Inaumiza sana: Dada kaolewa bila mahari, yaani kizembe tu

Inaumiza sana: Dada kaolewa bila mahari, yaani kizembe tu

Haya mambo mengine sikia tu kwa watu.sisi tumehangaika kumsomesha sista kamaliza chuo kwa mbinde. Mzee wetu alifariki na tunashukuru maana angekuwepo wallah angemnyonya dada macho mpaka yachomoke toka kwenye socket.

Sister jana kaolewa na fala mmoja tu mtaani bure kabisa. Yaani alichoambulia kwa jamaa ni kupewa mimba tu then kamaa kavuta mzigo. Masheikh wameenda kusoma dua kumkabidhi jamaa mke; eti ndoa ya mkeka.

Sister unaolewa kwa mimba tu? Baba sijui angekufanya nini, unazidi mtesa tu huko aliko.

Unaolewa kwa mjegedo tu? Ina maana wengine hawapati kitu? Umeumiza sana ndugu zako.
Kama wetu ndio kachukuliwa kama vile embe limedondoka chini ya mwembe makapuku ya kapata nilimuangalia kisa k ni yake sio yetu .
Mwili wake sio kwetu napia ukiangalia nyie waislamu ndio mnapenda sana hivyo.
Mnadai mapenzi ya kweli hayalipwi.
Nibure.
Free kumtoa mwanamke ila sisi wakristo ndio hatutakagi hayoo.
Mnamapepo yanawafanya wadada wanawakubali mnaenda nao kuwatesa nakuwageuza kama nini.
Haya basi sasa wako huko sijui hata wanaishije kamtuma hata kututenga hataki kutuona sisi ndugu zake yupo na huyo mumewe na hilo lishenzi type.
 
Write your reply...Huna jinsi ...Jamaa umwite shemeji tu
 
Kama unaona sister Anafaidi Nenda na wewe
 
Kama unaona sister Anafaidi Nenda na wewe
 
Haya mambo mengine sikia tu kwa watu.sisi tumehangaika kumsomesha sista kamaliza chuo kwa mbinde. Mzee wetu alifariki na tunashukuru maana angekuwepo wallah angemnyonya dada macho mpaka yachomoke toka kwenye socket.

Sister jana kaolewa na fala mmoja tu mtaani bure kabisa. Yaani alichoambulia kwa jamaa ni kupewa mimba tu then kamaa kavuta mzigo. Masheikh wameenda kusoma dua kumkabidhi jamaa mke; eti ndoa ya mkeka.

Sister unaolewa kwa mimba tu? Baba sijui angekufanya nini, unazidi mtesa tu huko aliko.

Unaolewa kwa mjegedo tu? Ina maana wengine hawapati kitu? Umeumiza sana ndugu zako.
Ni moja ya wanaume wenye tabia za ajabu. Itakuwa na wewe ulikuwa ujamla sister yako ndo maana umeumia hivo. Ebu wanaume tuacheni ujinga wa kuwalilia dada zetu wanapoolewa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na nenda katie mimba kwao chukua piga ndoa ya mkeka then ngoma droo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Haya mambo mengine sikia tu kwa watu.sisi tumehangaika kumsomesha sista kamaliza chuo kwa mbinde. Mzee wetu alifariki na tunashukuru maana angekuwepo wallah angemnyonya dada macho mpaka yachomoke toka kwenye socket.

Sister jana kaolewa na fala mmoja tu mtaani bure kabisa. Yaani alichoambulia kwa jamaa ni kupewa mimba tu then kamaa kavuta mzigo. Masheikh wameenda kusoma dua kumkabidhi jamaa mke; eti ndoa ya mkeka.

Sister unaolewa kwa mimba tu? Baba sijui angekufanya nini, unazidi mtesa tu huko aliko.

Unaolewa kwa mjegedo tu? Ina maana wengine hawapati kitu? Umeumiza sana ndugu zako.
Duuh
 
Unataka mahari kipindi hiki cha micharuko ya ndoa? We shukuru dada yako kapata mume, kikubwa akaishi kwa amani na upendo kwenwe ndoa yenye furaha. Nani anatoa mahari siku hizi, utoe halafu demu aje aingie mitini au aisaliti ndoa? Matunzo ya dada yenu na misaada mtakayosaidiwa na huyo bwana ndiyo itakuwa mahari yenyewe, tulieni watu wamependana acheni wakajenge familia yao
 
Back
Top Bottom