figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Aibu ya mwakaSalaam Wakuu,
Kama Mnavyokumbuka, May 3, 2012, aliyekuwa Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete alimteua Mwenyekiti wa wa NCCR-Mageuzi, james mbatia kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Sasa baada ya Press ya Leo ya Tundu Lissu, Nimebaki najiuliza, nani aliyeahidiwa Ubunge na Uwaziri kutoka Serikalini? Nini kilifanya Freeman Mbowe awalazimishe CHADEMA kuingia kwenye maridhiano yasiokuwepo?
Kiongozi wa CHADEMA ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesikika akisema kwamba kuna watu waliahidiwa Vyeo Serikalini kutoka CHADEMA.
Ni wakina nani hao ambao waliahidiwa vyeo?
Sura Al-Ma’idah, Aya 8Salaam Wakuu,
Kama Mnavyokumbuka, May 3, 2012, aliyekuwa Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete alimteua Mwenyekiti wa wa NCCR-Mageuzi, james mbatia kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Sasa baada ya Press ya Leo ya Tundu Lissu, Nimebaki najiuliza, nani aliyeahidiwa Ubunge na Uwaziri kutoka Serikalini? Nini kilifanya Freeman Mbowe awalazimishe CHADEMA kuingia kwenye maridhiano yasiokuwepo?
Kiongozi wa CHADEMA ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesikika akisema kwamba kuna watu waliahidiwa Vyeo Serikalini kutoka CHADEMA.
Ni wakina nani hao ambao waliahidiwa vyeo?
(Qur'an 5:8)"Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimama kwa haki kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mtoapo ushahidi. Wala chuki yenu kwa watu isikufanyeni kutokutenda haki. Tendeni haki, kwani huko ndio kunako ucha Mungu..."
Lissu anasema Mwenyekiti wa CCM aliwapelekea Lugha laini ya kuwapa Ubunge wa kuteuliwa na Uwaziri. Mwingine aliahidiwa kuwa Makamu wa rais na CHADEMA wakakubali🤣🤣🤣🤣Figga nakuamini ujue.
Siku hizi hata baba anaweza kuisaliti familia kwa maslahi ya mchepuko
Tunaposema CHadema ni genge la vilaza ndio mtuelewe.Lissu anasema Mwenyekiti wa CCM aliwapelekea Lugha laini ya kuwapa Ubunge wa kuteuliwa na Uwaziri. Mwingine aliahidiwa kuwa Makamu wa rais na CHADEMA wakakubali🤣🤣🤣🤣
Congratulations. You really have a calling in BROKEN English.UNAPOTEZA DIGINITY/CREDIBILITY ON JF IF YOU CONTINUE WRITING THIS WAY!!
Lissu ni msaliti. Anamharibia Mbowe chama chake. Kamati kuu imvue uanachama haraka. Ahamie CHAUSTA.Lissu anasema Mwenyekiti wa CCM aliwapelekea Lugha laini ya kuwapa Ubunge wa kuteuliwa na Uwaziri. Mwingine aliahidiwa kuwa Makamu wa rais na CHADEMA wakakubali🤣🤣🤣🤣
Je alichosema Lisu ni uongo? Maana wote ni mashahidiUNAPOTEZA DIGINITY/CREDIBILITY ON JF IF YOU CONTINUE WRITING THIS WAY!!
Bila Lissu hakuna kitu inaitwa CHadema ,Lissu anashikiliwa pale na kundi la Mzee Mbowe ili chadema ionekane ni SACCOS ya kitaifa.Lissu ni msaliti. Anamharibia Mbowe chama chake. Kamati kuu imvue uanachama haraka. Ahamie CHAUSTA.
Wewe ukweli unaujua.sasa mtu kilaza unamkatazaje kufanya pepa/ mtihani/ uchaguzi kwa kumuwekea mapingamizi tena ya kipuuzi huku ukijua kwamba utamshinda? Unamuogopa kilaza kwenye mtihani/ uchaguzi????Tunaposema CHadema ni genge la vilaza ndio mtuelewe.
Kunywa maji kijana wangu.UNAPOTEZA DIGINITY/CREDIBILITY ON JF IF YOU CONTINUE WRITING THIS WAY!!
Salaam Wakuu,
Kama Mnavyokumbuka, May 3, 2012, aliyekuwa Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete alimteua Mwenyekiti wa wa NCCR-Mageuzi, james mbatia kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Sasa baada ya Press ya Leo ya Tundu Lissu, Nimebaki najiuliza, nani aliyeahidiwa Ubunge na Uwaziri kutoka Serikalini? Nini kilifanya Freeman Mbowe awalazimishe CHADEMA kuingia kwenye maridhiano yasiokuwepo?
Kiongozi wa CHADEMA ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesikika akisema kwamba kuna watu waliahidiwa Vyeo Serikalini kutoka CHADEMA.
Ni wakina nani hao ambao waliahidiwa vyeo?
Mbowe ametusikitisha sana WatanganyikaBila Lissu hakuna kitu inaitwa CHadema ,Lissu anashikiliwa pale na kundi la Mzee Mbowe ili chadema ionekane ni SACCOS ya kitaifa.
Mbowe ni mjinga sana!! Hafai kabisa huyo MmachameSalaam Wakuu,
Kama Mnavyokumbuka, May 3, 2012, aliyekuwa Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete alimteua Mwenyekiti wa wa NCCR-Mageuzi, james mbatia kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Sasa baada ya Press ya Leo ya Tundu Lissu, Nimebaki najiuliza, nani aliyeahidiwa Ubunge na Uwaziri kutoka Serikalini? Nini kilifanya Freeman Mbowe awalazimishe CHADEMA kuingia kwenye maridhiano yasiokuwepo?
Kiongozi wa CHADEMA ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesikika akisema kwamba kuna watu waliahidiwa Vyeo Serikalini kutoka CHADEMA.
Ni wakina nani hao ambao waliahidiwa vyeo?
Sasa ikawaje kwanini hawakukubali nao wale nchi kidogo?Lissu anasema Mwenyekiti wa CCM aliwapelekea Lugha laini ya kuwapa Ubunge wa kuteuliwa na Uwaziri. Mwingine aliahidiwa kuwa Makamu wa rais na CHADEMA wakakubali🤣🤣🤣🤣
Ni Mbowe ndio alipewa hizo ahadi hewa, ndio maana siku moja kwenye mkutano wa cdm akawa analeta swaga za kumtetea mama Samia, huku akiwa amelewa chakari. Nadhani ndio alikuwa na hilo fungu la hadaa.Salaam Wakuu,
Kama Mnavyokumbuka, May 3, 2012, aliyekuwa Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete alimteua Mwenyekiti wa wa NCCR-Mageuzi, james mbatia kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Sasa baada ya Press ya Leo ya Tundu Lissu, Nimebaki najiuliza, nani aliyeahidiwa Ubunge na Uwaziri kutoka Serikalini? Nini kilifanya Freeman Mbowe awalazimishe CHADEMA kuingia kwenye maridhiano yasiokuwepo?
Kiongozi wa CHADEMA ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesikika akisema kwamba kuna watu waliahidiwa Vyeo Serikalini kutoka CHADEMA.
Ni wakina nani hao ambao waliahidiwa vyeo?
Duuh!Ni Mbowe ndio alipewa hizo ahadi hewa, ndio maana siku moja kwenye mkutano wa cdm akawa analeta swaga za kumtetea mama Samia, huku akiwa amelewa chakari. Nadhani ndio alikuwa na hilo fungu la hadaa.
Bado una imani na Mbowe?Mbowe? Impossible……