Inauma sana, nimeona picha za mpenzi wangu akiwa na mwanaume wake wa zamani kimahaba

Inauma sana, nimeona picha za mpenzi wangu akiwa na mwanaume wake wa zamani kimahaba

Mpenzi wangu mtoto sana miaka 18 ila nilipomuuliza kama alikuwa virgin akaniambia alishawahi kuchapwa mara moja tu na mpenzi wake wa zamani lakini sikulitilia maanani bora tu hivi sasa yupo na mimi..aliponiuliza mimi ikiwa nimeshawahi jaribu nikamwambia bado hata kiss yenyewe siijui inakaa vipi lakini ukweli nimeichapa ya X wangu mara nyingi hata haihesabiki na bado tunakutana na kucheat wapenzi wetu bora text turushiane..maisha ndivyo yalivyo kaka ukichapiwa na wewe nenda kachape tu

Ha ha ha.ukichapiwa Tafuta mnyonge nae umchapie mkuu nimekupatraaaaaaa.
 
Wanamume majasiri tunazidi kupungua.Weye picha tu umeianzishia thread je ungekuta kakunjwa kama samaki wa kwenye senti tano?
 
Pole sana.... Kama unamatarajio ya kuoa kaza moyo but kama sio basii let goooo..!
 
Umeona picha unapaniki hivyo je ungemkuta analiwa ungefanyaje
 
Usiachane nae.
Mpe last warning.
Mwambie kuwa unaumia ukiona picha akiwa na bwana wake wa zamani.azichome moto maana unaumia ukimuona aliekuwa mume mwenzako.

Note
Hupo peke yako hata mm ingeniumiza sana.

Ahsante sana kaka kwa ushauri wako najua hao wengine hawajawahi kuwatokea ndo maana wanaropoka pasipo kuelewa lakini siku yakiwafika utaona thread kibao
 
:llama:id tu inaonesha mtoto mdogo, mi sishauri watoto kwenye mambo ya mapenzi, napita ivi,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,>
 
Mpenzi wangu nampenda sana ila hili limenifanya nishushe upendo wangu kwake na kutomuamini japo alinambia waliachana. Nimeona picha zake wakiwa na boyfriend wake wa zamani huku wamekaa kimahaba imeniuma sana.

Mapigo ya moyo yameenda mbio kuliko kawaida ila nikapiga moyo konde huku nikuwa na mawazo lukuki akilini baadhi ya mawazo ninayoyafiria ni kuachana nae.

Nifanyaje kwa hili wana JF maana nahisi kama bado wako pamoja kwa kutunza picha za mwanaume wake wa zamani.

Rudi shule kapige kitabu
 
Mpenzi wangu nampenda sana ila hili limenifanya nishushe upendo wangu kwake na kutomuamini japo alinambia waliachana. Nimeona picha zake wakiwa na boyfriend wake wa zamani huku wamekaa kimahaba imeniuma sana.

Mapigo ya moyo yameenda mbio kuliko kawaida ila nikapiga moyo konde huku nikuwa na mawazo lukuki akilini baadhi ya mawazo ninayoyafiria ni kuachana nae.

Nifanyaje kwa hili wana JF maana nahisi kama bado wako pamoja kwa kutunza picha za mwanaume wake wa zamani.

Acha wivu,mimi nimezoea mkuu.mbaya zaidi amenitia kwenye madeni sana maana nilitaka kumfurahisha kumbe mbwa mwitu
 
Back
Top Bottom