Inauma sana na haivumiliki

Inauma sana na haivumiliki

Jifunze kushukuru Gratitude na ujitahidi kujifunza kutoishi na kinyongo

Then wewe unaonekana ni MTU mjinga ambaye hauna Emotional intelligence

Jifunze kuwa positive

Huwezi kumvumilia mwanaume hizo kauli za watu wajinga unabidi kujua mwanaume ambaye hana pesa ndo anamvumilia mwanamke maana yeye anaweza kusimama bila wewe.


Leo unawaza kuua , kutesa , kisa mapenzi MTU ambaye haujamzaa wewe Ila mmekutana ukubwani it hell
 
😅 😅 😅

Alinyonya mashine, aliirudisha ndani ilivochomoka, alikubali kuishi na mchizi bila ndoa.

Ila baada ya kukutana na wewe ndio anaanza kujiona ana akili.

Mfano mleta hii mada ameshamsamehe mtu asiye serious na malengo na nane kwa miaka, akija kukutana na mtu mwingine ataanza kumwambia wasahau ya nyuma wakati alileta mada hadi huku.

Kwenye mahusiano msigusie hadithi za nyuma kakabi
Una hoja na inabidi usikilizwe.

Binti anayejielewa hawezi kukupa mpaka details za jinsi sex life na ma ex zake ilivyokuwa maana kisaikolojia hiyo ni mbaya sana kwa mwanaume. Kuna vitu utaambiwa hutakaa uvisahau kamwe!

Na sijui ni kiranga gani huwa kinatufanya sisi wanaume tuanze kuulizia body count ya wapenzi wetu wapya wakati tunajua kabisa kuwa hata tukiambiwa ni mmoja tu itatukera maana huyo kenge ndiye atakuwa mtoa bikra huyo....

Mimi nilishakoma kuulizia na hata akijitolea kuniambia namkataza maana kusema kweli hayanihusu; na najua tu kuwa hatasema ukweli!

We meet. We start fresh. Uliolewa ndoa bubu huko chuoni. Ulikuwa unajiuza mitandaoni au mabarabarani huko. Ulishawahi kutoa mimba. Ulikuwa muuza baa. Una body count 70+...hayo hayanihusu (labda tu ukiwa kwenye gridi ya taifa!)

Ndivyo inavyotakiwa!
 
Jifunze kushukuru Gratitude na ujitahidi kujifunza kutoishi na kinyongo

Then wewe unaonekana ni MTU mjinga ambaye hauna Emotional intelligence

Jifunze kuwa positive

Huwezi kumvumilia mwanaume hizo kauli za watu wajinga unabidi kujua mwanaume ambaye hana pesa ndo anamvumilia mwanamke maana yeye anaweza kusimama bila wewe.


Leo unawaza kuua , kutesa , kisa mapenzi MTU ambaye haujamzaa wewe Ila mmekutana ukubwani it hell
💯
 
Kwanza unaishije na mwanaume kabla hujaolewa?

Kuna pupa watoto wa kike mnayo, ikiwa hujaolewa usilale hata kwa mwanaume, usimpe uchi kama maji.

Unakuta umechumbiwa tu unampa mwanaume uchi anauchakaza kama kifungua kinywa kila siku, ukimuudhi na akikuchoka anamchukua Hawa

Mjifunze kujitunza hadi muda ufaao.
ephen_ umeshangaa tena?
Chukua hayo maneno, kabla hujaolewa tunza utam usimpe mwanaume kila siku
Hakuna njia ya kuthibitisha kwamba 'mwanaume sahihi' amefika

Waache mabinti wajivinjari
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Pole kwa yaliyokukuta ndio Walimwengu walivyo
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Pole sana
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Usiwe mwepesi sana kuhukumu, Jaribu kujitathimini na wewe ni wapi ulipokosea, lakini vilevile utambue wewe kumzidi mwenzio kipato haikufanyi uweze kumiliki akili yake na namna ya kufikiri na kufanya maamuzi, kwa harakaharaka unaonekana ni mwanamke mbinafsi na huenda umemsimanga sana kutokana na hali yake ya kipato kuwa chini, na kati ya mambo ambayo wanaume yanatushinda ni kusimangwa, mwanamke anaweza kuvumilia masimango ila siyo kwa mwanaume mwenye akili timamu, mwanaume ni afadhali akazoe hata takataka kuliko kupewa senti yenye masimango.
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Dear!

Njoo kwangu nikutibu vidonda!!
Pole ,Bado tupo mbona!!
 
Back
Top Bottom