Inaumiza sana: Dada kaolewa bila mahari, yaani kizembe tu

Inaumiza sana: Dada kaolewa bila mahari, yaani kizembe tu

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Haya mambo mengine sikia tu kwa watu.sisi tumehangaika kumsomesha sista kamaliza chuo kwa mbinde. Mzee wetu alifariki na tunashukuru maana angekuwepo wallah angemnyonya dada macho mpaka yachomoke toka kwenye socket.

Sister jana kaolewa na fala mmoja tu mtaani bure kabisa. Yaani alichoambulia kwa jamaa ni kupewa mimba tu then kamaa kavuta mzigo. Masheikh wameenda kusoma dua kumkabidhi jamaa mke; eti ndoa ya mkeka.

Sister unaolewa kwa mimba tu? Baba sijui angekufanya nini, unazidi mtesa tu huko aliko.

Unaolewa kwa mjegedo tu? Ina maana wengine hawapati kitu? Umeumiza sana ndugu zako.
 
Binti huyooo keshaolewa mahari hajalipiwa binti huyoo keshaolewa hahah. Duh kumbe mliwekeza mmekosa return kama korosho duh
 
Mkuu ulitaka mtajirike kupitia mahar ya binti et kisa mmemsomesha kwa shida?,, anyway Kama ni muislam basi mahari yake haiwahusu nyie ndugu, maana mtume kasema mahari ni zawadi ya bibi harusi na sio wazazi wala ndugu zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ni dini gani tuanzie hapa

Kama ni wasilam nyie kama ndugu swala la mahari ya ndugu yenu haliwahusu ni yeye na mumewe hata angesema hataki mahari hamuwez mlazimisha apokee
hata wangekuwa ni wakristo amna sehemu kwenye biblia imeandikwa lazima mtu atolewe mahari kiufupi kama inamuuma na yeye atolewe mahari kufidia gap la dada yake kuto holewa kwa mahari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom