Tatizo sio wasomi, siasa, zetu hazitengenezi Sera nzuri za, uchumi, Hata china, ambayo ni super power, wapo vijana wanatoka vyuoni, na wanakosa ajira! Jiulize kama kijana wa china, Japan, option yake ya kwanza, baada ya kutoka chuoni,ni kutafuta kuajiliwa, nchi, zenye uchumi mkubwa,unategemea nini kijana kutoka udom, DIT,udsm,nchi maskini kama yetu! Awe na ujasiri, na, mbinu za kutafuta kujiajiri? Nchi yetu wizara,ya tamisemi Ina mpango wa, kutumia bilions za TSH kununua ma v8 ya wakuu wa wilaya! Kwanini, hayo ma pesa usiyatumie kupeleka, vijana wetu google, Microsoft, Toyota, kusoma, na, kufanya field,
Kama, tunaweza, kuomba kibari under license kuzalisha KFC, kwanini tusiwe na plant ya hisence electronics, samsung, Toyota, miaka ya, zamani, 90 tulikuwa, na plant yq ku assemble scania pale kibaha.
Haya Mambo yq kupeleka vijana kulima pale Dodoma ni upuuzi, hawawezi kulima na kuweza kuzalisha ma pesa ya kutosha kama bkheresa, lakini kijanq mmoja, a kutengeneza App, kama Nara, au j forum, anaweza, kutengeneza ajira za kutosha.
Sie ni maskini sana, kwa, kila TSH 100,wanayokusanya TRA, 45% ni matumizi yq kawaida, mshahara, posho, nk, 60%kulipa mikopo, hapo, hakuna maendeleo! Ajira, unatengeneza vipi? Hata pesa, yq kusomesha vyuo virus, haitoshi, tuna wahitimu wengi, ma injinia, Madonna, nk, na tunawahitaji, lakini hatuna uwezo, wa kifedha wa kuwaingiza kwenye payroll! Fuckers