Inauma sana na haivumiliki

Inauma sana na haivumiliki

Ebu pitia hapa huenda ukaponya moyo wako

 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Haya matukio watanyaji wengi ni wanawake mwanaume akitetereka kiuchumi.
Kwà wanaume kumwacha asiyeomba hela ni ngumu sana. Wanaume tunatafuta hela ili msituache ila siyo tuwaache.
 
Kwa nini unataka kulazimisha mapenzi?

Kwa nini unataka kumdhuru mtu kwa sababu kaamua hakupendi tena?

Wewe ni mbaya hivyo kwamba huwezi kupata mwingine?

Yani huyo peke yake ndiye alikuwa mwokozi wako dunia nzima?
Tunaweza kuona ni rahisi sana lakini hii inachoma kama pasi,imagine huyo dada amemvumilia mwenzio mpaka wamejenga familia,may be na watoto wamepata,ndugu wanamjua huyo mwanaume kuwa ndo ameoa Binti Yao,then gafla anamuacha anaoa mwingine,,like seriously? Inauma aisee,omba yasikukute. Na hizi mada za single mother wanavyopondwa then umevumilia mtu mwisho wa siku anakuacha ,inaumiza sana
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Pole Sana mkuu,Muombe Mungu akupatie wa kufanana naye[emoji120]
 
Tunaweza kuona ni rahisi sana lakini hii inachoma kama pasi,imagine huyo dada amemvumilia mwenzio mpaka wamejenga familia,may be na watoto wamepata,ndugu wanamjua huyo mwanaume kuwa ndo ameoa Binti Yao,then gafla anamuacha anaoa mwingine,,like seriously? Inauma aisee,omba yasikukute. Na hizi mada za single mother wanavyopondwa then umevumilia mtu mwisho wa siku anakuacha ,inaumiza sana
Ni mentality na utamaduni wa kijinga sana kumpa mtu mwingine control ya maisha yako.

Unaandika habari ya kumvumilia mpaka wamepata watoto. Hutakiwi kuvumilia ujinga. Unatakiwa ukiona ujinga usioutaka unamkata mtu mapema msije kupata watoto mkaleta complications zaidi.

Yani maisha yako wewe unayaacha yawe defined na matendo ya mtu mwingine. Kwa nini?

Unamkubali mtu ambaye hujamchunguza vizuri, akikuacha hapo kosa ni lako, si lake. Kila mtu ana haki ya kuacha. Ukilalamika kuachwa, wewe ndiye mwenye makosa. Unalazimisha mtu asiyekupenda akupende. Mapenzi hayalazimishwi.

Mbona sisi wengine tumekutana na wanawake ambao tumewaona hawa ni majanga, tukawakata mapema sana, na hilo limetusaidia?

Mbona sisi wengine tumekataliwa na wanawake ambao hawajatukubaki, na hilo tumelielewa na tumelikubali, bila kisasi?

Kwa nini utake kumdhuru mtu kwa sababu kakuacha? Umeshindwa kutafuta mwingine? Mabilioni yote haya ya watu, umeshindwa kutafuta mwingine?

Hapo ndipo unakutana na ujinga wa "ndugu wanamjua". Maana yake mtu anaishi maisha ya ku act anaogopa ataonekanaje kwa ndugu.

Kwa nini watu wanataka kujifanya wao wako special sana, hawataki kukataliwa, wakikataliwa wanataka kuleta vurugu na visasi?

Kumuacha mtu ni haki ya kibinadamu. Hata kama mmekaa naye miaka mia na kupata vitukuu.

Kwa nini mtu analazinisha mapenzi na kutishia kumuumiza mtu nwingine kwa sababu kaachwa?

Huu si ugonjwa wa akili huu?

Ukiachqa, una move on tu.

Ukianza habari za kisasi, unampa point yule aliyekuacha kwamba alikuwa sawa kukuacha.

Kwamba wewe una matatizo ya akili, you are an unstable psycho ambaye hawezi kukubali kuachwa.

Na hiyo ni sababu tosha ya kukuacha.
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Daaah, alafu kadada kenyewe kazuri, Pole na siku nyingine ukisikia methali za wahenga basi uwe una amini
 
Marriage requires patience, understanding, ability to bow out in argument and love.

