Inauma, inaumiza, inakereketa! William Mungu anakuona

Inauma, inaumiza, inakereketa! William Mungu anakuona

Hii inaonyesha Ni Jinsi Gani Wanaume wameumizwa sana na Hawa Warembo wakaa Nusu Uchi ...Twitter...
20220515_180626.jpg
20220515_180834.jpg
 
No matter what were the reasons BUT IT IS TOO PAINFUL TO BE LEFT LIKE A TRASH......

Jamani siku chache kabla ya ndoa na kote church with all those procedures and paperworks!!!!!

Tunatiliana NUKSI jamani
Huwezi kwenda kuishi na shida maisha yako yote.
Kuliko ndoa ivunjike ndani ya muda mfupi ni Bora kuishia njiani kila mtu awe hajawahi oa au kuolewa.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Nakuombea upate mwanamme anayejielewa mtatengeneza familia bora kabisa, ila ile tabia yako ya kwenda bar na clubs upunguze sasa ili usijempata wa kufanana nae.

Hapa chini ona mke aliyooa william, she is total a wife material binti mzuri na anajua kujistiri vyema kabisa.

View attachment 2225659
Na vibonge ndio ugonjwa wake πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Shida william alichelewa kupata mafile na kujua ukweli wa maisha halisi ya bidada kabla hajakutanaa naeee... Ila sasa ameshaujua ukweli hawezi kuendelea kujikaanga na mafuta yake mwenyeweee ...its better late than never
Sasa ilikuaje akamrudia ambaye hakuna na mpango nae? Huyo mwanamke anajua kua Wiliam alitaka kuoa mwanamke mwingine na sio yeye toka mwanzo,So hata huyo mwanamke itakua sio rahisi kumuamini sana huyo Wiliam.
 
Back
Top Bottom