Inawezekana kipindi cha Mkapa ndio ujambazi mkubwa ulitamalaki

Inawezekana kipindi cha Mkapa ndio ujambazi mkubwa ulitamalaki

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Nadhani IGP alikuwa Omary Mahita aliyekuwa na kashfa nyingi za kushirikiana na na baadhi ya Majambazi

Kuna lile tukio la 2006 la uvamizi wa gari la NMB lililokuwa limebeba pesa.. Hili si la Mkapa lakini ni mabaki yake

Tukio lile la CRDB Nyerere road wale wandava waliingia saa mbili asubuhi na Range rover mbili nyeusi na kufanya yao.. Ilikuwa kama picha la shozniga.. Wakapora mabilioni wakasepa kusikojulikana.. Hatukuwahi kusikia kuna waliokamatwa

Likaja la Tegeta baada ya defender la polisi kuingia kwenye mfumo wa majambazi na kukutana na miziki minene ya AK47.. Katika kujihami askari wale na jibwa lao lenye mafunzo makali sana wakalala kwenye sakafu ya body la gari

Wale majambazi walikuwa na mafunzo ya ziada walipeleka moto wa risasi za rasharasha pembezoni mwa body na kuwamaliza askari wote pamoja na umbwa lao

Matukio ya uporaji mabenki at gun point yalikuwa mengi sana, mengine yalifanyka city center kabisa mapema asubuhi ama mchana kweupe

Matukio haya yakafuatiwa na uvamizi vituo vya polisi, kupora silaha, kujeruhi na hata kuua askari

Kwa wasiojua zamani kabla ya uvamizi wa vituo vya polisi raia walikuwa wanaingia muda wowote 24/7

Baada ya matukio ya uvamizi kushika kasi ndio ikaja sheria mpya ya askari kulinda vituo kuweka uzio na vizuizi na raia kutoruhusiwa kuingia na gari hasa nyakati za usiku.. Na baadhi ya vituo vikawa vinafungwa usiku

Matukio ya uvamizi, uporaji na mauaji havikuishia kwenye mabenki tu bali hata

Kwenye maduka makubwa na madogo
Sehemu za kubadili pesa za kigeni
Vibanda vya mawakala wa pesa
Vituo vya mafuta nknk

Kwenye matukio yote haya wahusika wa usalama wa raia na mali zao hakuna aliyejiuzulu hata mmoja

Kwenye matukio yote haya 'inside jobs' zilikuwa nyingi

Kwenye matukio yote haya kuna mamlaka za ulinzi na Usalama zilituhumiwa kushirikiana na majambazi

Nyakati za Jk kukawa na matukio mengi ya utapeli mkubwa kuliko ujambazi wa kutumia silaha

Kwenye utawala wa Magu todate majambazi yakafyekwa kisawasawa Ila kutekwa na kupotea kwa watu kukatamalaki kwa viwango vya kutisha
 
Exactly 💯 mie nakumbuka ile yaliyo tokea mwaka 2001 pale posta
wamama waliokuwa wanajifanya wauza matunda kumbe ndani ya matunda waliweka silaha aisee walikomba pesa sana bank Moja pale posta miaka ya 2001
 
Nadhani IGP alikuwa Omary Mahita aliyekuwa na kashfa nyingi za kushirikiana na na baadhi ya Majambazi

Kuna lile tukio la 2006 la uvamizi wa gari la NMB lililokuwa limebeba pesa.. Hili si la Mkapa lakini ni mabaki yake

Tukio lile la CRDB Nyerere road wale wandava waliingia saa mbili asubuhi na Range rover mbili nyeusi na kufanya yao.. Ilikuwa kama picha la shozniga.. Wakapora mabilioni wakasepa kusikojulikana.. Hatukuwahi kusikia kuna waliokamatwa

Likaja la Tegeta baada ya defender la polisi kuingia kwenye mfumo wa majambazi na kukutana na miziki minene ya AK47.. Katika kujihami askari wale na jibwa lao lenye mafunzo makali sana wakalala kwenye sakafu ya body la gari

Wale majambazi walikuwa na mafunzo ya ziada walipeleka moto wa risasi za rasharasha pembezoni mwa body na kuwamaliza askari wote pamoja na umbwa lao

Matukio ya uporaji mabenki at gun point yalikuwa mengi sana, mengine yalifanyka city center kabisa mapema asubuhi ama mchana kweupe

Matukio haya yakafuatiwa na uvamizi vituo vya polisi, kupora silaha, kujeruhi na hata kuua askari

Kwa wasiojua zamani kabla ya uvamizi wa vituo vya polisi raia walikuwa wanaingia muda wowote 24/7

Baada ya matukio ya uvamizi kushika kasi ndio ikaja sheria mpya ya askari kulinda vituo kuweka uzio na vizuizi na raia kutoruhusiwa kuingia na gari hasa nyakati za usiku.. Na baadhi ya vituo vikawa vinafungwa usiku

Matukio ya uvamizi, uporaji na mauaji havikuishia kwenye mabenki tu bali hata

Kwenye maduka makubwa na madogo
Sehemu za kubadili pesa za kigeni
Vibanda vya mawakala wa pesa
Vituo vya mafuta nknk

Kwenye matukio yote haya wahusika wa usalama wa raia na mali zao hakuna aliyejiuzulu hata mmoja

Kwenye matukio yote haya 'inside jobs' zilikuwa nyingi

Kwenye matukio yote haya kuna mamlaka za ulinzi na Usalama zilituhumiwa kushirikiana na majambazi

Nyakati za Jk kukawa na matukio mengi ya utapeli mkubwa kuliko ujambazi wa kutumia silaha

Kwenye utawala wa Magu todate majambazi yakafyekwa kisawasawa Ila kutekwa na kupotea kwa watu kukatamalaki kwa viwango vya kutisha
Kwa tukio la NMB Ubungo Mataa inasemekana kuna silaha ya kivita iliazimwa kutoka kambi moja wapo ya Jeshi.

