Inauma sana na haivumiliki

Inauma sana na haivumiliki

Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Kwani Ndoa ni vita?
 
We inaonekana huna kifua 😁

Ya kale ni ya kale na unapaswa kuanzia pale mlipoanzia. Ya kale huko na ma-ex zake wa chuoni na kwingineko we yanakuhusu nini?
😅 😅 😅

Alinyonya mashine, aliirudisha ndani ilivochomoka, alikubali kuishi na mchizi bila ndoa.

Ila baada ya kukutana na wewe ndio anaanza kujiona ana akili.

Mfano mleta hii mada ameshamsamehe mtu asiye serious na malengo na nane kwa miaka, akija kukutana na mtu mwingine ataanza kumwambia wasahau ya nyuma wakati alileta mada hadi huku.

Kwenye mahusiano msigusie hadithi za nyuma kabisa
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo
mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja
dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna
unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae
shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine
je mwanaume wa namna hii utamfanya nin
kumshusha busha
kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende
ukiangalia kakupotezea muda inauma kwakweli
Mshukuru Mungu sana,
Huenda amekutua mzigo mzito sana ambao ungekulemea na kukutesa zaidi huko mbeleni maisha yako yote yaliosalia hali yakua anataka na amekupangia ufurahi....

Huenda amekuepusha na shari nzito mathalani laana, maradhi ambayo yangeletwa ndani yako wewe binti mrembo usie na hatia na huyo asie mwaminifu aliekupotezea time yako na kukuchelewesha kukutana na aliepangwa kwaajili yako rasmi....

Licha ya kwamba huenda mmeshiriki dhambi nyingi tu mathalani uasherati au uzinzi, bado nafasi ya kutubu na kuomba msamaha kwa Mungu ipo, ili hatimae yule alie andaliwa kwaaajili yako asogee mahali ambako na wewe unafika sana ili kusudi kwa Neema na Baraka za Mungu muunganike katika upendo wa kweli na wa dhati.....

kumbuka, mlango A ukifungwa bilashaka mlango B na pemgine C na D huwa iko wazi ni suala na ufahamu na uelewa tu....

Pole sana, huna haja ya kubabaika wala kuzubaa na asie mwaminifu kwako...

nakutakia kila lililo jema......
 
Mwanamke anaposema anamvumilia mwanaume anakuwa anamaanisha nini?

Kuna utoto mwingi katika falsafa za MAISHA kwa wanawake wakibongo

Unamvumiliaje MTU unamdai ? Au ulimkopesha ?

Mwanaume huwezi kumvumilia hizo ni kauli za kitoto ambazo hazina uhalisia


Tukija katika jambo lako unabidi kujua na kuelewa kuwa Mwanaume anapokuwa broke anakuwa anakuvumilia wewe na sio wewe kumvumilia yeye

That's why alivyojipata uvumilivu wa kuwa na mke mmoja umemshinda achilia mbali kukuoa.


So fungueni akili na sio mapaja
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Tenda wema nenda zako.
 
Back
Top Bottom