Inatarajiwa Ijumaa Samia atakutana na Makamu wa Rais wa Marekani. Kwanini isiwe Rais mwenziye?

Inatarajiwa Ijumaa Samia atakutana na Makamu wa Rais wa Marekani. Kwanini isiwe Rais mwenziye?

Si sababu ya lugha!! Ni sababu ya uzalendo!! Kama ni lugha si angeenda na mkalimani!! Hivi thesis yake ya PhD aliandika kwa kisukuma au? Alii-defend kwa kisukuma au?
Kuongea kunahitaji muda mfupi zaidi kuliko kuandika,thesis unalipa muda wa kutosha kupanga maneno,mwamba hakua smart upstairs kuweza kukaa na elites meza moja wakajadili Mambo,hakua hata na uwezo wa kuongea na hadhara
 
Wew kweli ni mpumbavu( ashak’um sio tusi) .makamu wa Rais wa Marekani ni hadhi kubwa sana tena tushukuru Rais wetu ameheshimishwa kukutana na VP wa The US. Kusema Rais wa Marekani ana hadhi sawa na Rais wa Tz au nchi yoyote duniani ni kuwa mpumbavu au mtu uliyetawaliwa na chuki! Mathalani leo hii Biden na Ramaphosa( Rais wa nchi kubwa Afrika) wakienda China hawatapata mapokezi sawa
We ni jinga sana ni sawa sawa na kusema baba wa kimarekani ni bora zaidi kuliko baba yako. Kuna watu sijui akili mnaweka wapi?
 
Si sababu ya lugha!! Ni sababu ya uzalendo!! Kama ni lugha si angeenda na mkalimani!! Hivi thesis yake ya PhD aliandika kwa kisukuma au? Alii-defend kwa kisukuma au?
Eti uzalendo,

Yule mzee kawaharibu akili zenu mmekuwa matahila kabisa, yaani uzalendo kutokusafiri nje kupanga mipango na viongozi wenzio? na Hana uzalendo wowote alikuwa mpigaji tu na kampuni zake za mfukoni,

SOMA HII👇

Screenshot_20220413-213354.png
 
We ni jinga sana ni sawa sawa na kusema baba wa kimarekani ni bora zaidi kuliko baba yako. Kuna watu sijui akili mnaweka wapi?
Ona mungu wenu mwendazake kampuni yake ilivyopiga pesa
👇

Screenshot_20220413-213354.png
 
Kuongea kunahitaji muda mfupi zaidi kuliko kuandika,thesis unalipa muda wa kutosha kupanga maneno,mwamba hakua smart upstairs kuweza kukaa na elites meza moja wakajadili Mambo,hakua hata na uwezo wa kuongea na hadhara

Hivi unafahamu kuwa si Kila anayeenda Marekani huongea kiingereza? Kwa taarifa yako hata Marais wanaojua kiingereza huongea lugha za mataifa Yao kwa kutumia wakalimani. Mfano mzuri ni Putin, Marais wa mataifa ya kiarabu nk. Ni prestige ya taifa lao. Kwa hiyo lugha haikuwa kikwazo kwa Magufuli maana Kama angetaka, angeongea kiswahili ambayo kwa Sasa ni moja ya lugha rasmi ya kimataifa. Rais wa china pia hutongea kichina Japo anakijua kiingereza!
 
Usimfananishe Biden na watu wa ajabu, kwahy Biden yuko level moja na huyo mama yenu.?
Mama yenu anaadhimisha miaka zaidi ya 60 ya uhuru bado anaongelea ukosefu wa maji wakati mwenzake anazungumzia kutia vikwazo kwenye nchi nyingine.
Sukuma gang Samia anawapeleka puta😂,kennnge nyie
 
Hivi unafahamu kuwa si Kila anayeenda Marekani huongea kiingereza? Kwa taarifa yako hata Marais wanaojua kiingereza huongea lugha za mataifa Yao kwa kutumia wakalimani. Mfano mzuri ni Putin, Marais wa mataifa ya kiarabu nk. Ni prestige ya taifa lao. Kwa hiyo lugha haikuwa kikwazo kwa Magufuli maana Kama angetaka, angeongea kiswahili ambayo kwa Sasa ni moja ya lugha rasmi ya kimataifa. Rais wa china pia hutongea kichina Japo anakijua kiingereza!
Haifanyi argument yangu hapo juu kuwa invalid..
 
Eti uzalendo,

Yule mzee kawaharibu akili zenu mmekuwa matahila kabisa, yaani uzalendo kutokusafiri nje kupanga mipango na viongozi wenzio? na Hana uzalendo wowote alikuwa mpigaji tu na kampuni zake za mfukoni,

SOMA HII👇

View attachment 2187008

Sasa hapo Magufuli anahusika wapi?? Ni kweli hapo kuna ufisadi lakini hakuna alipotajwa Magufuli!! Aliyetoa tenda hiyo awajibishwe!
 
Sasa hapo Magufuli anahusika wapi?? Ni kweli hapo kuna ufisadi lakini hakuna alipotajwa Magufuli!! Aliyetoa tenda hiyo awajibishwe!
huna ujualo wewe,ikitajwa hiyo kampuni iliyopewa kandarasi,unaweza ukatoroka hapo Chatttle kwenye lindo
 
Haifanyi argument yangu hapo juu kuwa invalid..
Argument yako ni invalid kwa sababu unafai kikwazo Cha lugha ndicho kilichomzuia Magufuli kwenda Nchi za nje hudusan Marekani. Mimi nimekuambia lugha siyo kikwazo maana hata Kama ni kweli hakuwa anajua kiingereza, hakulazimika kutumia kiingereza, bado angeweza kutumia kiswahili Kama angekuwa anahitaji kwenda Nchi za nje!
 
huna ujualo wewe,ikitajwa hiyo kampuni iliyopewa kandarasi,unaweza ukatoroka hapo Chatttle kwenye lindo

Itaje, kwani Kuna shida gani ukiitaja. Na uweke uthibitisho kuwa ni kampuni ya Magufuli au Magufuli alikuwa na ubia!
 
We ni jinga sana ni sawa sawa na kusema baba wa kimarekani ni bora zaidi kuliko baba yako. Kuna watu sijui akili mnaweka wapi?
Tunazungumzia madaraka na ukubwa wa nchi husika kwenye kujiendesha.
 
Argument yako ni invalid kwa sababu unafai kikwazo Cha lugha ndicho kilichomzuia Magufuli kwenda Nchi za nje hudusan Marekani. Mimi nimekuambia lugha siyo kikwazo maana hata Kama ni kweli hakuwa anajua kiingereza, hakulazimika kutumia kiingereza, bado angeweza kutumia kiswahili Kama angekuwa anahitaji kwenda Nchi za nje!
Nimesema sababu ni lugha na zaidi
 
Duru zinatabanaisha huenda Samia atakutana na Haris makamu wa Rais wa Marekani.

Maoni yangu;

Hii siyo dharau kwa Rais Samia kusakiziwa kukutana na mtu asiye sawia ki wadhifa wake?

Na kwanini asikutane na Biden ambaye siku hiyo atakuwa palepale White house?

Huenda Samia amepuuzwa na mamlaka za USA 🇺🇸?!
Inakuaje kwamba ataanza Harris then afuate Biden?

Screenshot_20220414-121444.png
 
Back
Top Bottom