Inaumiza sana: Dada kaolewa bila mahari, yaani kizembe tu

Inaumiza sana: Dada kaolewa bila mahari, yaani kizembe tu

Kwan sh. Ngap ulitaka? Acheni nile mzigo wa bureeee shemeji yangu

sent from this unknown device
 
Stori ya uongo hii,kwanza imejaa mzaha sana. Hiyo ndoa ya mkeka yaani ilifungishwa pasipo ridhaa ya upande Wa binti? Manake unavyoongea ni kama unawalaumu masheikh kwa kufungisha ndoa ya lazima na bure pasipo ninyi kuridhia. Nnachojua wanaopush ufungwaji ndoa za mkeka ni upande Wa kikeni ambao ni wenu na si kiumeni,sasa unalalamika nini?
 
Mahari haina umuhimu,cha muhimu ni undugu uendelee na utatuzi wa changamoto za kimaisha na kiafya uwepo
 
Kwani dadako ni asset? Kwanini wewe mwanaume mzima usifanye kazi usaidie familia?

Umetutia aibu sana wanaume wenzako.. Mi nna wadogo wawili wakike tena ni wazur kuliko maelezo ila sijawah kuwaza hata mambo ya mahari

Acha uboya

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu apia kama ni kweli
Halafu naomba niwe rafiki yako

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
Haya mambo mengine sikia tu kwa watu.sisi tumehangaika kumsomesha sista kamaliza chuo kwa mbinde. Mzee wetu alifariki na tunashukuru maana angekuwepo wallah angemnyonya dada macho mpaka yachomoke toka kwenye socket.

Sister jana kaolewa na fala mmoja tu mtaani bure kabisa. Yaani alichoambulia kwa jamaa ni kupewa mimba tu then kamaa kavuta mzigo. Masheikh wameenda kusoma dua kumkabidhi jamaa mke; eti ndoa ya mkeka.

Sister unaolewa kwa mimba tu? Baba sijui angekufanya nini, unazidi mtesa tu huko aliko.

Unaolewa kwa mjegedo tu? Ina maana wengine hawapati kitu? Umeumiza sana ndugu zako.
Mahari ya dada yako inakusaidia ni j, cha muhimu waombee amani na updndo katika ndoa yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😁 😁 Poleni sana ila jamaa ndio amesha okota kifurushi cha maisha nyie kazeni t**o mpate hela yenu sio mtegemee dada....
 
Haya mambo mengine sikia tu kwa watu.sisi tumehangaika kumsomesha sista kamaliza chuo kwa mbinde. Mzee wetu alifariki na tunashukuru maana angekuwepo wallah angemnyonya dada macho mpaka yachomoke toka kwenye socket.

Sister jana kaolewa na fala mmoja tu mtaani bure kabisa. Yaani alichoambulia kwa jamaa ni kupewa mimba tu then kamaa kavuta mzigo. Masheikh wameenda kusoma dua kumkabidhi jamaa mke; eti ndoa ya mkeka.

Sister unaolewa kwa mimba tu? Baba sijui angekufanya nini, unazidi mtesa tu huko aliko.

Unaolewa kwa mjegedo tu? Ina maana wengine hawapati kitu? Umeumiza sana ndugu zako.
Kwani ni ng'ombe hiyo kwamba ulitunza uiuze
 
Haya mambo mengine sikia tu kwa watu.sisi tumehangaika kumsomesha sista kamaliza chuo kwa mbinde. Mzee wetu alifariki na tunashukuru maana angekuwepo wallah angemnyonya dada macho mpaka yachomoke toka kwenye socket.

Sister jana kaolewa na fala mmoja tu mtaani bure kabisa. Yaani alichoambulia kwa jamaa ni kupewa mimba tu then kamaa kavuta mzigo. Masheikh wameenda kusoma dua kumkabidhi jamaa mke; eti ndoa ya mkeka.

Sister unaolewa kwa mimba tu? Baba sijui angekufanya nini, unazidi mtesa tu huko aliko.

Unaolewa kwa mjegedo tu? Ina maana wengine hawapati kitu? Umeumiza sana ndugu zako.
njoo ni kuamishie wewe mimba.shukuru dada yako kaolewa ange kuwa single mother.shwainiiii anta dada dume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo mengine sikia tu kwa watu.sisi tumehangaika kumsomesha sista kamaliza chuo kwa mbinde. Mzee wetu alifariki na tunashukuru maana angekuwepo wallah angemnyonya dada macho mpaka yachomoke toka kwenye socket.

Sister jana kaolewa na fala mmoja tu mtaani bure kabisa. Yaani alichoambulia kwa jamaa ni kupewa mimba tu then kamaa kavuta mzigo. Masheikh wameenda kusoma dua kumkabidhi jamaa mke; eti ndoa ya mkeka.

Sister unaolewa kwa mimba tu? Baba sijui angekufanya nini, unazidi mtesa tu huko aliko.

Unaolewa kwa mjegedo tu? Ina maana wengine hawapati kitu? Umeumiza sana ndugu zako.
Kwanza nikwambie tu hakuna ndoa hapo, watazini maisha yao yote au hadi wanaachana. Huyo Sheikh aliyeozesha ni Sheikh Ubwabwa si bure, hajui kabisa sheria za dini.

Kiislamu mwanamke mjamzito hatakiwi kuolewa hadi ajifungue, naona siku hizi watu wanapindisha mambo ili mtoto azaliwe ndoani tu. Kitu ambacho hakiruhusiwi kabisa.

Kama mnafuata uislamu, hiyo ndoa ni haramu
 
nyinyi ndio hutegemea kutoka kimaisha kwa mahari za dada zao!
 
Ndo matatizo ya kuvuta hisia za mikunjo... hapo kila ukivuta hisia ya anavyokunjwa kunjwa na msela, ndo nongwa zinaanza hapo!

Halafu acha kumuita shemeji yako "fala"!
 
Back
Top Bottom