Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Angechukulia poa tu aje alie weee miezi sita machungu yaishe atafute mwingine sio kupigana. Mi nilienda siku moja enzi hizo tuna mgogoro ambao hauna P. O. BOX ila mwenzangu kanichunia 100% miezi 3 nkabembeleza nikachoka siku moja nikajifanya napita nkabisha hodiiii weee nlikuta mtu anaosha vyombo na mbinjuo wake kichwani. Nikawasalimu kama mpita njia nikasema napita tu jamani dada wawatu wala hakushtuka. Juzi chege alivyotoa wimbo acha waoane nkakumbuka walioana na walishaachana. Sasa ooohhh madam ujue nilirubuniwa na msichana wa kazi wa mtu akaniigizia kumbe kaficha makucha najuta rudisha moyo.
Nikamuambia ungekuta mambo mazuri miaka 10 usingenikumbuka sasa kwakuwa alikuwa housegirl kwa mtu na mmeshindwana basi muajiri hapo kwako oa mwingine mimi hakaaa nimetulia kivingine.
 
Nina hasira ngoja nikae kimya mana naweza toa neno nikawakwaza wanawake

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
Askari wa nao wakaguliwe vyeti sasa

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
si angewaacha tu ye akarudi dar...wanawake wapo wengi!
pole yake.
Mambo ya kuanza kupigana kwa mtu uliye mfumania ni ujinga,wanawake wapo kibaaaaao.

"the highest risk should give maximum profit"
 
Duhhhhhhhhhhh hatari sana.

Cc Smart911

Sent from Mrs Smart911 using JamiiForums mobile app
 
Nina hasira ngoja nikae kimya mana naweza toa neno nikawakwaza wanawake

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app

Halafu kama nakufahamu, muandiko wako,jina utakuwa ni wewe tu ambiere
 
Nipo mwanza ngoja niende msibani



Rest in peace brother.......na nmejifunza kutoka kwako............*** ONCE SHE PUT YOU DOWN LET HER GO***
 
it's not fair why uweke picha yake humu?hata ndugu zake hawarafurahi tuheshimu privacy ya mtu,so sad!
 
Kisaa kilee kishimo..!??? Aiseee hapo me ningepotezea ilaa sasa ningewalaaa mpaka wakomee...ni minyoosho tu Muda wa kupendana ushaishaa..!! Nawapenda ndugu inatosha

Sent from my Z30 using JamiiForums mobile app
 
Upumbavu wake!
Vifo vingine vya kujitakia.
Unapigana kisa K??
Tena K isiyo ya mkeo halali
Alazwe mahali anapostahili.Amen!
K nazo bhana... zimezidi kuwa tamu sana bhana...

Likitu lina sura mbaya lakini tamuuu...

Mkiongeza na mbwembwe zenu sasa... ama kweli mchukia K hanithi.

RIP shujaa wa kupigania K...
 
Huyu ana undugu na kina Nico Ngole waliokuwa wanakaa ma flat ya Drive Inn Dar?

R.I.P

Wadogo zetu wanafariki wadogo sana. Bikira wa Kisukuma then huyu.

Sent from my Kimulimuli

Nico Ngole unamfahamu?

Mshua wao alikuwaga mwalimu pale Dar Tech....kama sijakosea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…