Lalo Salamanca
JF-Expert Member
- Dec 9, 2012
- 1,532
- 1,118
I hope unatania, The guy is just a coward, she has every right to cry
NOPE!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I hope unatania, The guy is just a coward, she has every right to cry
Kuna mwanamke ukimuonaa tu huitaji story ya upande wa pilii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwanamke ana tatoo anavaa vipedoo bar kaka Utakuja kupigwa na vitu vizitooo hutaamini...Mmesikia upande wa pili au mnajudge ty
Halafu mbona mm ilishanikuta situations kama hio lakini sijalalamika,%kubwa ya wanaume wanafanyiwa hivyo na wanawake lkn kwasababu wana koromeo lkn wanakaa kimyaaa tunakufaa na tai zetu shingon, nyie sasa mpaka mpaka mashirika ya kutetea haki za wanawake wataingilia, kwa upande wangu alichofanyiwa huyo na William ni sawa kabisaKama wanavyosema kuwa jinsia KE hatutabiriki wala hatuaminiki, nyie Jinsia ME nini huwa kinawakuta? nini hicho mmefanyia dada wa watu? So painful[emoji174][emoji174]
View attachment 2225510
NB: Linda aliyetajwa humo na huyo dada siyo mimi Linda R.Joseph.
Kuna mwanamke ukimuonaa tu huitaji story ya upande wa pilii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwanamke ana tatoo anavaa vipedoo bar kaka Utakuja kupigwa na vitu vizitooo hutaamini...
Ukisema hivyo hakikisha hakuna kidole kinakupointHapana, ilo linasikitisha sana..
Ukisema hivyo hakikisha hakuna kidole kinakupointHapana, ilo linasikitisha sana..
😂 speaking of double standards , vipi alivyomficha jamaaa mambo yoote hadi akaja pewa file lake heavy?No matter what were the reasons BUT IT IS TOO PAINFUL TO BE LEFT LIKE A TRASH......
Jamani siku chache kabla ya ndoa na kote church with all those procedures and paperworks!!!!!
Tunatiliana NUKSI jamani
Yap! Huu ndo ukweli hata kama jamaa ana body count kubwa ukimuuliza anataka mwanamke wa aina gani atakuambia aliyetulia, mchamungu na mwente upendo ila sjui kwanini wanawake hawajui hili.Kuna mwanamke anae tamanisha kupiga na kusepa.. hao wapo wengi sana dsm
Llinapokuja swala la ndoa.. wanaume tunaangalia vingi kuliko kawaida[emoji23][emoji23][emoji23]
Hamjuagi tu..
Hii ishu ilitokea 2019 au 2020 hivi wameijadili sana na hata huyo dada alipigwa maswali hapo hapo studio (clouds nadhani) ikagundulika alikuwa shamba la bibi haswaaaa ndo mana jamaa akasepa .Mkuu issue sio kumuoa au kutomuoa,
Ilikuaje huyo Wiliam akataka kumua huyo mwanamke na hakutaka kumuoa huyo aliyekua nae toka mwanzo kisha baada ya hiyo ndoa kutokuwepo akamrudia yule ambaye hakutaka kumuoa aliyekua nae mwanzo?
Mwanangu endelea Kufukua hii habari huenda tukaongezea nyama kule kwenye uzi wetu wa kimasiharaMwanamke wa hivi ukimkuta Bar maliza nyegee zako ondokaaa
Ninawapenda wanawake kama mama zangu nawashauri pendeni wanaume wanaopenda kuongea na majadiliano mkiishi kwa kupenda hisia na ulaghai ili mfaidi au mtibu shida zenu ni hatari, kibaka ni kibaka huyo Linda ameroga, dealing mtu mwenyewe mawasiliano na EX au Maex ni tsunamiKama wanavyosema kuwa jinsia KE hatutabiriki wala hatuaminiki, nyie Jinsia ME nini huwa kinawakuta? nini hicho mmefanyia dada wa watu? So painful[emoji174][emoji174]
View attachment 2225510
NB: Linda aliyetajwa humo na huyo dada siyo mimi Linda R.Joseph.
Naona Mwanachama kajinasua DK ya 90"There is a hiding agenda here" Tumsubiri Baharia Wille ajielezee..!!!
#YNWA
Basi niombee 😂Ila omba yasikutokee
Ndio nimetoka jumuia Sasa hivi.Basi niombee 😂
Kama ni hivyo sawa ila mimi ndio mara yangu ya kwanza ndio naiona hapa,Hii ishu ilitokea 2019 au 2020 hivi wameijadili sana na hata huyo dada alipigwa maswali hapo hapo studio (clouds nadhani) ikagundulika alikuwa shamba la bibi haswaaaa ndo mana jamaa akasepa .
😂 shida jamaa alipata file mwisho hukooo karibu na kuoa