Inauma sana na haivumiliki

Inauma sana na haivumiliki

Umekaa umevumilia nini peleka upuuzi kule we una uhakika gani kama na yeye alikuvumilia na umasikini wa kutokea kwenu ambao ulizidisha umasikini kwake zaidi... Gender ya ajabu sana nyie, Yaani hamuaminigi kama na ninyi ni masikini bali mnaonaga tu kwamba maskini ni mwanaume ulienae, Grow up ujitafute maana hata wanaume waliojipata sikuhizi wanataka pisi zilizojipata
 
siyo kweli. yanaanza mafanikio kisha anakuja mwanamke. ushawahi kumuona chizi anamiliki mwanamke? Dunia hii hakuna mwanamke ambaye anaweza ishi na mwanamme asiye na kitu chochote cha thamani.

Kwahiyo kwa kifupi ni kwamba kila mwanamme mwenye mafanikio ni lazima kuna wanawake kibao nyuma yake wanafukuzia mafanikio yake.

Na siyo kwamba mwanamme aliyefanikiwa kuna mwanamke nyuma yake aliyemsaidia kupata hayo mafanikio.

kama unabisha, nitajie mwanamme yeyote duniani aliyepata mafanikio kupitia kwa mke wake.
Mwijaku
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Ukihitaji wahuni niambie
 
siyo kweli. yanaanza mafanikio kisha anakuja mwanamke. ushawahi kumuona chizi anamiliki mwanamke? Dunia hii hakuna mwanamke ambaye anaweza ishi na mwanamme asiye na kitu chochote cha thamani.

Kwahiyo kwa kifupi ni kwamba kila mwanamme mwenye mafanikio ni lazima kuna wanawake kibao nyuma yake wanafukuzia mafanikio yake.

Na siyo kwamba mwanamme aliyefanikiwa kuna mwanamke nyuma yake aliyemsaidia kupata hayo mafanikio.

kama unabisha, nitajie mwanamme yeyote duniani aliyepata mafanikio kupitia kwa mke wake.
Tafsiri ya mafanikio ni pana sana
 
siyo kweli. yanaanza mafanikio kisha anakuja mwanamke. ushawahi kumuona chizi anamiliki mwanamke? Dunia hii hakuna mwanamke ambaye anaweza ishi na mwanamme asiye na kitu chochote cha thamani.

Kwahiyo kwa kifupi ni kwamba kila mwanamme mwenye mafanikio ni lazima kuna wanawake kibao nyuma yake wanafukuzia mafanikio yake.

Na siyo kwamba mwanamme aliyefanikiwa kuna mwanamke nyuma yake aliyemsaidia kupata hayo mafanikio.

kama unabisha, nitajie mwanamme yeyote duniani aliyepata mafanikio kupitia kwa mke wake.
Mkuu hao wanaume waliopata mafanikio wanawake wakiwa nyuma yao wapo Japo ni wachache
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Umeshiriki maumivu ya kuishi bila kitu na haujashiriki furaha ya kupata kwa maana ya jasho la uso, by the way tunatofautiana... Njoo huku tusukume maisha
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Hakuna haja ya kumlalamikia mtu siku zote unavyopata maumivu hiyo ni njia yako yakufika katika mafanikio na kutoka katika kifungo hili watu wengi hawalijui Mungu anayajua mengi ya mbele yetu kuliko sisi shukuru kwa kila jambo anza sasa kusoma biblia kufungua na kuomba huwezi jua Mungu kakupangia Nini
 
Back
Top Bottom