Inauma sana na haivumiliki

Inauma sana na haivumiliki

Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Inawezekana katika maisha yenu, ulikuwa na elements za kumsimanga kwa sababu ya umasikini wake, ulionyesha kumdharau (kwa kujua au kutokujua) na yeye akaweka mambo moyoni kwa muda mrefu, alivumilia kwa kuwa hakuwa na namna ya kuishi bila wewe, ila baada yakuona anaweza kusavaivu in your absence basi akafanya maamuzi.

Ilinitokea mimi miaka kadhaa iliyopita, mwanamke nipo naye nikiwa sina pesa, kwa kiasi kikubwa vitu vingi alikuwa anafanya yeye ili maisha yaende.

Alikuwa anatoka kwenda kwa x wake, wakati wowote akijisikia, siku moja nilimuuliza "why are you doing this? ni kwa sababu una-cover up hizi expenses?" Alinijibu "Hujanioa, hela huna then unabwabwaja tu hapa, kama unaniona Malaya kwa kuwasiliana/kumtembelea x, then you can go kwa atakayekuheshimu na ufukara wako, badala unishukuru nakusitiri hapa, unanipigia kelele"

Hii iliniuma mno, nikanywea, kwa miaka 3 baadaye, nikiwa nipo nayeye, nilipata kazi mahali pazuri tu, niliondoka kimya kimya, alinilaani sana na kunitamkia mambo magumu, lakini sikurudi nyuma... Mpaka leo namuangaliaga you tu!

Ahsante sana R, haikuwa dhamira yangu kabisa kukuacha, ila ulinibadilisha wewe mwenyeweee!
 
Dada kampotezeaje muda?? You are datin me for 3yrs, umenihold. Leo mwaka wa 4 unaenda kuoa mwingine. Unasemaje na mm nmeshiriki kukupotezea muda?
Anayetakiwa kubeba lawama za hivyo ni wale waliowatoa bikra tu, wengine wanaofuata hawatakiwi kubeba lawama kabisa maana wanakuta mlishaharibiwa kuanzia akili mpaka uchi... Wengine mnavumiliwa tu pia ila hamjui...
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Nenda kwa mganga mroge awe kichaa
 
Kwa nini unataka kulazimisha mapenzi?

Kwa nini unataka kumdhuru mtu kwa sababu kaamua hakupendi tena?

Wewe ni mbaya hivyo kwamba huwezi kupata mwingine?

Yani huyo peke yake ndiye alikuwa mwokozi wako dunia nzima?
Tatizo ni mda na rSilimali mdada wa watu katumia. Tukubali kuwa inauma tena sana.

Pole sana Mercy
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Pole sana mkuu
 
Tatizo ni mda na rSilimali mdada wa watu katumia. Tukubali kuwa inauma tena sana.

Pole sana Mercy
Sasa makosa kafanya yeye kutumia muda na rasilimali kwa mtu asiyestahili, halafu lawama anataka kumpa nani?

Lawama ni zake mwenyewe kwa kuchagua vibaya.

Kuuma, iueme, isiume, tatizo ni lake.

Na akikazia kuangalia maumivu, bila ya kuangalia chanzo cha maumivu, ambacho ni udhaifu wake katika uchaguzi, ataenda kuumia tena na tena na tena.

Achukue darasa, a move on.

Huu ulofa wa kutaka kumdhuru mtu kwa sababu kakuacha ni ujinga mkubwa sana. Ni kulazimisha mapenzi. Ni kukubali kwamba yeye hana mvuto.
 
Sasa makosa kafanya yeye kutumia muda na rasilimali kwa mtu asiyestahili, halafu lawama anataka kumpa nani?

Lawama ni zake mwenyewe kwa kuchagua vibaya.

Kuuma, iueme, isiume, tatizo ni lake.

Na akikazia kuangalia maumivu, bila ya kuangalia chanzo cha maumivu, ambacho ni udhaifu wake katika uchaguzi, ataenda kuumia tena na tena na tena.

Achukue darasa, a move on.

Huu ulofa wa kutaka kumdhuru mtu kwa sababu kakuacha ni ujinga mkubwa sana. Ni kulazimisha mapenzi. Ni kukubali kwamba yeye hana mvuto.
Shida hapo ni Ile aibu kutoka Kwa ndugu waliomkataza kuhusu huyo jamaa maana Sasa watakuwa wanamcheka.

Ushauri Kwa wanawake, ikitokea ukaamua kuwa na hohehahe jitahidi kumfichia Siri Kwa ndugu zako kuepuka yaliyomkuta mleta Uzi
 
Inawezekana katika maisha yenu, ulikuwa na elements za kumsimanga kwa sababu ya umasikini wake, ulionyesha kumdharau (kwa kujua au kutokujua) na yeye akaweka mambo moyoni kwa muda mrefu, alivumilia kwa kuwa hakuwa na namna ya kuishi bila wewe, ila baada yakuona anaweza kusavaivu in your absence basi akafanya maamuzi.

Ilinitokea mimi miaka kadhaa iliyopita, mwanamke nipo naye nikiwa sina pesa, kwa kiasi kikubwa vitu vingi alikuwa anafanya yeye ili maisha yaende.

Alikuwa anatoka kwenda kwa x wake, wakati wowote akijisikia, siku moja nilimuuliza "why are you doing this? ni kwa sababu una-cover up hizi expenses?" Alinijibu "Hujanioa, hela huna then unabwabwaja tu hapa, kama unaniona Malaya kwa kuwasiliana/kumtembelea x, then you can go kwa atakayekuheshimu na ufukara wako, badala unishukuru nakusitiri hapa, unanipigia kelele"

Hii iliniuma mno, nikanywea, kwa miaka 3 baadaye, nikiwa nipo nayeye, nilipata kazi mahali pazuri tu, niliondoka kimya kimya, alinilaani sana na kunitamkia mambo magumu, lakini sikurudi nyuma... Mpaka leo namuangaliaga you tu!

Ahsante sana R, haikuwa dhamira yangu kabisa kukuacha, ila ulinibadilisha wewe mwenyeweee!
Ulichozungumza kina ukweli Kwa asilimia kubwa. Mwanamke kukusaidia bila masimangi ni mbingu na ardhi na hiking ndio chanzo kikubwa.
 
Shida hapo ni Ile aibu kutoka Kwa ndugu waliomkataza kuhusu huyo jamaa maana Sasa watakuwa wanamcheka.

Ushauri Kwa wanawake, ikitokea ukaamua kuwa na hohehahe jitahidi kumfichia Siri Kwa ndugu zako kuepuka yaliyomkuta mleta Uzi
Kuishi kwa kuangalia sana watu wengine wanasemaje nalo ni tatizo.

Mtu anayejieleea anatakiwa kuweza kueleea juwa duniani kuna kufanya makosa na kujifunza, na yeye amefanya makosa na kujifunza, atakayemcheka hilo ni tatizo lake huyo anayecheka, kwa kutoelewa "the human condition" kwamba wote tunakosea sehemu fulani, kuwa hata na yeye anayecheka kuna jambo atakuwa kakosea.

Yani hata hii jitihada ya kufanya kisasi kwa kiasi kikubwa ni jitihada ya kuwaonesha watu wengine tu. Watu hawaishi maisha yao kama wao wanavyotaka, wanaishi maisha yao kuwaridhisha wengine.
 
Back
Top Bottom