pesa tu.
 
Na ni uchaguzi huo huo ndio unaomfanya Samia awe Rais leo, lakini je, tumkatae kwa sababu ni zao la uchaguzi batili? Ukifanya hivyo, utarekebisha vipi makosa na ujbazi wote uliofanyika kwa miaka karibia 6?
Tunapaswa kumkataa Samia kuwa ni Rais kwa sababu kama tutamkubali maana yake tunakuwa tunaruhusu na kubariki uharamia wa kupora chaguzi kuendelea kuwepo kitu ambacho kitatengeneza nchi ambayo itakuwa inaongozwa bila ya kuzingatia utawala wa sheria, kitu ambacho ni hatari sana in long run.Kuruhusu kitu kama hicho ni kwamba zao lake katika long run ni vita ya wenyewe kwa wenyewe kati ya wapenda haki na watu kama wewe ambao hawazingatii haki.
Tukubali kuwa Samia ndiye Rais, tushirikiane naye kuleta mabadiliko. Asipotoa ushirikiano kwa wananchi, tumshinikize, lakini siyo kumkataa kwa namna yoyote ile. Kuna nchi, marais huingia kwa mapinduzi. Nani anakuwa amemchagua? Lakini si anajulikana kuwa ni Rais? Na anakuwa na nguvu zote?
Nchi nyingine kuwa na uharamia wa kupora chaguzi au Marais wake kuingia madarakani kupitia mapinduzi haiwezi kuhalalisha uharamia huo katika nchi nyingine.Two wrongs can't make right.
Rais Samia, bila ya kujali ameingiaje, cha muhimu asimamie mageuzi makubwa yanayotakiwa kwa nchi yetu.
Rais haramu ambae ametokana na zao la uporaji wa chaguzi hawezi kusimamia mageuzi katika nchi kwa sababu hana baraka za Mungu wala baraka za wananchi.
 
Back
Top Bottom