Inauma sana, nimeona picha za mpenzi wangu akiwa na mwanaume wake wa zamani kimahaba

Inauma sana, nimeona picha za mpenzi wangu akiwa na mwanaume wake wa zamani kimahaba

Kumbe picha ya zamani sasa wewe unaumia nini?Utakufa kwa presha we kula mzigo jombaa na ukiona picha inakukera sana itupe.
 
wewe hukuwai kupiga na wako wa zaman kama ivo unayo haki ya kuumia ila take easy
 
Kwani ujui mke mwema utoka kwa bwana! Huyo ndio mwema sasa,
 
Pole sana mkuu changamoto tu hzo katika mapenz kama ni wako ni wako 2. Cha muhmu ni umpoteze hyo memory yke na hz X bf amsahau kabisa. Ukisema uachane nae utaachana na wengi we jiamini kata hyo connection yao kwa namna yoyote mfanye akupende sna asiwaze ya zamani"
 
Kaka konde alitoshi piga na ngumi kabisa uyo moyo na kama kuna kitu kizito pembeni yako chukuwa shindilia tena kwenye uwo moyo wako?sababu uyo moyo wako unamatatizo ya kupenda bila kujali ni kitu gani unapenda sasa ilo ni tatizo,wewe mwenyewe jibu unalo utakiwi kuomba ushauri kaka kaa chini jiulize je uyo dem kweli anakupenda? Jibu utapata na kama hana kupenda basi jaribu kujua izo picture ni za kipindi gani? Kisha jifananishe wewe na uyo mpenzi wake wa zamani kimaisha na tabia uyo dem wako atakusaidia ilo kujua tabia ya uyo jamaa wake wa zamani na maisha yake kisha jaribu kujua kwanini waliachana? Na nani alimuacha mwenzake?kisha jaribu kujua uyo dem family yake ni ya haina gani? Na uyo dem elemu yake ya shule iko vp? Na amekulia maisha gani na tabia yake ni ya aina gani na anapenda maisha ya aina gani na ujitambue wewe una maisha gani? Na kutokana na maisha yako unaitaji mwanamke wa aina gani ukiweza kujua ayo yote basi utajua uyo dem anakupenda au la sasa kunjoa au kusuka ni mamuzi yako usitushirikishe kwenye mamuzi yako na dem wako ukatutia zambi kwenye mwezi mtukufu.

Duuuh! Kwa haya maswali lazima jamaa apige moyo konde kwa mara ya pili
 
bado anampenda sana x wake,itakua hawakupenda kuachana na labda wewe ndie uliekua chanzo cha wao kuachana akawa na wewe tu kutuliza Maumivu ila penzi lao limechipuka tena!....
 
nakushauri uuambie moyo wako ufanye kazi yake ya kusukuma damu
hiyo nyingine si ya kwake
 
Unachotakiwa kuhakikisha anamsahau na kuchoma picha vinginevyo hizo picha zitakuwepo hapo na zitakuumiza kila mara
 
ndio maana siku hizi hatutoi ma hardcopy ya picha.... just in phone gallery in a password folder.... Hahahaha just to avoid unnecessary problems
 
ndio maana siku hizi hatutoi ma hardcopy ya picha.... just in phone gallery in a password folder.... Hahahaha just to avoid unnecessary problems

And you think thats secure? Au security is not an issue?
 
Du wewe jamaa! Kukuta picha tu za watu wamekaa mkao wa mahaba unakasirika kiasi hicho? Je ungemkuta na picha emeshikilia muhogo anausindikiza wavuni si ndo ungezimia kabisa? Tena hawa mademu wa cku hiz ndo blaa kabisa maana wanatumia mitandao yoooote hadi ule wa makunduchi huku wakipiga picha zao (video + still pictures) na kuzipost kwenye ule mtandao mchafu unaoitwa rahatupu.blogspot.com.
 
Muulize bila kupanic, why kaziweka hizo picha. Ikiwezekana mwambie naziomba bila kumwambia unataka za nn, the ucheki reaction yake. From there utajua kama bado wako wote au wameshaachana.
 
Back
Top Bottom