Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Labda awe ni Rais wako pamoja na mke wako🐒🐒🐒Huyu ni Rais wa nchi ukumbuke hilo Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda awe ni Rais wako pamoja na mke wako🐒🐒🐒Huyu ni Rais wa nchi ukumbuke hilo Mkuu.
Mbona Maguful alikuwa anamtuma Makamu wake kwenda kwenye vikao vya Wakuu wa Nchi?.
Duru zinatabanaisha huenda Samia atakutana na Haris makamu wa Rais wa Marekani.
Maoni yangu;
Hii siyo dharau kwa Rais Samia kusakiziwa kukutana na mtu asiye sawia ki wadhifa wake?
Na kwanini asikutane na Biden ambaye siku hiyo atakuwa palepale White house?
Huenda Samia amepuuzwa na mamlaka za USA 🇺🇸?!
The hate is real
Nakazia "THE HATE IS REAL"
Acha udwanziDuru zinatabanaisha huenda Samia atakutana na Haris makamu wa Rais wa Marekani.
Maoni yangu;
Hii siyo dharau kwa Rais Samia kusakiziwa kukutana na mtu asiye sawia ki wadhifa wake?
Na kwanini asikutane na Biden ambaye siku hiyo atakuwa palepale White house?
Huenda Samia amepuuzwa na mamlaka za USA [emoji631]?!
Ilishanenwa watu wanaangamia kwa kukosa maarifa!Upumbavu huu wa kujadili jinsia na ukabila unaliangamiza Taifa.
Haya mambo yetu, tunataka majibu vinginevyo waziri wa mambo ya Nje ajieleze kwa wananchiMambo yao tuwaachie wenyewe
Kwanini usifikirie kwamba Samia ndo kamchagua ili amuingize kingi.
Kwanini huwa mnajiona lesser?
Ningekuwa waziri wa mambo ya ndani na nikawa na uhakika wewe ni raia wa Tanzania. Ningetumia vyombo husks vikuhoji kwa nini usiadhibiwe kwa kuidhiaki mamlaka ya nchi yetu.Wew kweli ni mpumbavu( ashak’um sio tusi) .makamu wa Rais wa Marekani ni hadhi kubwa sana tena tushukuru Rais wetu ameheshimishwa kukutana na VP wa The US. Kusema Rais wa Marekani ana hadhi sawa na Rais wa Tz au nchi yoyote duniani ni kuwa mpumbavu au mtu uliyetawaliwa na chuki! Mathalani leo hii Biden na Ramaphosa( Rais wa nchi kubwa Afrika) wakienda China hawatapata mapokezi sawa
Kweli ni kuhamasisha wizi! Wajipimie? Viapo wanakula vya nini?Tokea lini Rais wa Marekani akakutana na Mapaka yasiyojitambua?
Kuhamasisha ufisadi👇🐒🐒🐒
View attachment 2186906
Kuhamasisha kila kitu kipande bei👇🐒🐒🐒
View attachment 2186907
Kwahiyo mama kizungu kinapanda bila kusoma kwenye karatasi😅😅😅😅Dikteta maguofuli hakuwai kusafiri sababu ya lugha ilikuwa haipandi
Hoja yako ni ya kipuuzi. Rais Samia akutane na Biden au makamu wake au foreign secretary, siyo tatizo. Cha muhimu ni agenda aliyoendea. Kama ajenda aliyoendea inaweza kuwa addressed na Makamu wa Rais au waziri, kuna tatizo gani?Duru zinatabanaisha huenda Samia atakutana na Haris makamu wa Rais wa Marekani.
Maoni yangu;
Hii siyo dharau kwa Rais Samia kusakiziwa kukutana na mtu asiye sawia ki wadhifa wake?
Na kwanini asikutane na Biden ambaye siku hiyo atakuwa palepale White house?
Huenda Samia amepuuzwa na mamlaka za USA [emoji631]?!
Kwani Biden anahusika na Royal Tour?Duru zinatabanaisha huenda Samia atakutana na Haris makamu wa Rais wa Marekani.
Maoni yangu;
Hii siyo dharau kwa Rais Samia kusakiziwa kukutana na mtu asiye sawia ki wadhifa wake?
Na kwanini asikutane na Biden ambaye siku hiyo atakuwa palepale White house?
Huenda Samia amepuuzwa na mamlaka za USA [emoji631]?!
Habari za hapo Bujumbura Mkuu, sasa wewe hauoni kama inflation imekuwa ni global issue? leo U.S.A anatoa akiba yake ya mafuta ku cover gap na bado anataka atoe ngano ili ku feed Africa kwako wewe hauoni kama hii ni global issue?Labda awe ni Rais wako pamoja na mke wako🐒🐒🐒
View attachment 2187143
Duru zinatabanaisha huenda Samia atakutana na Haris makamu wa Rais wa Marekani.
Maoni yangu;
Hii siyo dharau kwa Rais Samia kusakiziwa kukutana na mtu asiye sawia ki wadhifa wake?
Na kwanini asikutane na Biden ambaye siku hiyo atakuwa palepale White house?
Huenda Samia amepuuzwa na mamlaka za USA [emoji631]?!
Ni upungufu wa upeo na uelewa.Na nyie sukuma gang .. hivi hamna jema!!!??
ila mange m'baya sana kama katuni la micheliniLabda atakutana na Mange Kimambi.
Hivi alikwenda kumpokea?View attachment 2187196