Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi! Yule unayesema ni mcha Mungu, mstaarabu anajielewa kumbe ni mbwa tuHakuna njia ya kuthibitisha kwamba 'mwanaume sahihi' amefika
Waache mabinti wajivinjari
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
Hiyo kauli huwa unaitafsiri vibaya. kati ya mwanamke na mafanikio, kipi kinaanza?Wahenga wanasema Kila mwanaume mwenye mafanikio ujue nyuma yake Kuna mwanamke.
Shida ni kujua je ni mwanamke gani yupo nyuma ya ayo mafanikio anyway pole sana Mkuu uwende umefanyika daraja ivyo kazi yako imeisha tafuta mwingine ambaye atakuwa daraja kwako
Dada mkubwa njoo kwangu Wala hutajuta. Njoo uwe waziri Mkuu wangu.Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
Egzagitiri (exactly)Kwani alikuomba umvumilie ama ulijipendekeza kumvumilia?
Hakunaga busha la kutumwa. Pambana na hali yako.
Nashangaa na mimi kwa kweliKumbe na nyie huwa inawauma[emoji848]
kwa kweliMe siwezi fanya dhambi ya hivi,pole dada.Wanaume wenye upendo na kuthamini wanawake tumebaki wachache sana.
naked commentDada kaa chini tulia mwachie Mungu atakupa wa aina yako. Kiwaza kumzuru ni wewe unafunga neema yako ya kupata aliye bora zaidi.
Leo wewe unawaza kumtendea ubaya huyo hebu jiulize wanaume wangapi wameumizwa na wanawake na wakaacha mambo yaende.
Ndio huo huo unaitwa mkuyege
[emoji122][emoji122]makini sana.Mwanamke anaposema anamvumilia mwanaume anakuwa anamaanisha nini?
Kuna utoto mwingi katika falsafa za MAISHA kwa wanawake wakibongo
Unamvumiliaje MTU unamdai ? Au ulimkopesha ?
Mwanaume huwezi kumvumilia hizo ni kauli za kitoto ambazo hazina uhalisia
Tukija katika jambo lako unabidi kujua na kuelewa kuwa Mwanaume anapokuwa broke anakuwa anakuvumilia wewe na sio wewe kumvumilia yeye
That's why alivyojipata uvumilivu wa kuwa na mke mmoja umemshinda achilia mbali kukuoa.
So fungueni akili na sio mapaja
Tena sisi timu kataa ndoa ndio una kuta tupo smart sana ,please msituogope [emoji4][emoji4]Upo sahihi! Yule unayesema ni mcha Mungu, mstaarabu anajielewa kumbe ni mbwa tu
Anayeonekana wa hovyo kumbe ndo mwanamme na nusu atakayekupa furaha.
Hayanaga Muongozo.
Mnapoanza kuharibu ni hapaDada kampotezeaje muda?? You are datin me for 3yrs, umenihold. Leo mwaka wa 4 unaenda kuoa mwingine. Unasemaje na mm nmeshiriki kukupotezea muda?
Kataa ndoa inabidi umpate kataa ndoa mwenzako.Tena sisi timu kataa ndoa ndio una kuta tupo smart sana ,please msituogope [emoji4][emoji4]
🤣🤣🤣Kataa ndoa inabidi umpate kataa ndoa mwenzako.
Wenzangu na mimi tunaohitaji ndoa tunahitaji vijana wanaoweza kula kiapo.
Hii kataa ndoa ni uhuni wa kimtandao tu unaofanywa na Vijana wa humu 😂😂😂Kataa ndoa inabidi umpate kataa ndoa mwenzako.
Wenzangu na mimi tunaohitaji ndoa tunahitaji vijana wanaoweza kula kiapo.