Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Yes Arusha kwenye Royal TourArusha!!!?
Anyway ni kwema 🏃♀️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes Arusha kwenye Royal TourArusha!!!?
Anyway ni kwema 🏃♀️
unataka na wewe uje kufunguliwa uzi wako?Kufa kufaana ..nipe namba za muachwa nimpe pole
Bila kopa kopa bado hujakubali...Nimekubali 😂
Nimekubali nini kwanza? 🤔Bila kopa kopa bado hujakubali...
Unachofikiria ndiyo hicho hicho...Nimekubali nini kwanza? 🤔
Pick up 📱Unachofikiria ndiyo hicho hicho...
William anaachaje upaja huo wote jamani....huyu mrembo anapatikana wapi nikamuwowe
Hapo unabakije kwa mfano, ni mbio za marathon kabisaKama ndio huyu muolewaji, basi Nasimama na William.
WILLIAM siyo gaidi
View attachment 2225562
Noooo , William apewe ulinzi huko alipo.
View attachment 2225621
Ah wee acha utani unaoaje mwanamke hana tako bwana au suraIla wanaume tunapotaka kufanya maamuzi ya kuoa tunakuwaga makini, yaani sijui shepu, matako na uzuri wa sura huwaga havina nafasi yaani inakuwa kama ile penati ya mwisho ukikosa basi umepoteza game.
Jidanganye watu wanayaacha matako ndani anaenda ishi kwa nyumba ndogo ambaye sura hana na kapigwa pasi, kwenye ndoa mwanaume huwaga anatafuta UTULIVU na AMANI ya moyo.Ah wee acha utani unaoaje mwanamke hana tako bwana au sura
Sawa kila mtu na maamuzi yake mie mwanamke hana tako wala minyonyo siwezi weka ndani. Mwanamke pambo la nyumba bwana.....akipita analitingisha tako tayari moyo una burudikaJidanganye watu wanayaacha matako ndani anaenda ishi kwa nyumba ndogo ambaye sura hana na kapigwa pasi, kwenye ndoa mwanaume huwaga anatafuta UTULIVU na AMANI ya moyo.
Sasa okta okta huko kisa tako, uone jinsi utakavyo jijengea kajehanum kadogo nyumbani kwako, nyumba yako mwenyewe utakuwa unarudi saa sita usiku kuondoka saa kumi na moja alfajiri. Unapofanya maamuzi ya kuoa tumia kichwa cha juu, ila upofanya maamuzi ya kutimiza tamaa zako za kimwili tumia kichwa cha chini shauri yako.
Sawa dunia ni yako chaguo ni lako na maisha ni yako.Sawa kila mtu na maamuzi yake mie mwanamke hana tako wala minyonyo siwezi weka ndani. Mwanamke pambo la nyumba bwana.....akipita analitingisha tako tayari moyo una burudika
Wile alinogewa na bar maid akatangaza ndoa kabisa! kweli mwamba anahitaji ulinzi huko aliko maana maamuzi yake yamekua ya ghafla sana...Kama ndio huyu muolewaji, basi Nasimama na William.
WILLIAM siyo gaidi
View attachment 2225562
Noooo , William apewe ulinzi huko alipo.
View attachment 2225621
Jamaa angekomaWilliam amefanya maamuzi sahihi kabisa.
Yawezekana baada ya ndoa, wiliam angekufa kwa stress ama angekonda kwa gubu la huyu mwanamke.
Binafsi sinaona muolewaji hapo.