Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu apia kama ni kweliKwani dadako ni asset? Kwanini wewe mwanaume mzima usifanye kazi usaidie familia?
Umetutia aibu sana wanaume wenzako.. Mi nna wadogo wawili wakike tena ni wazur kuliko maelezo ila sijawah kuwaza hata mambo ya mahari
Acha uboya
Sent using Jamii Forums mobile app
Olewa na wewe uletewe mahari
Thread closed!Mkuu unaonaje ukaolewa wewe wengine wakafaidi..[emoji23][emoji23]
Mahari ya dada yako inakusaidia ni j, cha muhimu waombee amani na updndo katika ndoa yaoHaya mambo mengine sikia tu kwa watu.sisi tumehangaika kumsomesha sista kamaliza chuo kwa mbinde. Mzee wetu alifariki na tunashukuru maana angekuwepo wallah angemnyonya dada macho mpaka yachomoke toka kwenye socket.
Sister jana kaolewa na fala mmoja tu mtaani bure kabisa. Yaani alichoambulia kwa jamaa ni kupewa mimba tu then kamaa kavuta mzigo. Masheikh wameenda kusoma dua kumkabidhi jamaa mke; eti ndoa ya mkeka.
Sister unaolewa kwa mimba tu? Baba sijui angekufanya nini, unazidi mtesa tu huko aliko.
Unaolewa kwa mjegedo tu? Ina maana wengine hawapati kitu? Umeumiza sana ndugu zako.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Hivi dini inaruhusu mjamzito kuolewa?
Kwani ni ng'ombe hiyo kwamba ulitunza uiuzeHaya mambo mengine sikia tu kwa watu.sisi tumehangaika kumsomesha sista kamaliza chuo kwa mbinde. Mzee wetu alifariki na tunashukuru maana angekuwepo wallah angemnyonya dada macho mpaka yachomoke toka kwenye socket.
Sister jana kaolewa na fala mmoja tu mtaani bure kabisa. Yaani alichoambulia kwa jamaa ni kupewa mimba tu then kamaa kavuta mzigo. Masheikh wameenda kusoma dua kumkabidhi jamaa mke; eti ndoa ya mkeka.
Sister unaolewa kwa mimba tu? Baba sijui angekufanya nini, unazidi mtesa tu huko aliko.
Unaolewa kwa mjegedo tu? Ina maana wengine hawapati kitu? Umeumiza sana ndugu zako.
njoo ni kuamishie wewe mimba.shukuru dada yako kaolewa ange kuwa single mother.shwainiiii anta dada dumeHaya mambo mengine sikia tu kwa watu.sisi tumehangaika kumsomesha sista kamaliza chuo kwa mbinde. Mzee wetu alifariki na tunashukuru maana angekuwepo wallah angemnyonya dada macho mpaka yachomoke toka kwenye socket.
Sister jana kaolewa na fala mmoja tu mtaani bure kabisa. Yaani alichoambulia kwa jamaa ni kupewa mimba tu then kamaa kavuta mzigo. Masheikh wameenda kusoma dua kumkabidhi jamaa mke; eti ndoa ya mkeka.
Sister unaolewa kwa mimba tu? Baba sijui angekufanya nini, unazidi mtesa tu huko aliko.
Unaolewa kwa mjegedo tu? Ina maana wengine hawapati kitu? Umeumiza sana ndugu zako.
Kwanza nikwambie tu hakuna ndoa hapo, watazini maisha yao yote au hadi wanaachana. Huyo Sheikh aliyeozesha ni Sheikh Ubwabwa si bure, hajui kabisa sheria za dini.Haya mambo mengine sikia tu kwa watu.sisi tumehangaika kumsomesha sista kamaliza chuo kwa mbinde. Mzee wetu alifariki na tunashukuru maana angekuwepo wallah angemnyonya dada macho mpaka yachomoke toka kwenye socket.
Sister jana kaolewa na fala mmoja tu mtaani bure kabisa. Yaani alichoambulia kwa jamaa ni kupewa mimba tu then kamaa kavuta mzigo. Masheikh wameenda kusoma dua kumkabidhi jamaa mke; eti ndoa ya mkeka.
Sister unaolewa kwa mimba tu? Baba sijui angekufanya nini, unazidi mtesa tu huko aliko.
Unaolewa kwa mjegedo tu? Ina maana wengine hawapati kitu? Umeumiza sana ndugu zako.
Labda jamaa katoa msimbazi halafu manzi kaipiga bila kushirikisha kaka yake.Mahari ni jambo la lazima
tuseme
Mwanamke akisema hata Embe mviringo ni mahari yake,Basi imepita hiyo
lkn
Mahari lazima iwepo
Sent using Jamii Forums mobile app