stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Alivyokua anaukali Si alikua anasikia rahaHii dunia usiishi kwa kumtegemea mtu ama kumtumainia mtu mwisho wa siku utakua disappointed.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alivyokua anaukali Si alikua anasikia rahaHii dunia usiishi kwa kumtegemea mtu ama kumtumainia mtu mwisho wa siku utakua disappointed.
Kabisa…binafsi mpaka naolewa sijawahi kuwa na mwanaume wa kumvumilia ajitafute… hell noKabisa. Nina laki 1,mwanaume anatakiwa kuwa na 2 au zaidi. Tofauti na hapo ni wachache sana wana remain the same, wengi ni matukio tu kama ya mtoa mada.
Kwani Ndoa ni vita?Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
Ila unaukalia mpaka unakumwagia ndaniMkuyenge kukiwa na stress za ela hata haunogi
😅 😅 😅We inaonekana huna kifua 😁
Ya kale ni ya kale na unapaswa kuanzia pale mlipoanzia. Ya kale huko na ma-ex zake wa chuoni na kwingineko we yanakuhusu nini?
Kwa hio walikua unapigwa mkuyege alafu unaenda zako kesho tenaKabisa…binafsi mpaka naolewa sijawahi kuwa na mwanaume wa kumvumilia ajitafute… hell no
Hii ni point mkuu,Oneday Yes ni hapana kwa kweliNever fall in love with a dreamer..! Atakuumiza sana
Mshukuru Mungu sana,Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo
mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja
dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna
unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae
shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine
je mwanaume wa namna hii utamfanya nin
kumshusha busha
kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende
ukiangalia kakupotezea muda inauma kwakweli
Nikiambiwa ex ameshafariki kwa ajali ya Fuso hapo natia mguuKwenye mahusiano msigusie hadithi za nyuma kabisa
Hata sijakuelewa fafanuaKwa hio walikua unapigwa mkuyege alafu unaenda zako kesho tena
Huu ndio ushauri, akipata mwingine anasema alivoachwa aliua, sio aanze kusema alivompenda ex wakeMuue 🐼
Yaan ulikua unapigwa mkuyege tu Ila no future experience ni km tetea unakamatwa unapigwa mkuyege alafu basi kesho utapigwa na mwingineHata sijakuelewa fafanua
Tenda wema nenda zako.Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
Najaribu kukuelewaKwa hio walikua unapigwa mkuyege alafu unaenda zako kesho tena
Unamvumilia ili aendelee kukugonga umeupenda mkuyege sio hali yake ya ufukaraMwanamke anaposema anamvumilia mwanaume anakuwa anamaanisha nini?
Kuna utoto mwingi katika falsafa za MAISHA kwa wanawake wakibongo
Unamvumiliaje MTU unamdai ? Au ulimkopesha ?
This is the point.Mwanamke anaposema anamvumilia mwanaume anakuwa anamaanisha nini?
Kuna utoto mwingi katika falsafa za MAISHA kwa wanawake wakibongo
Unamvumiliaje MTU unamdai ? Au ulimkopesha ?
Kwa hio ulihusisha PesaNajaribu kukuelewa
Ila its ok kumpenda mtu mwenye hela zake bila kuhusisha hisia zako na pesa zake
“Suffering sio sifa”