Source: Kijiwe cha gahawa..
 
Kuna tukio lilitokea kiwanda cha Nyanza Bottling maarufu Cocacola jijini Mwanza Juni 2008 mchana kweupe!

Likatekwa gari linalopeleka pesa ya mauzo benki hapohapo getini,akauwawa mlinzi.

Migodi kwa sasa haipigwi matukio ya uporaji kama zamani.
 
nasikia watuhumiwa wengi walikua wanatoka mara serikali ikatumia njia ya kuwapa kipaumbele jeshini na upolisi sasa ivi hali ikawa shwari.

ukichunguza ni kama kweli 70% ya polisi na wanajeshi ni watu wenye vina saba vya mkoa wa mara
Mmh😢
 
Kuna tukio lilitokea kiwanda cha Nyanza Bottling maarufu Cocacola jijini Mwanza Juni 2008 mchana kweupe!

Likatekwa gari linalopeleka pesa ya mauzo benki hapohapo getini,akauwawa mlinzi.

Migodi kwa sasa haipigwi matukio ya uporaji kama zamani.
Yeah migodi nayo ilipata shida sana
 
Nadhani IGP alikuwa Omary Mahita aliyekuwa na kashfa nyingi za kushirikiana na na baadhi ya Majambazi

Kuna lile tukio la 2006 la uvamizi wa gari la NMB lililokuwa limebeba pesa.. Hili si la Mkapa lakini ni mabaki yake

Tukio lile la CRDB Nyerere road wale wandava waliingia saa mbili asubuhi na Range rover mbili nyeusi na kufanya yao.. Ilikuwa kama picha la shozniga.. Wakapora mabilioni wakasepa kusikojulikana.. Hatukuwahi kusikia kuna waliokamatwa

Likaja la Tegeta baada ya defender la polisi kuingia kwenye mfumo wa majambazi na kukutana na miziki minene ya AK47.. Katika kujihami askari wale na jibwa lao lenye mafunzo makali sana wakalala kwenye sakafu ya body la gari

Wale majambazi walikuwa na mafunzo ya ziada walipeleka moto wa risasi za rasharasha pembezoni mwa body na kuwamaliza askari wote pamoja na umbwa lao

Matukio ya uporaji mabenki at gun point yalikuwa mengi sana, mengine yalifanyka city center kabisa mapema asubuhi ama mchana kweupe

Matukio haya yakafuatiwa na uvamizi vituo vya polisi, kupora silaha, kujeruhi na hata kuua askari

Kwa wasiojua zamani kabla ya uvamizi wa vituo vya polisi raia walikuwa wanaingia muda wowote 24/7

Baada ya matukio ya uvamizi kushika kasi ndio ikaja sheria mpya ya askari kulinda vituo kuweka uzio na vizuizi na raia kutoruhusiwa kuingia na gari hasa nyakati za usiku.. Na baadhi ya vituo vikawa vinafungwa usiku

Matukio ya uvamizi, uporaji na mauaji havikuishia kwenye mabenki tu bali hata

Kwenye maduka makubwa na madogo
Sehemu za kubadili pesa za kigeni
Vibanda vya mawakala wa pesa
Vituo vya mafuta nknk

Kwenye matukio yote haya wahusika wa usalama wa raia na mali zao hakuna aliyejiuzulu hata mmoja

Kwenye matukio yote haya 'inside jobs' zilikuwa nyingi

Kwenye matukio yote haya kuna mamlaka za ulinzi na Usalama zilituhumiwa kushirikiana na majambazi

Nyakati za Jk kukawa na matukio mengi ya utapeli mkubwa kuliko ujambazi wa kutumia silaha

Kwenye utawala wa Magu todate majambazi yakafyekwa kisawasawa Ila kutekwa na kupotea kwa watu kukatamalaki kwa viwango vya kutisha
Kuna jambazi mdada alikuwa anaitwa Amina galosi,na wenzie walipora pesa bank ya Nbc pale ubungo miaka iyo
 
Matukio haya yakafuatiwa na uvamizi vituo vya polisi, kupora silaha, kujeruhi na hata kuua askari

Kwa wasiojua zamani kabla ya uvamizi wa vituo vya polisi raia walikuwa wanaingia muda wowote 24/7

Baada ya matukio ya uvamizi kushika kasi ndio ikaja sheria mpya ya askari kulinda vituo kuweka uzio na vizuizi na raia kutoruhusiwa kuingia na gari hasa nyakati za usiku.. Na baadhi ya vituo vikawa vinafungwa usiku.
Mbona hii ilikuwa ni kwenye kipindi cha pili cha JK.
 
Back
Top Bottom