Inauma sana, nimeona picha za mpenzi wangu akiwa na mwanaume wake wa zamani kimahaba

Inauma sana, nimeona picha za mpenzi wangu akiwa na mwanaume wake wa zamani kimahaba

Na ww nenda kwa demu wako wa zamani upige naye picha umuoneshe demu wako wa sahv ili muwe ngoma droo
 
unalilia nini...una sh. ngapi? ndorobo wewe......picha tuu...
 
Mpenzi wangu nampenda sana ila hili limenifanya nishushe upendo wangu kwake na kutomuamini japo alinambia waliachana. Nimeona picha zake wakiwa na boyfriend wake wa zamani huku wamekaa kimahaba imeniuma sana.

Mapigo ya moyo yameenda mbio kuliko kawaida ila nikapiga moyo konde huku nikuwa na mawazo lukuki akilini baadhi ya mawazo ninayoyafiria ni kuachana nae.

Nifanyaje kwa hili wana JF maana nahisi kama bado wako pamoja kwa kutunza picha za mwanaume wake wa zamani.

Mkuu kwani Hujafunga ww??
 
Usipende kufuatilia yaliyopita.mi wangu nilimuuliza kuhusu mahusiano yake yalitopita akaniambia mbona mimi sijakuliza mahusiano yako ya awali.nikafunga mdomo wangu.
 
Mambo mengine nayo unaonyesha bado mdogo sana kwenye ulimwengu wa Mapenzi,anyway maamuzi yako ndio muhimu manake wewe ndio utakae kaa nae huyo mdada...
 
Yaniiii....U-F.B.I katika mapenzi ni mbaya mmnoo...unamchunguza ili iweje?? aisee...stop that ..utakufa na ugonjwa wa moyo bure...maaana utakutana na mengi sana...so..why ujitese kwa waswas? wacha kumfatilia her past...utakua kila dakika very insecure na that is very bad kimahusiano...TRUUUUUUUUUUUUUST HER.....T.R.U.S.T!!!!!!!!!!
 
Mpenzi wangu mtoto sana miaka 18 ila nilipomuuliza kama alikuwa virgin akaniambia alishawahi kuchapwa mara moja tu na mpenzi wake wa zamani lakini sikulitilia maanani bora tu hivi sasa yupo na mimi..aliponiuliza mimi ikiwa nimeshawahi jaribu nikamwambia bado hata kiss yenyewe siijui inakaa vipi lakini ukweli nimeichapa ya X wangu mara nyingi hata haihesabiki na bado tunakutana na kucheat wapenzi wetu bora text turushiane..maisha ndivyo yalivyo kaka ukichapiwa na wewe nenda kachape tu
 
Na wewe ujue kuwa ukipata chungu kipya, hatutupi cha zamani. Akili mkichwa!
 
Umeshasema mwanaume wake wa zaman ko usiumie alikuwa wake before you waache wakumbushie 2!!
 
Kaka konde alitoshi piga na ngumi kabisa uyo moyo na kama kuna kitu kizito pembeni yako chukuwa shindilia tena kwenye uwo moyo wako?sababu uyo moyo wako unamatatizo ya kupenda bila kujali ni kitu gani unapenda sasa ilo ni tatizo,wewe mwenyewe jibu unalo utakiwi kuomba ushauri kaka kaa chini jiulize je uyo dem kweli anakupenda? Jibu utapata na kama hana kupenda basi jaribu kujua izo picture ni za kipindi gani? Kisha jifananishe wewe na uyo mpenzi wake wa zamani kimaisha na tabia uyo dem wako atakusaidia ilo kujua tabia ya uyo jamaa wake wa zamani na maisha yake kisha jaribu kujua kwanini waliachana? Na nani alimuacha mwenzake?kisha jaribu kujua uyo dem family yake ni ya haina gani? Na uyo dem elemu yake ya shule iko vp? Na amekulia maisha gani na tabia yake ni ya aina gani na anapenda maisha ya aina gani na ujitambue wewe una maisha gani? Na kutokana na maisha yako unaitaji mwanamke wa aina gani ukiweza kujua ayo yote basi utajua uyo dem anakupenda au la sasa kunjoa au kusuka ni mamuzi yako usitushirikishe kwenye mamuzi yako na dem wako ukatutia zambi kwenye mwezi mtukufu.
 
Kazi ya moyo ni kusukuma damu.......kuutumia katika kupenda ni kuuchosha tu bila sababu
 
Sasa kama picha ni za zamani kuna tatizo gani?
Labda ametunza za kutupia TBT?
Kama hujamkuta bikra ujue ana past na kuna siku utai face kwa sura yoyote ile,yake imekuja in form of pictures DEAL WITH IT.
Ukimuacha kwa sababu hiyo tu ujue utaacha sana.
 
Weee nani alikwambia uangalie. Unajua bata ukimchunguza sana huwezi kumla, ulishaambiwa we ukadhani uongo. Ndio ivyo sasa. Kama dem hukumkuta bikra, jua tu kuwa lazima keshachezea wazungu wa nigga mwingine. Jizoeze tu kwenye vitu used! Gari used, Nguo used, simu used, spea used, hadi nyumba za kupanga nyingi zimechoooka, ni full used. Angalia jila langu ndio utaelewa kwanini naiita USED COUNTRY NEW PEOPLE!
 
Back
Top Bottom