Love marriage fad has blinded people to assume that dating and small term relationship lead to marriage. In reality it doesn’t.

A person good with sex, doesn’t mean he’s going to be good with finances. A person good with money may not be good with sex. And you can guess the rest of scenarios.

Nobody is perfect. But people want perfection for their own life. So they pick and choose their comfort zone in marriage, which doesn’t stand for many in relationship.

That’s why some women have love affair till they find financially secure and decent guy, then they dump their current lover. Many men have love affair with progressive modern woman but they want stability in relationship so they marry conservative woman. Some people just want time pass and intimacy exploration before marriage too.
Exactly comrade
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Wakati unamvumilia akiwa hana kitu, wewe ulikua na nini?

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Hapo kwenye kupotezewa muda ndio ntaenda kinyume nawewe.

Vipi wewe hujampotezea muda?

Vipi kwa muda aliopoteza nawewe labda angekuwa na mtu mwingine ambaye angempenda kwa dhati na asingethubutu kumsaliti kwa hali yoyote ile. (nasema tu)

Mwisho wa siku watu wanabadilika inajulikana wazi.

Unachoumia hapa ndicho wanaume waliofilisika wanapitia kwa wenza wao, dharau, ngebe, kila aina ya baya.

Hitimisho
Hayana muongozo.

pole sana.
Mimi nilichomuelewa hapa mtoa mada anavyosema amepotezewa muda ni zile ahadi alizokuwa akiahidiwa,mwenzie hakumuweka wazi mapema ili aendelee na mishe zake nyingine,anachoumia ni kwamba alifanywa daraja kwa mtu mwingine
 
Hiki kikombe nimewahi kukinywa,sikia tu toka kwa wengine ila usikutane na mwanamke mwenye kauli za KISHUJAA huku ukiwa dhoofu kiuchumi! Hakika utajikuta unakonda tu wakati huumwi.
Mbaya zaidi huwa wanaenda mbali zaidi anaanza kutoka na mtu mwingine makusudi live bila chenga.Ndugu yangu mwanaume tulia jikaze kiume na kubali kumpoteza huyo mtu ila endelea kupambana then time will tell.Atarudi analia tu,niamini mimi.(the witness)
Tupe ushuhuda kidogo
 
Inawezekana katika maisha yenu, ulikuwa na elements za kumsimanga kwa sababu ya umasikini wake, ulionyesha kumdharau (kwa kujua au kutokujua) na yeye akaweka mambo moyoni kwa muda mrefu, alivumilia kwa kuwa hakuwa na namna ya kuishi bila wewe, ila baada yakuona anaweza kusavaivu in your absence basi akafanya maamuzi.

Ilinitokea mimi miaka kadhaa iliyopita, mwanamke nipo naye nikiwa sina pesa, kwa kiasi kikubwa vitu vingi alikuwa anafanya yeye ili maisha yaende.

Alikuwa anatoka kwenda kwa x wake, wakati wowote akijisikia, siku moja nilimuuliza "why are you doing this? ni kwa sababu una-cover up hizi expenses?" Alinijibu "Hujanioa, hela huna then unabwabwaja tu hapa, kama unaniona Malaya kwa kuwasiliana/kumtembelea x, then you can go kwa atakayekuheshimu na ufukara wako, badala unishukuru nakusitiri hapa, unanipigia kelele"

Hii iliniuma mno, nikanywea, kwa miaka 3 baadaye, nikiwa nipo nayeye, nilipata kazi mahali pazuri tu, niliondoka kimya kimya, alinilaani sana na kunitamkia mambo magumu, lakini sikurudi nyuma... Mpaka leo namuangaliaga you tu!

Ahsante sana R, haikuwa dhamira yangu kabisa kukuacha, ila ulinibadilisha wewe mwenyeweee!
Aise!

Sometimes wanawake tunakuaga na maneno ya shombo sana. Then baadae tunajitilisha huruma as if tumeonewa kumbe tumesababisha wenyewe
 
Back
Top Bottom