Mwenzio ametoa hoja, akatoa na sababu, akatoa na rank na akafafanua.Wewe kanywe uji ukulale unabwabwaja hujui unacho ongelea, mkijifuza kusoma na kuandika, mnaona mmeshakua wataalamu, wa vita, anaongea rubbish kabisa
Ewaaaaa! Nimetoka kumwambia, 'ni aibu sana kama yeye ni mwanaume'.Toa fact mkuu acha makasiriko mbona unatoa maneno ya mke alieachika kwa fedhuri zake mwenyewe
Swali la msingi iliangusha serikali chini ya wiki moja.Vita haiko kama movie ndugu, jiulize iliwachukua siku ngapi US kuikamata Iraq yote,
Na vipi vita ya vietnam?
Vita ina kanuni,sio kupiga piga tuuKwanza Jiulize maswali yafuatayo kabla ya kuwadharau warusi...
NATO yenye Nchi karibia 30 ilichukua Muda gani Kuiangusha serikali ya Gadaffi?
USA ilichukua Muda gani Kuiangusha utawala wa Saddam Hussein?
USA ilichukua Muda gani Kuiangusha Taliban?
Vietnam Je?
Kwa ufupi Ni Kwamba Russia Ingeamua kuipiga Ukraine Haswa..isingechukua Hata Masaa 24 Kyiv Yote ingekuwa Magofu na vifusi...
Ila Raia wengi Sana Sana wangepoteza Maisha
Bado Mpaka Sasa Vita Ni Nyepesi..
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kwa nini wawapige Raia,wangekwenda kupigana na wanajeshi wenzao.Katika vita vya Libya,Iraq,Taliban,walikuwa wakisema wanamgambo walijificha kwenye maeneo ya raia,kama hospital,sasa hawa Ukraine,hatusikii kama kuna wanajeshi wanajificha maeneo ya mkusanyiko wa raia,kwa hiyo kwa nini raia wapigwe na kuuliwa,wasipigane wanajeshi tu.Kwanza Jiulize maswali yafuatayo kabla ya kuwadharau warusi...
NATO yenye Nchi karibia 30 ilichukua Muda gani Kuiangusha serikali ya Gadaffi?
USA ilichukua Muda gani Kuiangusha utawala wa Saddam Hussein?
USA ilichukua Muda gani Kuiangusha Taliban?
Vietnam Je?
Kwa ufupi Ni Kwamba Russia Ingeamua kuipiga Ukraine Haswa..isingechukua Hata Masaa 24 Kyiv Yote ingekuwa Magofu na vifusi...
Ila Raia wengi Sana Sana wangepoteza Maisha
Bado Mpaka Sasa Vita Ni Nyepesi..
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ha ha haMarekani wangemtuma Rambo na komandoo Joni Vita ingeisha siku tatu tu au sio [emoji23][emoji23][emoji23]
Hao raia, wako pamoja na wanajeshi?Au tuseme ni kama vile,ilivyokuwa ikisemwa Libya,Iraq,Afghanistani ya Taliban,kuwa wanamgambo wakijichanganya na maeneo ya mkusanyiko wa raia,kama hospital,masokoni,shule nk.Hatujasikia kama wanajeshi,wakijichanganya na raia huko Ukraine.Kumbuka bado kuna raia humo , wa Ukraine na wengine ni wa mataifa mengine........mrusi hilo analiangalia pia
Ni kama SumaJKT tuJina tu ndo linatisha,jeshi la kawaida mno
Ni kama SumaJKT tu
Hivi umeelewa nilichoandika au umejibu tuu Bila kufikiri?Kwa nini wawapige Raia,wangekwenda kupigana na wanajeshi wenzao.Katika vita vya Libya,Iraq,Taliban,walikuwa wakisema wanamgambo walijificha kwenye maeneo ya raia,kama hospital,sasa hawa Ukraine,hatusikii kama kuna wanajeshi wanajificha maeneo ya mkusanyiko wa raia,kwa hiyo kwa nini raia wapigwe na kuuliwa,wasipigane wanajeshi tu.
Vijana wa moscow hawa [emoji28][emoji28]Kwanza Russia tambua hili ajatumia vifaa vyake vya kisasa kama vifarusu vingi ni vya zamani pia ata wanajeshi sio wale special force
Hila sababu kubwa kbsa Putin kuchelewesha vita hii anaajenda ya Siri ambayo mimi nadhani kuendelea kukaa muda mrefu vitani ni kuchokonoa watu wajiguse na pia ili kufikia mwafaka wa hili lazima vikwazo na Ukraine kubaki neutral
Ndio maana wamagharibi wanaogopa kutia mguu
Vita hii inabeba mengi sana kuliko unavyojua
Russia anauwezi wakuipiga Ukraine masaa 6 tuu
Mfano angalia wamekamata kinu kikubwa cha nyuklia ambacho kinazalisha umeme nchini Ukraine mbona hawajazima umeme ?
Russia anayake mengine
Kwanza Jiulize maswali yafuatayo kabla ya kuwadharau warusi...
NATO yenye Nchi karibia 30 ilichukua Muda gani Kuiangusha serikali ya Gadaffi?
USA ilichukua Muda gani Kuiangusha utawala wa Saddam Hussein?
USA ilichukua Muda gani Kuiangusha Taliban?
Vietnam Je?
Kwa ufupi Ni Kwamba Russia Ingeamua kuipiga Ukraine Haswa..isingechukua Hata Masaa 24 Kyiv Yote ingekuwa Magofu na vifusi...
Ila Raia wengi Sana Sana wangepoteza Maisha
Bado Mpaka Sasa Vita Ni Nyepesi..
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app