Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbisha hili tukio lilipangwa vizuri mnoo yani moja kati ya misheni iliyokaa kibabe sana.... Harafu jamaa walijua plan b ilienda vizuri maana mpka watuhumiwa walikamatwa na sio wahusika hawakuiba ile mtu unafanana nae unamuweka kwenye target anajua ndo plan b na ushahidi woteee jamaa mmoja alikamatwa kinondoni mchana kweupe anakula ugali na mke wake alikaa jela miaka kumi na tano.....Kwa tukio la NMB Ubungo Mataa inasemekana kuna silaha ya kivita iliazimwa kutoka kambi moja wapo ya Jeshi.
Source: Kijiwe cha gahawa..
Chainasikia watuhumiwa wengi walikua wanatoka mara serikali ikatumia njia ya kuwapa kipaumbele jeshini na upolisi sasa ivi hali ikawa shwari.
ukichunguza ni kama kweli 70% ya polisi na wanajeshi ni watu wenye vina saba vya mkoa wa mara
Kuna jamaa alikuwa na bureau de change pale namanga hatua chache kabisa na Oyster bay polise walimuua Dec 24 asubuhiMwaka 2004 pale Sanawari walipora kwenye kontena la Voda na kumuua mtoto aliyekuwa anapita zake. Mhudumu alijeruhiwa na risasi. Toka hiyo siku nilisapoti sana jambazi likiuwawa. Kifo cha mtoto kiliwauma wengi. Magu alifyeka sana majambazi na vibaka. Vijana wahuni wengi wa Mburahati na Kigogo walikimbilia South Africa
Mpaka w Namanga ni moja kati ya borders zenye loopholes nyingi.Uko sahihi. Halafu arusha ilikuwa ndio kama center ya kupangia mikakati mizito mizito ikiwemo ya money heist.
serikalini huko kuna siri za ajabu sana mzee tuulize sisiChai
Na alitangaza hadharani, majambazi wanyang'anywe silaha harakaharaka. Alitoa ile kauli kimzahamzaha ila kumbe alimaanisha.Bwana jiwe aliukomesha
Kama Siri we umeajuaje hizo sio siri tenaserikalini huko kuna siri za ajabu sana mzee tuulize sisi
Sidhani kama hii nchi imewahi kuwaogopa wahalifu kiasi hicho....Baada ya matukio ya uvamizi kushika kasi ndio ikaja sheria mpya ya askari kulinda vituo kuweka uzio na vizuizi na raia kutoruhusiwa kuingia na gari hasa nyakati za usiku.. Na baadhi ya vituo vikawa vinafungwa usiku
Chai.nasikia watuhumiwa wengi walikua wanatoka mara serikali ikatumia njia ya kuwapa kipaumbele jeshini na upolisi sasa ivi hali ikawa shwari.
ukichunguza ni kama kweli 70% ya polisi na wanajeshi ni watu wenye vina saba vya mkoa wa mara
wenye siri ndo sisiKama Siri we umeajuaje hizo sio siri tena
Huenda ulikuwa mdogo, haufuatilii san haya mambo, au umeamua kukaza fuvu.Sidhani kama hii nchi imewahi kuwaogopa wahalifu kiasi hicho....
Huna Siri wewe acha kuandika chai zako hapawenye siri ndo sisi