Inawezekana hii mimba ikawa yangu?

Ulipoliliwawa tamu baby tamu ongeza speed hapo hapo baby ukawa unaunguruma tu kwa raha za kisogoni ukamwagia ndani matokeo ya kumwagilia ndani huyataki mjinga wewe hahaha umeona tamu baby ilipofinyiwa kwandani inavyoleta utamu unaoukataa. Je ulidhani utamu ni sukari na asali pekee?
 
Mimba haihitaji ohh mlikutana mara ngapi cha msingi mdada awe kwenye siku zake,bao moja ya kwanza inatosha hatakama huna nguvu za kiume,kwahiyo pokea majukumu
 
Mtu wa namna hii inabidi ajibiwe kwa utulivu sana, ukisoma unajua kabisa uelewa wake juu ya haya mambo ni mdogo.

Tumsaidie kwa sababu hajui, ignorance is bliss!
 
Kwahiyo mimba inaingia tu ikiwa mnaishi pamoja au vipi? Yaani akiwa anakuja tu kwako unagonga anarudi kwao mimba haiingii sio?

Oyaa sa skia jomba. Pita madukani angalia bei za pampers na maziwa ya kopo. Siku hizi kuna mazuri ya south africa yanaitwa sma na kuna mengine yanakuwa supplied na kampuni ya shelys ya Tanzania yanaitwa infacare.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…