Inawezekana jeshi la Urusi sio tishio sana kama dunia inavochukulia

Idrissou02

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
354
Reaction score
656
Ukraine ambayo jeshi lake kwenye makaratasi linashika nafasi ya 22 kidunia limefanikiwa kwa kiasi kikubwa mpaka sasa kudhibiti mashambulizi kutoka Russia kwa takriban siku kumi sasa. Kumbuka Russia inashika nafasi ya 2 kwa jeshi bora duniani kwenye makaratasi.

Kutokana na Russia kuogopeka na nchi nyingine kubwa kama US yenye jeshi kubwa zaidi duniani, ingetegemewa kuonekana Russia kuiteka Ukraine kwa haraka sana, lakini haijawa hivyo mpaka sasa.

Swali ni Je jeshi la Russia limekuwa overrated? Maybe lingeweza kudhibitika kirahisi kama umoja wa mataifa ungelivalia shati.
 
Wewe kanywe uji ukalale unabwabwaja hujui unacho ongelea, mkijifuza kusoma na kuandika, mnaona mmeshakua wataalamu, wa vita, anaongea rubbish kabisa
 
Vita haina macho mzee
 
Vita haiko kama movie ndugu, jiulize iliwachukua siku ngapi US kuikamata Iraq yote,
Na vipi vita ya vietnam?
 
Kumbuka bado kuna raia humo , wa Ukraine na wengine ni wa mataifa mengine........mrusi hilo analiangalia pia
 
Kama unadhani Urusi siyo tishio basi washauri hao NATO wapeleke wanajeshi wao uwanja wa vita.

Wenzako wanampa heshima Urusi kama Big Brother wewe unaendelea kupiga porojo. Kama Urusi ni dhaifu ingieni front na majeshi yenu yote ya Nchi 30.

Urusi anaweza kusimama pekee yake dhidi ya nchi yoyote ile duniani ila nyie MNATO mnataka huruma ya watu 50 ili mpigane.
 
 
Kwanza Russia tambua hili ajatumia vifaa vyake vya kisasa kama vifarusu vingi ni vya zamani pia ata wanajeshi sio wale special force

Hila sababu kubwa kbsa Putin kuchelewesha vita hii anaajenda ya Siri ambayo mimi nadhani kuendelea kukaa muda mrefu vitani ni kuchokonoa watu wajiguse na pia ili kufikia mwafaka wa hili lazima vikwazo na Ukraine kubaki neutral

Ndio maana wamagharibi wanaogopa kutia mguu

Vita hii inabeba mengi sana kuliko unavyojua
Russia anauwezi wakuipiga Ukraine masaa 6 tuu
Mfano angalia wamekamata kinu kikubwa cha nyuklia ambacho kinazalisha umeme nchini Ukraine mbona hawajazima umeme ?
Russia anayake mengine
 
Linaogopeka sabb wana vichwa vingi vya nyuklia, na hii vita wanapigana na ukrain hawajatumia hizo silaha za nyuklia, ndio maana nato na usa wanogopa kuingilia kwan jamaa anaeza tumia manyuklia yake wakiingia, mbumbumbu wew
 
Tatizo habari zako unaziangalia BBC, DW, CNN hao hawawezi kukuambia ukweli
 
Ukweli ni kuwa Russia anapambana na nchi kama 4 mpaka sasa na ambazo zina uwezo wa juu kivita.

Kwasababu kama UK, US na Canada wameisupport Ukraine kisilaha na Rockets au kwa mbinu ni kama wameshiriki pamoja kumchangia Mrusi, hivyo bado Russia ana uwezo mkubwa kijeshi kulinganisha na nchi nyingi sio tu Ukraine, lakini Dunia ikiwa kinyume nae hawezi kutoboa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachukulia poaaa mrusi eeh kwanza ile unaambiwa ni millitary oparation sio vita hao NATO wako 27 Rusia kasema mmoja aingize mguu aone kitakachotokea wakati ana mkanda mwanae woote kimya Russia hatakagi kuongea mara 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…