KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Kama hukumkuta bikra basi ujue ni mke wa mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee moyo wako noma.
Kwanza umeenda mbio afu ukaupiga konde.
What next?
Pole sana mkuuMpenzi wangu nampenda sana ila hili limenifanya nishushe upendo wangu kwake na kutomuamini japo alinambia waliachana. Nimeona picha zake wakiwa na boyfriend wake wa zamani huku wamekaa kimahaba imeniuma sana.
Mapigo ya moyo yameenda mbio kuliko kawaida ila nikapiga moyo konde huku nikuwa na mawazo lukuki akilini baadhi ya mawazo ninayoyafiria ni kuachana nae.
Nifanyaje kwa hili wana JF maana nahisi kama bado wako pamoja kwa kutunza picha za mwanaume wake wa zamani.